CHADEMA mnakosea kulea Ufisadi wa Heche

CHADEMA mnakosea kulea Ufisadi wa Heche

Kama Mnahalalisha ufisadi wa Heche mjue tu kuwa mnakiuwa chama chenu.

Mnailalamikia CCM kwa ufisadi halafu muda huo huo mnahalalisha vitendo vya uvunjifu wa uaminifu kwa makamu mwenyekiti wenu.

Kama mnamaanisha kuchukua dola na sio mzaha acheni huu ujinga.

Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni.
Screenshot_20260710-075429~2.png
 
Mnyika kashaeleza kwamba hizo ni porojo ,yeye ndiyo anayehusika na fedha za chama na amesema watu wanatumwa kumchafua Heche kwa malipo ya milioni 2.
Nakubaliana na unachosema kwa asilimia zoote, ila kama itabainika hayo yamefanyika ndani ya chama,Basi mtu awajibishwe.

Kumbuka cdm ndiyo chama kikuu cha upinzani hapa nchini na tunakemea vitendo vya kufisadi hivyo lazima tuonyeshe mfano.
 
CCM wanalea mauaji kama mtu aliefanya mauaji ya watu mia tano watanganyika wenzetu bado yuko offcn ayo ni maajabu mengine
Dawa yao ni katiba mpyaaa, Na wanakuwa Hilo mioyoni mwao
 
Nakubaliana na unachosema kwa asilimia zoote, ila kama itabainika hayo yamefanyika ndani ya chama,Basi mtu awajibishwe.

Kumbuka cdm ndiyo chama kikuu cha upinzani hapa nchini na tunakemea vitendo vya kufisadi hivyo lazima tuonyeshe mfano.
Kama itabainika kivipi wakati Mnyika kashaeleza wazi kwamba hizo ni Porojo ,watu wamelipwa kumchafua Heche! Fedha za chama zinakaguliwa na CAG ,tusubiri CAG akague aone kama kuna fedha zimetumika kifisadi au hazina maelezo yanayoeleweka.
 
Kama Mnahalalisha ufisadi wa Heche mjue tu kuwa mnakiuwa chama chenu.

Mnailalamikia CCM kwa ufisadi halafu muda huo huo mnahalalisha vitendo vya uvunjifu wa uaminifu kwa makamu mwenyekiti wenu.

Kama mnamaanisha kuchukua dola na sio mzaha acheni huu ujinga.

Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni.
Heche kapewa pesa kama mwenyekiti wa chama au kama mtu binafsi? Utaratibu huko ccm upoje
Wakati mwingine muwe na akili
 
Nakuunga mkono maana kama itabainika amekula kweli fedha za chama bila kufuatia taratibu basi achukuliwe hatua tu kama wahalifu wengine
Unafiki ndio kitu unaweza.

Kwa hali ilivyo John Heche alitegemewa akubali maridhiano na CCM badala yake amesimamia msimamo wa chama chake na Mwenyekiti wao TL, propaganda zote hizi juu yake ni juu ya hilo, kama wewe hulijui hili basi ni Ajabu ama ni mmoja wa hawa wanapropaganda, au wale mliotimkia CHAUMA.
 
Kama itabainika kivipi wakati Mnyika kashaeleza wazi kwamba hizo ni Porojo ,watu wamelipwa kumchafua Heche! Fedha za chama zinakaguliwa na CAG ,tusubiri CAG akague aone kama kuna fedha zimetumika kifisadi au hazina maelezo yanayoeleweka.
Nami nimemaanisha hivyo kama CAG atabaini kuwa kuna mchezo mchafu hakuna kumuangalia mtu usoni
 
Nami nimemaanisha hivyo kama CAG atabaini kuwa kuna mchezo mchafu hakuna kumuangalia mtu usoni
Ni kweli mkuu ,hakuna anayelinda UFISADI ,ufisadi ni ufisadi uwe CDM au CCM ni UFISADI na unapswa kukemewa na wanaohusika kushughulikiwa.
 
Unafiki ndio kitu unaweza.

Kwa hali ilivyo John Heche alitegemewa akubali maridhiano na CCM badala yake amesimamia msimamo wa chama chake na Mwenyekiti wao TL, propaganda zote hizi juu yake ni juu ya hilo, kama wewe hulijui hili basi ni Ajabu ama ni mmoja wa hawa wanapropaganda, au wale mliotimkia CHAUMA.
Mimi huwezi kuifunga mdomo kisa umeniita Makina ya hovyo.
nitasimamia ninachokuamini na chenye manufaa kwa chama changu na Umma kwa ujumla
 
Kama Mnahalalisha ufisadi wa Heche mjue tu kuwa mnakiuwa chama chenu.

Mnailalamikia CCM kwa ufisadi halafu muda huo huo mnahalalisha vitendo vya uvunjifu wa uaminifu kwa makamu mwenyekiti wenu.

Kama mnamaanisha kuchukua dola na sio mzaha acheni huu ujinga.

Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni.

Hizi nguvu mngetumia kupiga kelele kwa kodi zetu, aisee inchi yetu ingekuwa kama dubai
 
Ni kweli mkuu ,hakuna anayelinda UFISADI ,ufisadi ni ufisadi uwe CDM au CCM ni UFISADI na unapswa kukemewa na wanaohusika kushughulikiwa.
Nakushukuru sana kwa kupewa ndugu,maana wote tunajenga chama chetu
 
Kama itabainika kivipi wakati Mnyika kashaeleza wazi kwamba hizo ni Porojo ,watu wamelipwa kumchafua Heche! Fedha za chama zinakaguliwa na CAG ,tusubiri CAG akague aone kama kuna fedha zimetumika kifisadi au hazina maelezo yanayoeleweka.
Failure wa chuo atasema ukweli??
 
Failure wa chuo atasema ukweli??
Kielimu hauwezi kumfikia Mnyika hata kwa sekunde moja ,wakati wewe Form IV ulipata Div IV ya 33 yeye mnyika alipiga Division I ya Point 7 huku akiwa na A 10 kwenye masomo yote.
 
Mambo yanayohusisha pesa ni namba.

Semeni Heche ameiba kiasi gani, mbona hamtaki kutaja kiasi?

Mnasema "wadau"walimpa pesa hao wadau hawana majina ?

Hao wadau kwanini wasitoke hadharani kuja kuanika ufisadi wa Heche kwa kuonyesha hizo pesa walituma lini na kiasi gani na kutuonyesha huo wizi?

Acheni kuzunguka tunawasubiri anikeni hayo wengine hatutetei wizi hivyo kelele zisizo na uthibitisho ndio zinafanya tuamini hizi ni sarakasi.
 
Kielimu hauwezi kumfikia Mnyika hata kwa sekunde moja ,wakati wewe Form IV ulipata Div IV ya 33 yeye mnyika alipiga Division I ya Point 7 huku akiwa na A 10 kwenye masomo yote.
Akadisco chuo
 
Kama Mnahalalisha ufisadi wa Heche mjue tu kuwa mnakiuwa chama chenu.

Mnailalamikia CCM kwa ufisadi halafu muda huo huo mnahalalisha vitendo vya uvunjifu wa uaminifu kwa makamu mwenyekiti wenu.

Kama mnamaanisha kuchukua dola na sio mzaha acheni huu ujinga.

Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni.
Wewe kula za mmewako choko abduli anayekupanua makalio yako hayo mpaka akili zipo mkundvni,stupid .
Ya Chadema yaachie chadema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom