CHADEMA mnakosea kulea Ufisadi wa Heche

CHADEMA mnakosea kulea Ufisadi wa Heche

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
39,912
Reaction score
50,979
Kama Mnahalalisha ufisadi wa Heche mjue tu kuwa mnakiuwa chama chenu.

Mnailalamikia CCM kwa ufisadi halafu muda huo huo mnahalalisha vitendo vya uvunjifu wa uaminifu kwa makamu mwenyekiti wenu.

Kama mnamaanisha kuchukua dola na sio mzaha acheni huu ujinga.

Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni.
 
Hii propaganda imeshajuliakana njoeni na nyingine.
Mkuu jamaa kapiga mkubali tu au huko kwenu hamna watu inabidi mlee wapigaji kwa lazima.

Jamaa kala hela za Chama.

Simple as that.
 
Kama Mnahalalisha ufisadi wa Heche mjue tu kuwa mnakiuwa chama chenu.

Mnailalamikia CCM kwa ufisadi halafu muda huo huo mnahalalisha vitendo vya uvunjifu wa uaminifu kwa makamu mwenyekiti wenu.

Kama mnamaanisha kuchukua dola na sio mzaha acheni huu ujinga.

Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni.

Aisee Heche amewapiga kwenye mshono mpaka mnaweweseka.
 
Kama Mnahalalisha ufisadi wa Heche mjue tu kuwa mnakiuwa chama chenu.

Mnailalamikia CCM kwa ufisadi halafu muda huo huo mnahalalisha vitendo vya uvunjifu wa uaminifu kwa makamu mwenyekiti wenu.

Kama mnamaanisha kuchukua dola na sio mzaha acheni huu ujinga.

Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni.
Nakuunga mkono maana kama itabainika amekula kweli fedha za chama bila kufuatia taratibu basi achukuliwe hatua tu kama wahalifu wengine
 
CCM vichwa vimejaa maji taka, mnahangaika na chama hata hakijashiriki uchaguzi.
Katiba haidaiwi mkiwa nchi za nje.

Shirikini uchaguzi mkaseme haya katina official platforms.
 
Acha ufala ww. Sawa, kala. Kala hela zetu na tunafurahi kazila . Wewe sio CDM, hela zetu zilizoliwa zinakuuma nini na sisi hatujalalamika? Acha umama!!
Unakataa nini na kufanya nini??
 
Kama Mnahalalisha ufisadi wa Heche mjue tu kuwa mnakiuwa chama chenu.

Mnailalamikia CCM kwa ufisadi halafu muda huo huo mnahalalisha vitendo vya uvunjifu wa uaminifu kwa makamu mwenyekiti wenu.

Kama mnamaanisha kuchukua dola na sio mzaha acheni huu ujinga.

Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni.
Wa heche ndio mnauona wa mzanji aah! Mikunduu sana nyie
 
Ulimsikia JJ Mnyika kuhusu tone tone na makusanyo ya mapato kwenye mikutano jinsi inavyokuwa? Uliona utaratibu wake jinis ulivyo?
Achana na tone tone.

Kuna pesa kapewa na wafanyabiashara kwa ajili ya chama.

Kazipiga.
 
Hizo hazifiki hata nusu ya maduhuli
Heche yupo sana ,kama mlianza na bongo movie za salum mwalimu kumuondoa ili ije KUKIKI kwa Heche ,ngoma imebuma rudisheni milioni 2 mlizokula kwa ABDUL.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom