CHADEMA mna chaguo za kubaki salama

CHADEMA mna chaguo za kubaki salama

Nitaenda moja kwa moja kwenye msingi wa hoja yangu.

Option ya kwanza: Chadema ya leo inahitaji viongozi watakaokirudisha chama kwenye misingi yake ya zamani, misingi ya ujasiri, misingi ya hoja, misingi ya uanaharakati. Kuirudisha Chadema ya kina Slaa, Chadema ya kina Heche wakisema tukawatoe viongozi mahabusu vijana wanakwenda. Leo viongozi na wanachama wanauawa, wanatekwa, wanapotezwa, sijasikia tamko lolote la nguvu la chama zaidi ya press conference. Utawala huu sio wa press conférence, ni utawala wa kutunishiana misuli ni utawala wa Ukuta.

Option ya pili: Ili kukirudisha chama kwenye mstari, tangazeni maandamano ya amani kama yale ya Ukuta kushinikiza katiba mpya ninaimani taasisi mbalimbali na watanzania wengi watawaunga mkono na chama kitarudi kwenye hadhi yake.

Option ya tatu: Kupitia kamati kuu, chama kiamue kuunga mkono maandamano ya trh 26/4 yaliyoandaliwa na wananchi, kitendo hiki kitakaishitua serikali na kuilazimisha kuwaita kwa lengo la kukaa pamoja ili kuzungumza na kumaliza tofauti zilizopo. Hii option ina risk kubwa lakini ina faida nyingi na za haraka, the more the risk the more the profit.

Option ya Nne: Najua hii itaonekana kuwa ngumu kidogo lakini nyepesi. Hakika uchaguzi ujao utakuwa ngumu kwa Chadema, chama kisipobadili mbinu za ushindi karibu wabunge wote wa Chadema hawatarudi bungeni (fact). Bunge halitakuwa na Msigwa wala Lema wala Mdee wala Mnyika, wala Bulaya. Ili kujiweka salama aidha Chama au wabunge wote waamue kumuunga mkono Magufuli kama wenzenu wanavyofanya au wabunge wakae kimya kusubiri mafao yao yawasaidie kuanza maisha mpya ya uraiani baada ya uchaguzi wa 2020.

Ili kubaki salama lazima chama kiamue kuchagua option mojawapo vinginevyo kitaendelea kupukutika na pengine kubaki jina kama vyama vingine.
Kwa haya manyanyaso umesahau kitu kimoja, washtakiwe mahakama ya kimataifa, manake mahakama zetu wamepeleka kesi zao hakuna hakimu anayepokea kesi zao kisa kuogopa bashite, hakuna hakinu wala wakiki wa serikali anaekubali kupokea kesi zao, watazungushwa weeee na kupigwa kalenda
 
Mkuu Quinine, kwanza naiunga mkono hoja hii, this is the best option, kwa sababu siku zote, haki haombwi, wala hailetwi kwenye kisahani cha chai, haki inadaiwa!, Chadema watangaze maandamano ya kifo, wamthibitishie rais Magufuli na polisi wake wote na jeshi lake lote kuwa siku hiyo, wataingia mitaani kuandamani na wote wako tayari kufa, ni heri kufa ukipigania haki, kuliko mtumwa anayelishwa makombo. Kama ni kweli polisi wetu na jeshi letu limegeuka gestapo na kutumia risasi za moto kama Soweto ile tarehe 16/6/1976, au Tiananmen Squire kule Uchina, then damu hiyo ndio itapanda mbegu ya ukombozi na amini usiamini, Karma itawashughulikia wauaji hao mmoja mmoja na hakuna hata mmoja wao ataondoka kwa amani, Malipo ni hapa hapa duniani.
Tatizo la uamuzi huu, hauwezi kufanyika Chini ya Kamanda MBOWE, ili hili lifanyike, MBOWE akubali tuu kupisha, akabidhi chama kwa vichaa kama Lissu na Lema kwa lengo tuu la kusimamia Mapambano.
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Hiki ndicho kitu kinachokwenda kutokea 2020, Chadema inakwenda kupoteza majimbo yote hadi MBOWE mwenyewe hatorudi, hivyo mbunge au diwani yoyote wa Chadema, anayetaka kurudi Bungeni au kitini, ni ama aamue kupumzika siasa, ama ajiunge CCM!.

Hili nimelisema vizuri hapa.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
P.
Kwa wizi na kuweka makada nabkunyimwa viapo, hapo nakubaliana na wewe
 
Nitaenda moja kwa moja kwenye msingi wa hoja yangu.

Option ya kwanza: Chadema ya leo inahitaji viongozi watakaokirudisha chama kwenye misingi yake ya zamani, misingi ya ujasiri, misingi ya hoja, misingi ya uanaharakati. Kuirudisha Chadema ya kina Slaa, Chadema ya kina Heche wakisema tukawatoe viongozi mahabusu vijana wanakwenda. Leo viongozi na wanachama wanauawa, wanatekwa, wanapotezwa, sijasikia tamko lolote la nguvu la chama zaidi ya press conference. Utawala huu sio wa press conférence, ni utawala wa kutunishiana misuli ni utawala wa Ukuta.

Option ya pili: Ili kukirudisha chama kwenye mstari, tangazeni maandamano ya amani kama yale ya Ukuta kushinikiza katiba mpya ninaimani taasisi mbalimbali na watanzania wengi watawaunga mkono na chama kitarudi kwenye hadhi yake.

Option ya tatu: Kupitia kamati kuu, chama kiamue kuunga mkono maandamano ya trh 26/4 yaliyoandaliwa na wananchi, kitendo hiki kitakaishitua serikali na kuilazimisha kuwaita kwa lengo la kukaa pamoja ili kuzungumza na kumaliza tofauti zilizopo. Hii option ina risk kubwa lakini ina faida nyingi na za haraka, the more the risk the more the profit.

Option ya Nne: Najua hii itaonekana kuwa ngumu kidogo lakini nyepesi. Hakika uchaguzi ujao utakuwa ngumu kwa Chadema, chama kisipobadili mbinu za ushindi karibu wabunge wote wa Chadema hawatarudi bungeni (fact). Bunge halitakuwa na Msigwa wala Lema wala Mdee wala Mnyika, wala Bulaya. Ili kujiweka salama aidha Chama au wabunge wote waamue kumuunga mkono Magufuli kama wenzenu wanavyofanya au wabunge wakae kimya kusubiri mafao yao yawasaidie kuanza maisha mpya ya uraiani baada ya uchaguzi wa 2020.

Ili kubaki salama lazima chama kiamue kuchagua option mojawapo vinginevyo kitaendelea kupukutika na pengine kubaki jina kama vyama vingine.


Kwa kuzingatia Option four, hemu nipe maana ya ili kubaki salama ni nini? maana mi naamini kubaki salama ni kuendelea na shughuli za chama
/
 
Mimi naona ugaidi tu ndio njia pekee ya ukombozi.
 
Jiwe ametumwa na shetan kuja kuimaliza tanzania
Kumbe umeona??

Option pekee kwa Chadema iliyobaki ni kufunga na kukesha mkimwomba Mungu, ili huyu shetani aliyeingia nchini, apate kuondoka kabla maafa makubwa hayajatokea nchini
 
Kwani viongozi wa chadema wanatafuta haki yao binafsi?Wengi mnaongea kama kwamba chadema ni watu wa taifa jingine,rangi nyingine,sasa wanatafuta haki ndani ya nchi hii ili watambuliwe!
Kama kila mwananchi anaona mambo yanaenda sawa,hakuna sababu ya kuwepo upinzani.Na kama ni lazima uwepo,badala ya kushauri akina Mbowe wafanye nini,ninyi mnaoshauri mjiunge huko ama muanzishe vyama vyenu ili mtekeleze hizo siasa mnzodhani zitamfurahisha Mzee baba!
Hakuna mtu aliyezaliwa kuteseka kwa ajili yako na wewe unabaki unampa ushauri tu na mwingine ni wa kejeli ili akatekeze kwa ajili yako.
Kumbuka wewe pia una wajibu kwa nchi na watu wako,kama unaona huna wajibu basi ni bora kunyamaza kabisa kuliko kutoa ushauri ili watu wengine watekeleze
 
Mtazamo wangu kama chadema walikua na nia ya kuwasaidia wa tanzania hawana hasara, waiache tu ccm miananchi yenyewe itakapo wafika shingoni itaingia barabarani! Hamna namna!!!
Naamini hii ndiyo hoja yenye mantiki kubwa katika uzi huu.
 
Nitaenda moja kwa moja kwenye msingi wa hoja yangu.

Option ya kwanza: Chadema ya leo inahitaji viongozi watakaokirudisha chama kwenye misingi yake ya zamani, misingi ya ujasiri, misingi ya hoja, misingi ya uanaharakati. Kuirudisha Chadema ya kina Slaa, Chadema ya kina Heche wakisema tukawatoe viongozi mahabusu vijana wanakwenda. Leo viongozi na wanachama wanauawa, wanatekwa, wanapotezwa, sijasikia tamko lolote la nguvu la chama zaidi ya press conference. Utawala huu sio wa press conférence, ni utawala wa kutunishiana misuli ni utawala wa Ukuta.

Option ya pili: Ili kukirudisha chama kwenye mstari, tangazeni maandamano ya amani kama yale ya Ukuta kushinikiza katiba mpya ninaimani taasisi mbalimbali na watanzania wengi watawaunga mkono na chama kitarudi kwenye hadhi yake.

Option ya tatu: Kupitia kamati kuu, chama kiamue kuunga mkono maandamano ya trh 26/4 yaliyoandaliwa na wananchi, kitendo hiki kitakaishitua serikali na kuilazimisha kuwaita kwa lengo la kukaa pamoja ili kuzungumza na kumaliza tofauti zilizopo. Hii option ina risk kubwa lakini ina faida nyingi na za haraka, the more the risk the more the profit.

Option ya Nne: Najua hii itaonekana kuwa ngumu kidogo lakini nyepesi. Hakika uchaguzi ujao utakuwa ngumu kwa Chadema, chama kisipobadili mbinu za ushindi karibu wabunge wote wa Chadema hawatarudi bungeni (fact). Bunge halitakuwa na Msigwa wala Lema wala Mdee wala Mnyika, wala Bulaya. Ili kujiweka salama aidha Chama au wabunge wote waamue kumuunga mkono Magufuli kama wenzenu wanavyofanya au wabunge wakae kimya kusubiri mafao yao yawasaidie kuanza maisha mpya ya uraiani baada ya uchaguzi wa 2020.

Ili kubaki salama lazima chama kiamue kuchagua option mojawapo vinginevyo kitaendelea kupukutika na pengine kubaki jina kama vyama vingine.

Dawa ni kufanya option zote

Then hao polisi mnawaogopa wakati mnakaa nao uraiani ?? Na vitoto vyao??
 
Mkuu Quinine, kwanza naiunga mkono hoja hii, this is the best option, kwa sababu siku zote, haki haombwi, wala hailetwi kwenye kisahani cha chai, haki inadaiwa!, Chadema watangaze maandamano ya kifo, wamthibitishie rais Magufuli na polisi wake wote na jeshi lake lote kuwa siku hiyo, wataingia mitaani kuandamani na wote wako tayari kufa, ni heri kufa ukipigania haki, kuliko mtumwa anayelishwa makombo. Kama ni kweli polisi wetu na jeshi letu limegeuka gestapo na kutumia risasi za moto kama Soweto ile tarehe 16/6/1976, au Tiananmen Squire kule Uchina, then damu hiyo ndio itapanda mbegu ya ukombozi na amini usiamini, Karma itawashughulikia wauaji hao mmoja mmoja na hakuna hata mmoja wao ataondoka kwa amani, Malipo ni hapa hapa duniani.
Tatizo la uamuzi huu, hauwezi kufanyika Chini ya Kamanda MBOWE, ili hili lifanyike, MBOWE akubali tuu kupisha, akabidhi chama kwa vichaa kama Lissu na Lema kwa lengo tuu la kusimamia Mapambano.
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Hiki ndicho kitu kinachokwenda kutokea 2020, Chadema inakwenda kupoteza majimbo yote hadi MBOWE mwenyewe hatorudi, hivyo mbunge au diwani yoyote wa Chadema, anayetaka kurudi Bungeni au kitini, ni ama aamue kupumzika siasa, ama ajiunge CCM!.

Hili nimelisema vizuri hapa.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
P.

Aisee we jamaa ni mnafiki sijawahi ona hufai kabisa wewe mtu
 
Mwisho Wa cdm umefika ukingoni, walifanya dhambi mbaya kumtelekeza Dr, slaa pengo lake halitazibwa, pia kuindoka kwenye mzizi Mkuu Wa falsafa yao ya kupambana na rushwa pamoja na uadilifu ndo kiliwaoaisha, sasaiv watakuja na nini kipya kitakacho warudisha kwenye chati, ni kazi kweli
 
Hoja zako zote hazina mashiko na zimepitwa na wakati;

1. Maandamano; hayajawahi kuleta outcome positive kokote.

2. Uanaharakati; umepitwa na wakati, chama cha siasa kinauza sera sio kufanya shughuli za NGO.

3. swala la hao wabunge kutorudi bungeni ni kutokana na uzembe wao na kutotumiza majukumu Yao ya kibunge na wala sio jingine lolote.
 
Nitaenda moja kwa moja kwenye msingi wa hoja yangu.

Option ya kwanza: Chadema ya leo inahitaji viongozi watakaokirudisha chama kwenye misingi yake ya zamani, misingi ya ujasiri, misingi ya hoja, misingi ya uanaharakati. Kuirudisha Chadema ya kina Slaa, Chadema ya kina Heche wakisema tukawatoe viongozi mahabusu vijana wanakwenda. Leo viongozi na wanachama wanauawa, wanatekwa, wanapotezwa, sijasikia tamko lolote la nguvu la chama zaidi ya press conference. Utawala huu sio wa press conférence, ni utawala wa kutunishiana misuli ni utawala wa Ukuta.

Pendekezo hili linaweza kuwa zuri; lakini ni kina nani hao? Ni kiongozi gani sasa hivi wa CHADEMA anayeweza kusimama na kusema "tuandamane na kutunishiana misuri" halafu akafuatwa na maelfu ya Wanachadema?

Option ya pili: Ili kukirudisha chama kwenye mstari, tangazeni maandamano ya amani kama yale ya Ukuta kushinikiza katiba mpya ninaimani taasisi mbalimbali na watanzania wengi watawaunga mkono na chama kitarudi kwenye hadhi yake.

Angalia hoja hiyo ya kwanza; sasa hivi ukiniuliza mimi naweza kusema labda wawe viongozi wa dini na wa hizo taasisi nyingine watangaze hayo maandamano.. labda wanaweza kuwa na political clout of sort.

Option ya tatu: Kupitia kamati kuu, chama kiamue kuunga mkono maandamano ya trh 26/4 yaliyoandaliwa na wananchi, kitendo hiki kitakaishitua serikali na kuilazimisha kuwaita kwa lengo la kukaa pamoja ili kuzungumza na kumaliza tofauti zilizopo. Hii option ina risk kubwa lakini ina faida nyingi na za haraka, the more the risk the more the profit.

Itakuwa ni kukubali kushindwa; kuunga mkono maandamano yanayofikiriwa ya Aprili 26. Hapa nadhani unakisia sana mwitikio wa serikali (wakati wa JK ningekubali hili linaweza, wakati huu??? there is a new sheriff in town). Ila, wakikaa kimya waone kama wananchi watajitokeza kuunga mkono maandamano hayo - waangalie mwitikio wa watu kwenye makutano yaliyoandaliwa - wananchi wengi wakitokea, upinzani unaweza kudandia rasmi hoja yao... ndivyo ilivyotokea Tunisia na Misri...

Option ya Nne: Najua hii itaonekana kuwa ngumu kidogo lakini nyepesi. Hakika uchaguzi ujao utakuwa ngumu kwa Chadema, chama kisipobadili mbinu za ushindi karibu wabunge wote wa Chadema hawatarudi bungeni (fact). Bunge halitakuwa na Msigwa wala Lema wala Mdee wala Mnyika, wala Bulaya. Ili kujiweka salama aidha Chama au wabunge wote waamue kumuunga mkono Magufuli kama wenzenu wanavyofanya au wabunge wakae kimya kusubiri mafao yao yawasaidie kuanza maisha mpya ya uraiani baada ya uchaguzi wa 2020.

Hii ni chungu lakini inaweza kuwa ndio kweli sana na kweli ngumu kumeza..
 
CCM tuwe macho na hili la nne tunapowapokea kama wanakuja ndani wapinzani nje CCM, wakisubiri uchaguzi warudi katika nafasi zao wamevalia rasmi, tutakwisha.
 
Wasirudi tu wapoteze majimbo yote bunge zima liwe ccm liwe ni ndiooooooooooooooo mwanzo mwisho kwani hasara ya nani bwana!
Ndiyooooooooooo! Hahahahha but kumbuka "muda ni mwalimu"
 
Kila jambo lina risk yake ukiogopa risk hutafanikiwa, sawa siasa za hoja zinatakiwa kwa mtu anayekusikiliza.
Eti hoja,hivi mzilankende anasikiliza hoja!,akiwa nyampala wa barabara haukusikiliza hoja iweje leo?.
Huwezi shindana kwa hoja na anaeamini kua yeye pekee ndo musa wa tanganyika
 
Mkuu Heche na Lema hawana ushawishi. Ingekuwa Lissu au Mnyika ingeleta mwamko mpya. Ushawishi upo kwenye hoja, mantiki, na jinsi jamii inavyokuheshimu na kukuamini. Lissu na Mnyika ndio hazina pekee iliyosalia. Akina Nyerere walifanikiwa kupitia hoja na ushawishi. Kuweza kumobilize watu ni karama.
Nakuelewa, nimewataja Heche na Lema kulingana na situation yenyewe kwa sasa, ingekuwa enzi siasa za hoja hata Mbowe angetosha.
 
Inawezekana kweli kuna wajinga wengi sana wanaodhani haya ni mapambano kati ya CCM na CHADEMA au kati ya Magufuli na Mbowe. Siku “CHADEMA” itakapotoweka kabisa kwa hizi harakati za mauaji ndipo fahamu zitakapowarejea wengi kuhusu mshindi halisi na “loser” ni nani hasa.

Hata ndani ya CCM yenyewe wenye akili hawachekelei ujinga unaoendelea. Hili hapa ni bandiko la wasiojitambua kabisa.
 
Mkuu Quinine, kwanza naiunga mkono hoja hii, this is the best option, kwa sababu siku zote, haki haombwi, wala hailetwi kwenye kisahani cha chai, haki inadaiwa!, Chadema watangaze maandamano ya kifo, wamthibitishie rais Magufuli na polisi wake wote na jeshi lake lote kuwa siku hiyo, wataingia mitaani kuandamani na wote wako tayari kufa, ni heri kufa ukipigania haki, kuliko mtumwa anayelishwa makombo. Kama ni kweli polisi wetu na jeshi letu limegeuka gestapo na kutumia risasi za moto kama Soweto ile tarehe 16/6/1976, au Tiananmen Squire kule Uchina, then damu hiyo ndio itapanda mbegu ya ukombozi na amini usiamini, Karma itawashughulikia wauaji hao mmoja mmoja na hakuna hata mmoja wao ataondoka kwa amani, Malipo ni hapa hapa duniani.
Tatizo la uamuzi huu, hauwezi kufanyika Chini ya Kamanda MBOWE, ili hili lifanyike, MBOWE akubali tuu kupisha, akabidhi chama kwa vichaa kama Lissu na Lema kwa lengo tuu la kusimamia Mapambano.
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Hiki ndicho kitu kinachokwenda kutokea 2020, Chadema inakwenda kupoteza majimbo yote hadi MBOWE mwenyewe hatorudi, hivyo mbunge au diwani yoyote wa Chadema, anayetaka kurudi Bungeni au kitini, ni ama aamue kupumzika siasa, ama ajiunge CCM!.

Hili nimelisema vizuri hapa.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
P.
Mkuu paskali,leo umeamuaaa[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] .kutoka mafichoni,namaanisha kua hujaandika kwa aina ileee ya uandishi wako wa zama hizi za mzilankendee[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom