CHADEMA mna chaguo za kubaki salama

CHADEMA mna chaguo za kubaki salama

Mkuu Quinine, kwanza naiunga mkono hoja hii, this is the best option, kwa sababu siku zote, haki haombwi, wala hailetwi kwenye kisahani cha chai, haki inadaiwa!, Chadema watangaze maandamano ya kifo, wamthibitishie rais Magufuli na polisi wake wote na jeshi lake lote kuwa siku hiyo, wataingia mitaani kuandamani na wote wako tayari kufa, ni heri kufa ukipigania haki, kuliko mtumwa anayelishwa makombo. Kama ni kweli polisi wetu na jeshi letu limegeuka gestapo na kutumia risasi za moto kama Soweto ile tarehe 16/6/1976, au Tiananmen Squire kule Uchina, then damu hiyo ndio itapanda mbegu ya ukombozi na amini usiamini, Karma itawashughulikia wauaji hao mmoja mmoja na hakuna hata mmoja wao ataondoka kwa amani, Malipo ni hapa hapa duniani.
Tatizo la uamuzi huu, hauwezi kufanyika Chini ya Kamanda MBOWE, ili hili lifanyike, MBOWE akubali tuu kupisha, akabidhi chama kwa vichaa kama Lissu na Lema kwa lengo tuu la kusimamia Mapambano.
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
Mkuu Pascal, kama nilivyosema option ya 3 ni nzuri ila ni risk sana, nakubaliana na wewe kuwa kama Chadema wata opt hii option Mbowe hafai kuongoza sio kwamba asiwe mkiti bali asiongoze opération, mtu sahihi wa opération hii ni Heché akisaidiwa na Lema ni wazuri kwa mobilazation, siasa za Mbowe ni za kistaarabu sana ingawa Magufuli anamtreat siyo.
 
Nitaenda moja kwa moja kwenye msingi wa hoja yangu.

Option ya kwanza: Chadema ya leo inahitaji viongozi watakaokirudisha chama kwenye misingi yake ya zamani, misingi ya ujasiri, misingi ya hoja, misingi ya uanaharakati. Kuirudisha Chadema ya kina Slaa, Chadema ya kina Heche wakisema tukawatoe viongozi mahabusu vijana wanakwenda. Leo viongozi na wanachama wanauawa, wanatekwa, wanapotezwa, sijasikia tamko lolote la nguvu la chama zaidi ya press conference. Utawala huu sio wa press conférence, ni utawala wa kutunishiana misuli ni utawala wa Ukuta.

Option ya pili: Ili kukirudisha chama kwenye mstari, tangazeni maandamano ya amani kama yale ya Ukuta kushinikiza katiba mpya ninaimani taasisi mbalimbali na watanzania wengi watawaunga mkono na chama kitarudi kwenye hadhi yake.

Option ya tatu: Kupitia kamati kuu, chama kiamue kuunga mkono maandamano ya trh 26/4 yaliyoandaliwa na wananchi, kitendo hiki kitakaishitua serikali na kuilazimisha kuwaita kwa lengo la kukaa pamoja ili kuzungumza na kumaliza tofauti zilizopo. Hii option ina risk kubwa lakini ina faida nyingi na za haraka, the more the risk the more the profit.

Option ya Nne: Najua hii itaonekana kuwa ngumu kidogo lakini nyepesi. Hakika uchaguzi ujao utakuwa ngumu kwa Chadema, chama kisipobadili mbinu za ushindi karibu wabunge wote wa Chadema hawatarudi bungeni (fact). Bunge halitakuwa na Msigwa wala Lema wala Mdee wala Mnyika, wala Bulaya. Ili kujiweka salama aidha Chama au wabunge wote waamue kumuunga mkono Magufuli kama wenzenu wanavyofanya au wabunge wakae kimya kusubiri mafao yao yawasaidie kuanza maisha mpya ya uraiani baada ya uchaguzi wa 2020.

Ili kubaki salama lazima chama kiamue kuchagua option mojawapo vinginevyo kitaendelea kupukutika na pengine kubaki jina kama vyama vingine.
Nadhani option ya nne ndio nzuri zaidi
 
Ndoto ya Lema ni story za alinacha.
Yule nabii ni nabii wa Uongo.
Umetaja kitu realistic and wishfullthinking. Ndoto ya Lema inaangukia kwenye wishfull thinking.

Na Reality ni kua RAISI ANA VIPINDI VIWILI MFUKONI NA AKITAKA KUONGEZA MUDA KAMA CHINA, NAIONA NDOTO YAKE IKITIMIA KAMA XI JIMPING.
 
Bandiko linaonesha unaamini chama chako kipo nje ya msitari kimekosa mvuto
Tukiwaambia chadema hawapo kwa maslahi ya wananchi unatokwa povu
Chama kuwa nje ya mstari sio kwamba hakipo kwa maslahi ya wananchi unaweza kuwa nje ya mstari lkn bado unakimbia uelekeo ule ule, ndiyo Chadema iko nje ya mstari pengine kwa kusukumwa lkn bado iko focused ni jukumu la wanachama wenyewe kukirudisha kwenye mstari.
 
Mkuu Pascal, kama nilivyosema option ya 3 ni nzuri ila ni risk sana, nakubaliana na wewe kuwa kama Chadema wata opt hii option Mbowe hafai kuongoza sio kwamba asiwe mkiti bali asiongoze opération, mtu sahihi wa opération hii ni Heché akisaidiwa na Lema ni wazuri kwa mobilazation, siasa za Mbowe ni za kistaarabu sana ingawa Magufuli anamtreat siyo.
Mkuu Heche na Lema hawana ushawishi. Ingekuwa Lissu au Mnyika ingeleta mwamko mpya. Ushawishi upo kwenye hoja, mantiki, na jinsi jamii inavyokuheshimu na kukuamini. Lissu na Mnyika ndio hazina pekee iliyosalia. Akina Nyerere walifanikiwa kupitia hoja na ushawishi. Kuweza kumobilize watu ni karama.
 
Serikali ya ccm inatumia gharama na nguvu kubwa kuua upinzani lakini inasahau kuna upinzani mpya unazaliwa kila siku ktk mioyo ya watanzania.

Upinzani ambao siku ukisimama ukasema enough is enough ; in short, hakuna atakayeweza kuuzuiya.
 
Mkuu Heche na Lema hawana ushawishi. Ingekuwa Lissu au Mnyika ingeleta mwamko mpya. Ushawishi upo kwenye hoja, mantiki, na jinsi jamii inavyokuheshimu na kukuamini. Lissu na Mnyika ndio hazina pekee iliyosalia. Akina Nyerere walifanikiwa kupitia hoja na ushawishi. Kuweza kumobilize watu ni karama.
Nikimuangalia JJ kwenye politics, huyu ni mjamaa halisi wa Nyerere type, politics ndio full job yake kama Dr. Slaa, hii survive na heathy ya Chadema inayoonekana sasa, inatokana na ruzuku, Chadema bila wabunge, hakuna kitu, sasa kwa watu wanaotegemea politics as full time job, have no choice but to cross, hata Lema Arusha atapoteza, lakini kwa Lema, kuliko ku cross, ataamua bora afe kizungu na tai shingoni, ila he will be he has made enough kufanya biashara, vinginevyo atarudia kazi yake ile, ila this time kwa kuwatuma vijana!. JJ is too young to sink with Chadema na hayuko peke yake.

P.
 
Ndoto ya Lema ni story za alinacha.
Yule nabii ni nabii wa Uongo.
Umetaja kitu realistic and wishfullthinking. Ndoto ya Lema inaangukia kwenye wishfull thinking.

Na Reality ni kua RAISI ANA VIPINDI VIWILI MFUKONI NA AKITAKA KUONGEZA MUDA KAMA CHINA, NAIONA NDOTO YAKE IKITIMIA KAMA XI JIMPING.
Tema mate chini...kwa sababu hakuna binadamu yoyote mwenye gurantee!, kwa maana hamjui siku wala saa!, Lema sio Mungu na wewe sio Mungu kumpangia Mungu, mambo ya Mungu, mwachie Mungu, unachoweza kufanya ni kumuombea tuu, lakini huwezi kuzuia lolote kama limepangwa!. Mungu huongea na binadamu kupitia ndoto, nyingine za kweli, nyingine za uongo.

Time will tell!.
P.
 
Tukiwaambia chadema hawapo kwa maslahi ya wananchi unatokwa povu
CCM ndiyo wapo kwenye maslahi ya wananchi? Nchi hii si ingekuwa sawa na South Korea, Uchina, Taiwan ama Singapore ambazo zilikuwa maskini sawa na Tanzania miaka ya 1960 hadi 1970??
 
Nitaenda moja kwa moja kwenye msingi wa hoja yangu.

Option ya kwanza: Chadema ya leo inahitaji viongozi watakaokirudisha chama kwenye misingi yake ya zamani, misingi ya ujasiri, misingi ya hoja, misingi ya uanaharakati. Kuirudisha Chadema ya kina Slaa, Chadema ya kina Heche wakisema tukawatoe viongozi mahabusu vijana wanakwenda. Leo viongozi na wanachama wanauawa, wanatekwa, wanapotezwa, sijasikia tamko lolote la nguvu la chama zaidi ya press conference. Utawala huu sio wa press conférence, ni utawala wa kutunishiana misuli ni utawala wa Ukuta.

Option ya pili: Ili kukirudisha chama kwenye mstari, tangazeni maandamano ya amani kama yale ya Ukuta kushinikiza katiba mpya ninaimani taasisi mbalimbali na watanzania wengi watawaunga mkono na chama kitarudi kwenye hadhi yake.

Option ya tatu: Kupitia kamati kuu, chama kiamue kuunga mkono maandamano ya trh 26/4 yaliyoandaliwa na wananchi, kitendo hiki kitakaishitua serikali na kuilazimisha kuwaita kwa lengo la kukaa pamoja ili kuzungumza na kumaliza tofauti zilizopo. Hii option ina risk kubwa lakini ina faida nyingi na za haraka, the more the risk the more the profit.

Option ya Nne: Najua hii itaonekana kuwa ngumu kidogo lakini nyepesi. Hakika uchaguzi ujao utakuwa ngumu kwa Chadema, chama kisipobadili mbinu za ushindi karibu wabunge wote wa Chadema hawatarudi bungeni (fact). Bunge halitakuwa na Msigwa wala Lema wala Mdee wala Mnyika, wala Bulaya. Ili kujiweka salama aidha Chama au wabunge wote waamue kumuunga mkono Magufuli kama wenzenu wanavyofanya au wabunge wakae kimya kusubiri mafao yao yawasaidie kuanza maisha mpya ya uraiani baada ya uchaguzi wa 2020.

Ili kubaki salama lazima chama kiamue kuchagua option mojawapo vinginevyo kitaendelea kupukutika na pengine kubaki jina kama vyama vingine.

Kwa sababu inasemekana kuwa chama changu kinawavuna upinzani kwa vitisho...nawashauri tu wapinzani wenye ujasiri wajiunge na chama chetu kuunga mkono juhudi za mwenyekiti wetu kwa masharti ya kupewa nafasi ya kutetea viti vyao...then wakishatinga mjengo waanze movement za chinichini ndani ya chama, nina hakika kuna wabunge wengi sana ndani ya chama wanatamani kusema ya moyoni ila ni waoga...wakiibuka watu watatu hadi watano ndani ya chama chetu itakuwa rahisi sana kuamsha msuguano wa hoja zenye tija za kuikosoa serikali na kulipa bunge uhai na meno ya kung'ata kikamilifu...hawa jamaa wakishajenga kambi ndio chama kitarudi kwenye msingi au kupasuka katikati na upinzani kupata nguvu.
 
Chadema wanafanya soft politics kwenye huu utawala Wa kidikteta kitu ambacho ni makosa makubwa. Yaani hawa Chadema ni soft soft soft tu mithili ya kijana anayejiita Beira Baby Wa jukwaa la MMU.
 
Nitaenda moja kwa moja kwenye msingi wa hoja yangu.

Option ya kwanza: Chadema ya leo inahitaji viongozi watakaokirudisha chama kwenye misingi yake ya zamani, misingi ya ujasiri, misingi ya hoja, misingi ya uanaharakati. Kuirudisha Chadema ya kina Slaa, Chadema ya kina Heche wakisema tukawatoe viongozi mahabusu vijana wanakwenda. Leo viongozi na wanachama wanauawa, wanatekwa, wanapotezwa, sijasikia tamko lolote la nguvu la chama zaidi ya press conference. Utawala huu sio wa press conférence, ni utawala wa kutunishiana misuli ni utawala wa Ukuta.

Option ya pili: Ili kukirudisha chama kwenye mstari, tangazeni maandamano ya amani kama yale ya Ukuta kushinikiza katiba mpya ninaimani taasisi mbalimbali na watanzania wengi watawaunga mkono na chama kitarudi kwenye hadhi yake.

Option ya tatu: Kupitia kamati kuu, chama kiamue kuunga mkono maandamano ya trh 26/4 yaliyoandaliwa na wananchi, kitendo hiki kitakaishitua serikali na kuilazimisha kuwaita kwa lengo la kukaa pamoja ili kuzungumza na kumaliza tofauti zilizopo. Hii option ina risk kubwa lakini ina faida nyingi na za haraka, the more the risk the more the profit.

Option ya Nne: Najua hii itaonekana kuwa ngumu kidogo lakini nyepesi. Hakika uchaguzi ujao utakuwa ngumu kwa Chadema, chama kisipobadili mbinu za ushindi karibu wabunge wote wa Chadema hawatarudi bungeni (fact). Bunge halitakuwa na Msigwa wala Lema wala Mdee wala Mnyika, wala Bulaya. Ili kujiweka salama aidha Chama au wabunge wote waamue kumuunga mkono Magufuli kama wenzenu wanavyofanya au wabunge wakae kimya kusubiri mafao yao yawasaidie kuanza maisha mpya ya uraiani baada ya uchaguzi wa 2020.

Ili kubaki salama lazima chama kiamue kuchagua option mojawapo vinginevyo kitaendelea kupukutika na pengine kubaki jina kama vyama vingine.
Mtazamo wangu kama chadema walikua na nia ya kuwasaidia wa tanzania hawana hasara, waiache tu ccm miananchi yenyewe itakapo wafika shingoni itaingia barabarani! Hamna namna!!!
 
Mkuu Quinine, kwanza naiunga mkono hoja hii, this is the best option, kwa sababu siku zote, haki haombwi, wala hailetwi kwenye kisahani cha chai, haki inadaiwa!, Chadema watangaze maandamano ya kifo, wamthibitishie rais Magufuli na polisi wake wote na jeshi lake lote kuwa siku hiyo, wataingia mitaani kuandamani na wote wako tayari kufa, ni heri kufa ukipigania haki, kuliko mtumwa anayelishwa makombo. Kama ni kweli polisi wetu na jeshi letu limegeuka gestapo na kutumia risasi za moto kama Soweto ile tarehe 16/6/1976, au Tiananmen Squire kule Uchina, then damu hiyo ndio itapanda mbegu ya ukombozi na amini usiamini, Karma itawashughulikia wauaji hao mmoja mmoja na hakuna hata mmoja wao ataondoka kwa amani, Malipo ni hapa hapa duniani.
Tatizo la uamuzi huu, hauwezi kufanyika Chini ya Kamanda MBOWE, ili hili lifanyike, MBOWE akubali tuu kupisha, akabidhi chama kwa vichaa kama Lissu na Lema kwa lengo tuu la kusimamia Mapambano.
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Hiki ndicho kitu kinachokwenda kutokea 2020, Chadema inakwenda kupoteza majimbo yote hadi MBOWE mwenyewe hatorudi, hivyo mbunge au diwani yoyote wa Chadema, anayetaka kurudi Bungeni au kitini, ni ama aamue kupumzika siasa, ama ajiunge CCM!.

Hili nimelisema vizuri hapa.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
P.
Wasirudi tu wapoteze majimbo yote bunge zima liwe ccm liwe ni ndiooooooooooooooo mwanzo mwisho kwani hasara ya nani bwana!
 
Back
Top Bottom