Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,075
- 136,490
Hahahaa....unajua hawa watu hawako sawa kabisa vichwani mwao.
Na kadri siku zinavyosonga mbele ndo zile sifa alizozielezea rais mstaafu Mkapa zinazidi kudhihirika.
Ushindi wa huyo Uhuru huko Kenya unahusiana nini nyie CHADEMA?
Badala ya kupambana na hali yenu hapa Tanzania mnahangaika na kushangilia mambo ya wengine huko tena ambayo hayawahusu.
Halafu pia kuna watu eti wanawashangaa hawa CHADEMA kuwa kwa nini kama wao ni chama cha upinzani hapa nchini wakiunge mkono chama tawala cha huko Kenya.
Kwa akili ya kawaida watu wangedhani labda upinzani wa Tanzania ungetaka upinzani wa Kenya ushinde.
Kama CHADEMA walibadili gia angani kuhusu babu Lowasa na kumtimua mtu aliyekijenga chama chao kwa hali na mali [Dkt. Slaa], sasa ni nini cha kushangaza kuhusu wao kukiunga mkono chama tawala cha Kenya?
Laana ya Dkt. Slaa itawaandama hawa CHADEMA hadi siku ya kiama. Na wataishia kufurahia ushindi wa wengine huko kwingine na kamwe hawatokuja kufurahia mafanikio yao hapa Tanzania kwa sababu wapo kama vile ambavyo rais Mkapa alivyowaita!!
Na kadri siku zinavyosonga mbele ndo zile sifa alizozielezea rais mstaafu Mkapa zinazidi kudhihirika.
Ushindi wa huyo Uhuru huko Kenya unahusiana nini nyie CHADEMA?
Badala ya kupambana na hali yenu hapa Tanzania mnahangaika na kushangilia mambo ya wengine huko tena ambayo hayawahusu.
Halafu pia kuna watu eti wanawashangaa hawa CHADEMA kuwa kwa nini kama wao ni chama cha upinzani hapa nchini wakiunge mkono chama tawala cha huko Kenya.
Kwa akili ya kawaida watu wangedhani labda upinzani wa Tanzania ungetaka upinzani wa Kenya ushinde.
Kama CHADEMA walibadili gia angani kuhusu babu Lowasa na kumtimua mtu aliyekijenga chama chao kwa hali na mali [Dkt. Slaa], sasa ni nini cha kushangaza kuhusu wao kukiunga mkono chama tawala cha Kenya?
Laana ya Dkt. Slaa itawaandama hawa CHADEMA hadi siku ya kiama. Na wataishia kufurahia ushindi wa wengine huko kwingine na kamwe hawatokuja kufurahia mafanikio yao hapa Tanzania kwa sababu wapo kama vile ambavyo rais Mkapa alivyowaita!!