CHADEMA mbona hamueleweki?

CHADEMA mbona hamueleweki?

Wewe ni Moja ya watu mizigo kwa hili Taifa! Kwa akili yako unadhani anakomolewa JPM! Unasahau 2013 CDM walimuunga mkono Odinga na ODM yake, Kisha 2015, yeye Odinga akawageuka Cdm na kuunga mkono JPM na CCM! Leo unataka CDM wafanyeje? It is wise to shut up if you don't know!

Sent using Jamii Forums mobile app

mkuu cjawa mzigo ila nimekua mtaka haki-so sisi tunashindana na mkulu kwa kile anacho takaa-leo mkulu kumsapot odinga kumekua uvunjifu wa katba na kuanza vichuki ,odinga alituunga mkono ila kuna ubaya gani cc tukaonesha msimamo kuliko kuonesha vichuki,ninavo fahamu mm cc chadema tumekua watu wa kukomoa cku izii,msimamo wetu ni muhmu ili kuepuka kusto jifahamu-ukipenda ukweli hata awe mzee wako!! kosa utaliona tuu!!! au ndo tunaona kauli ya chama awezi kukosolewa basi neno demokrasia tuliondoshe,chama ni msimamo
 
Sikuwahi kusikia CDM wakisema hadharani kwamba wanaunga mkono Kenyatta zaidi ya kumuona ruwassa jukwaa la jubilee
 
Sikuwahi kusikia CDM wakisema hadharani kwamba wanaunga mkono Kenyatta zaidi ya kumuona ruwassa jukwaa la jubilee
 
Mwaka 2016,wakati wa uchaguzi wa kule nchini Ghana, nyinyi CHADEMA mlikuwa mkimuunga aliyekuwa mgombea wa Upinzani, Rais wa sasa wa Ghana Mhe. Nana Akufo-Addo aliyekuwa akichuana na Rais wa wakati huo, Mhe. John Dramani Mahama. Kwakuwa wote mlikuwa wapinzani, uungaji wenu mkono ulikuwa unaeleweka.

Mwaka huu, katika uchaguzi wa Kenya, CHADEMA mmemuunga mkono waziwazi Rais wa sasa wa Kenya na mgombea wa Jubilee Mhe. Uhuru Jomo Kenyatta. Ndiyo kusema, mmeunga mkono chama tawala ili kiendelee kutawala kule nchini Kenya. Mpinzani kuunga mkono chama tawala, ambacho nchini mwake anapambana kukiondoa madarakani, ni jambo la kustaajabisha.

Mwanachama wenu na Mjumbe wa Kamati Kuu, Ndugu Edward Ngoyai Lowassa amejitokeza mubashara jukwaa la Jubilee kukipigania chama tawala Kenya ili kiendelee kutawala. Kama Rais Uhuru Kenyatta atashinda tena, naye atapanda jukwaa la CHADEMA mwaka 2020 kuwanadi? Imekuwaje hadi nyinyi wapinzani muunge mkono chama tawala?

Tuamini kuwa hata Tanzania nyinyi CHADEMA mnazuga tu kupambana na chama tawala CCM huku mkiwa mnapenda CCM iendelee kuongoza? Kwakweli, CHADEMA hamueleweki kirahisi katika hili!

Kamanda: you are wrong. Ushindi wa mshindi siku zote ni ushindi wa chama tawala nchi zingine zote. Siku Rais Uhuru akiapishwa watakuja marais wa nchi jirani na watakaa mbele. Kama Mtemi wa Wamasai wa East Africa na yeye ataamua kwenda, protokali zitasema akae kwenye manyata ya Wamasai wenziye - mwulize Tundulissu akusimulie Geneva Convention.

Tukiachilia mbali utani, mimi naona CHADEMA ni sawa na ODM ya Raila Odinga kwa sababu zifuatazo:

1. Nguvu za Chadema ziko kwa wahuni wa mjuini nja bodaboda. Nguvu za ODM ziko kwa pickpockets wa Mathare.

2. Nguvu za CCM ziko Vijijini, hasa sehemeu zilizoendela. Nguvu za jubilee ya Kenyatta ziko Rift Valley na Umasaini na nchi ya makabila waitwao Wasuk, Wasomali, Wakalenjin. Nguvu za ODM ziko kwa Wasomi na Maprofesa wa mjini.

3. ODM ilirithiwa na Raila Odinga kutoka kwa Baba yake Jaramogi Oginga Odinga tangu enzi za kufukuza Ukoloni. Mbowe karithi CHADEMA kwa Mzee Mtei baba yake mdogo. Ni chama cha kikundi cha kikanda cha kinasaba - angalia Viti Maalum ni kina nani. Na ODM hivyo hiyo.

4. Kenyatta ni Chama Tawala. CCM ni chama tawala. CHADEMA ni upinzani. ODM ni upinzani.

5. CHADEMA kimejaa Wajaluo wa Musoma (ukiwatoa wana nasaba). ODM kimejaa Wajaluo.

WM
 
mkuu cjawa mzigo ila nimekua mtaka haki-so sisi tunashindana na mkulu kwa kile anacho takaa-leo mkulu kumsapot odinga kumekua uvunjifu wa katba na kuanza vichuki ,odinga alituunga mkono ila kuna ubaya gani cc tukaonesha msimamo kuliko kuonesha vichuki,ninavo fahamu mm cc chadema tumekua watu wa kukomoa cku izii,msimamo wetu ni muhmu ili kuepuka kusto jifahamu-ukipenda ukweli hata awe mzee wako!! kosa utaliona tuu!!! au ndo tunaona kauli ya chama awezi kukosolewa basi neno demokrasia tuliondoshe,chama ni msimamo
Msimamo kwa mtu aliekusaliti na kwenda Kambi nyingine? Kuna Mapenzi ya kulazimishana Karne hii? Hebu kaa chini tafakari maana unachokitaka hakipo wala hakitawahi kutokea katika Political Trend yoyote ile! Leo CDM ni Chama Rafiki na Chama kilichopo Madarakani nchini Ghana, ukisema msimamo ni kwamba tusiwe na urafiki na vyama Tawala, tu maintain kuwa Wapinzani, huko ni kuwa na mindset ya Upinzani forever, na sii kuja kushika dola! Change your mindset bro!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuwahi kusikia CDM wakisema hadharani kwamba wanaunga mkono Kenyatta zaidi ya kumuona ruwassa jukwaa la jubilee

tuseme ukweli ushabiki pembeni ,wafuasi takribani wengi makamanda wanaunga mkono uhuru kwa sababu tuu mkulu anaunga mkono jaramogi odinga-tanzania yangu siasa za kukomoana zitaisha lini!!!, na kama tunabisha pitia accounts za wana cdm leo hii uone!! tuwe na msimamo na muelekeo ,itatufikisha kwenye haki-na kiukweli kisu kilocho mchinja nasa ndo kitakacho tumaliza upinzani 2020-

nawapongeza sana cuf kwa kusto kurupuka kwa hili-
 
Mwaka 2016,wakati wa uchaguzi wa kule nchini Ghana, nyinyi CHADEMA mlikuwa mkimuunga aliyekuwa mgombea wa Upinzani, Rais wa sasa wa Ghana Mhe. Nana Akufo-Addo aliyekuwa akichuana na Rais wa wakati huo, Mhe. John Dramani Mahama. Kwakuwa wote mlikuwa wapinzani, uungaji wenu mkono ulikuwa unaeleweka.

Mwaka huu, katika uchaguzi wa Kenya, CHADEMA mmemuunga mkono waziwazi Rais wa sasa wa Kenya na mgombea wa Jubilee Mhe. Uhuru Jomo Kenyatta. Ndiyo kusema, mmeunga mkono chama tawala ili kiendelee kutawala kule nchini Kenya. Mpinzani kuunga mkono chama tawala, ambacho nchini mwake anapambana kukiondoa madarakani, ni jambo la kustaajabisha.

Mwanachama wenu na Mjumbe wa Kamati Kuu, Ndugu Edward Ngoyai Lowassa amejitokeza mubashara jukwaa la Jubilee kukipigania chama tawala Kenya ili kiendelee kutawala. Kama Rais Uhuru Kenyatta atashinda tena, naye atapanda jukwaa la CHADEMA mwaka 2020 kuwanadi? Imekuwaje hadi nyinyi wapinzani muunge mkono chama tawala?

Tuamini kuwa hata Tanzania nyinyi CHADEMA mnazuga tu kupambana na chama tawala CCM huku mkiwa mnapenda CCM iendelee kuongoza? Kwakweli, CHADEMA hamueleweki kirahisi katika hili!
Mkuu 2015 Odinga ambaye ni icon ya upinzani Kenya alikuwa akimuunga mkono mgombea yupi kati ya Lowasa wa upinzani na Magufuri wa Chama tawala Tanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la chadema ni kuwa wameshindwa kufanya siasa Tanzania,na hawana mbinu nyingine wameamua kuelekeza stress nchi jirani.
Hawa chadema ni genge la wasanii na wasaka tonge tu
 
..kwenye nchi za wenzetu ambako demokrasia zao zimekomaa kuna VYAMA VYA SIASA.

..wenzetu hawana siasa changa za chama tawala vs chama upinzani.

..Chama kilichoshinda uchaguzi Ghana kilikuwa madarakani wakati wa Raisi John Kuffour.

..Raisi wa Ghana wa sasa hivi Nana Ado alijaribu kumrithi John Kuffour lakini akashindwa.

..CDM wanapaswa kuwa na VYAMA RAFIKI bila kujali vyama hivyo viko madarakani au la.

.

Hivi huo urafiki unatokana na nini? What do they stand for?
 
Msimamo kwa mtu aliekusaliti na kwenda Kambi nyingine? Kuna Mapenzi ya kulazimishana Karne hii? Hebu kaa chini tafakari maana unachokitaka hakipo wala hakitawahi kutokea katika Political Trend yoyote ile! Leo CDM ni Chama Rafiki na Chama kilichopo Madarakani nchini Ghana, ukisema msimamo ni kwamba tusiwe na urafiki na vyama Tawala, tu maintain kuwa Wapinzani, huko ni kuwa na mindset ya Upinzani forever, na sii kuja kushika dola! Change your mindset bro!

Sent using Jamii Forums mobile app

tukiunga mkono chama tuunge ila c kwa kukosa sababu za msingi et kwa kua mkulu anaunga kono upinzani au upinzani una unga mkono serikali hiki ni chama wala c masikani kwa kua na vitu vya mihemuko naongea hili nikiwa mwana na mfuasia wa cdm -ila kwa hili cliungi mkono watakao unga waunge watakao jifahamu wataelewa
 
Mwaka 2016,wakati wa uchaguzi wa kule nchini Ghana, nyinyi CHADEMA mlikuwa mkimuunga aliyekuwa mgombea wa Upinzani, Rais wa sasa wa Ghana Mhe. Nana Akufo-Addo aliyekuwa akichuana na Rais wa wakati huo, Mhe. John Dramani Mahama. Kwakuwa wote mlikuwa wapinzani, uungaji wenu mkono ulikuwa unaeleweka.

Mwaka huu, katika uchaguzi wa Kenya, CHADEMA mmemuunga mkono waziwazi Rais wa sasa wa Kenya na mgombea wa Jubilee Mhe. Uhuru Jomo Kenyatta. Ndiyo kusema, mmeunga mkono chama tawala ili kiendelee kutawala kule nchini Kenya. Mpinzani kuunga mkono chama tawala, ambacho nchini mwake anapambana kukiondoa madarakani, ni jambo la kustaajabisha.

Mwanachama wenu na Mjumbe wa Kamati Kuu, Ndugu Edward Ngoyai Lowassa amejitokeza mubashara jukwaa la Jubilee kukipigania chama tawala Kenya ili kiendelee kutawala. Kama Rais Uhuru Kenyatta atashinda tena, naye atapanda jukwaa la CHADEMA mwaka 2020 kuwanadi? Imekuwaje hadi nyinyi wapinzani muunge mkono chama tawala?

Tuamini kuwa hata Tanzania nyinyi CHADEMA mnazuga tu kupambana na chama tawala CCM huku mkiwa mnapenda CCM iendelee kuongoza? Kwakweli, CHADEMA hamueleweki kirahisi katika hili!
Leo umeandika kama mtu asiye na kichwa Mdogo wangu! Uungaji mkono hutegemea maslahi! Why hujiulizi kwa nini CCM haikumuunga mkono Kenyatta wa chama tawala? Hujiulizi kwa nini mpinzani wa Serikali ya Kenya amekaribishwa Chato na Rais wetu bila kujali kuharibu mahusiano ya Nchi hizi mbili?
Thus why nimesema leo umeandika kama vile ubongo wako upo likizo!
 
Kuna ulazima gani chama pinzani cha TZ kuunga mkono chama pinzani cha nchi nyingine?
Hiyo ndyo maana halisi ya upinzani?
 
Nahisi Kenya hawana chama tawala ila wana chama ongoza.
Na chama chao ongoza kina fuata misingi ya demokrasia kama Chadema!
Ningeshangaa kama CDM wangemuunga mkono Kagame.Kagame ni wa sizonje.
 
Hamjambo humu ndani? Siku njema!
Naona vijana wananyukana kila kukicha!
Hongereni vijana! Tunaelekea kupata viwanda kupitia siasa !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom