mwambadog
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 1,736
- 1,446
chadema hatuwaamini tena, maana lugumi akija kwenu hamchelewi kusema hakuna udhahidi wa huo ufisadi!!
waamini CCM bas pumbavu
chadema hatuwaamini tena, maana lugumi akija kwenu hamchelewi kusema hakuna udhahidi wa huo ufisadi!!
Barare Limited
On 7 April 1997, Edward Ngoyayi Lowassa and his wife Regina Mumba Lowassa incorporated a company by the name of Barare Limited. They are both listed as shareholders, each with 500 shares. They were also both listed as directors of the company which was located on Maktaba Street, Dar es Salaam. In May 2009, Barare Limited was the subject of a money laundering investigation in the UK, after Lowassa's son, Frederick Edward Lowassa was suspected of money laundering.[10]
Fisadi ni magufuli kikwete mkapa kila mtanzania anajuwa hiloHivi ÇHADEMA wana ujasiri juu ya ufisadi ilhali wanawakumbatia mafisadi? Inashangaza
Lugumi ukilitumbua lazima ukutoke uhaiCHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeeleza kuamini kwamba, Rais John Magufuli anayo siri ya Kampuni ya LUGUMI na INFOSYS hivyo anapatwa kigugumizi kuchukua hatua.
Pia chama hicho kimeeleza kwamba, ni vema Rais Magufuli ajitokeza hadharani na kuwaeleza wananchi uhusiano wake na Charles Kitwanga, Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi ambaye kampuni yake ndiyo iliyofunga vifaa vya kuchukulia alama za vidole katika Jeshi la Polisi nchini.
“Chama kina mashaka juu ya mahusiano yao kwani licha ya Kitwanga kutajwa mara kadhaa kuwa anahusika na mkataba tata wa Bilioni 37 kati ya Jeshi la Polisi na Kampuni ya LUGUMI Enterprises.
“Lakini bado ameziba masikio. Hivyo, akiendelea kuwa kimya serikali yake itaangushwa kupitia waziri mkuu wake,” Salim Mwalimu, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA-Zanzibar.
Akizungumza na waandishi wa habari leo ofisini kwake Mwalimu amesema, inawezekana Rais Magufuli anamasilahi binafsi na kampuni hiyo na hivyo kushikwa na kigugumizi jinsi ya kutoa maamuzi.
“Ni kitu cha kushangaza sana kwamba hadi sasa bado hajatoa kauli yoyote. Yeye ni mtaalamu wa kutumbua majipu kwa kupata habari mitandaoni na kwa kusikia tu kama alivyofanya kwa Mkurugenzi wa Jiji lakini majipu yaliyokaribu yake anayaogopa,” amesema na kuongeza;
“Tunamashaka na utumbuaji majipu wake inawezekana anafanya hivyo kwa kulipiza kisasi na kuharibu urafiki wa marais waliopita, ama anajifanya kutumbua watu ili awaweke watu wake waliokuwa wakimsapoti kwenye kampeni.
“Kama kweli anafanya hakimu mbona majipu yanayomuhusu hayatumbui?” amehoji Mwalimu.
Mwalimu pia amemtaka Waziri Kitwanga ambaye anatajwa kuwa ni mmoja kati ya wamiliki wa kampuni ya INFOSYS iliyotumika kufunga mashine za kuchukua alama za vidole (AFIS) , ajitokeze kujibu tuhuma hizo ama ama ajiuzulu kwa kuwa hana sifa za kuwa Waziri tena.
“Kama bado wanafichiana siri yeye na rafiki yake basi aige mfano kwa Edward Lowassa aliyekuwa Waziri Mkuu ambaye alijiuzulu kwa kumstahi rafiki yake aliyekuwa akinuka usifisadi Rais Jakaya Kikwete. Kitwanga ajipime na ajitafakari na kujitoa kwenye uwaziri,” amesema Mwalimu.
Awali, zabuni ya mkataba huo ilitangazwa tarehe 22 Septemba 2011 na kusainiwa terehe 23 Septemba mwaka huo huo ndani ya siku moja mkataba ukasainiwa jambo ambalo ni hatari.
Kampuni ya LUGUMI Enterprises Ltd ilipewa tenda na Jeshi la Polisi kwa ajili ya kufunga mashine za kuchukua alama za vidole katika vituo 108 nchi nzima kwa gharama ya Sh 37 bilioni.Hadi sasa mashine hizo zimefungwa katika vituo 14 tu vya polisi ambapo tayari kampuni hiyo imelipwa Sh. 34 bilioni ikiwa ni asilimia 99 ya fedha za mkataba huo.
Hii kamati naona inachelewa kidogo kuendelea na kazi kwani walishaianza Dodoma. Nadhani by the time wanatoka Dodoma watakuta mashine ziko vituoni. Nawashauri wawe na utaalamu wa computer hii itaweza kuwasaidia kuona lini hizo mashine zimeanza kutumika. Nawashauri wawe makini sana. Tunachotaka ukweli ujulikane. Katika mazingira tata ya namna hii kama kuna element yeyote inayoashiria uchunguzi huo kutokuwa huru, basi yule au wale wanaoleta hisia ya mgongano wa kimaslahi wakae pembeni. Hii itasaidia uchunguzi kuwa huru.Hivi chadema mbona ni vihelehele sana??
Kamati ya bunge yenye wabunge wa vyama vyote imeshaundwa kuchunguza, wakimaliza wataleta report bungeni kujadiliwa .
Shida yenu nini nyinyi Nyumbu jamani
Yawezekana upumbavu uliokuwa nao ni wa kijenetiki ndio maana umeshindwa kujua kuwa mada iliyopo haikuwa ni mashindano ya kuonesha udhaifu wa utawala wa awamu ya tano. Nilichokifanya ni kujibu hoja za wapumbavu wenzio ambazo kwa akili yako umeshindwa kuzijibu.Inawezekana Magufuli siyo mpumbavu (kama ulivyoandika wewe hapo juu), bali ni "mtu wa data" na ni "mwanasayansi" asiyeamini ktk porojo!!!???
Nilicho na uhakika nacho baada ya kuisoma hii argument yako ni hiki, kuwa - likely wewe ndiye mpumbavu basi kwa sbb huoni kasoro zozote ktk utawala huu!!
Inashangaza sana mtu mwenye akili zake timamu,mwenye kujua baya na zuri bado anajitoa akili kwenye suala la Lugumi ambalo Wapinzani wanalishupalia,na kuanza kuleta kejeli ilhali ni wachache waliofaidi,sijajua kama huwa wanalipwa kuyapinga au kujitoa akil hata kwenye mambo yenye maslahi kwa Taifa,kama hili la Lugumi.
talking about suspection shame, what was court vidict?
i suspect ur fremason hahahahaaaaaaaaaaaaaaa
kabila hiyo inahusika na chama fulani .....mjomba here we go!!
![]()
![]()
Una uwezo mdogo sana wa kufikiri!Hivi una akili wewe?? Rais aje ajibu ilibiweje?? Kamati za bunge zinafanya nini??
Aisee, bavicha wengi hamnazo! Kwa nini mnatumia vidole kufikiri??
Ohh lala! another bad creation..... mwambadog povu zito la nini brother? wacha ubinafsi lets stand for up kwa ajili ya maslahi mapana ya Nchi.... We are in right direction...join the moment....nenda na wewe maana sizani kama utamani nafas za hao jamaa katika jamii
pumbavu sana ndo nyie mnafurahia watu kufukuzwa kazi kisiasa
Katiba mpya sio kwa faida ya Chadema ni kwa faida ya nchi na wananchi woteChadema anzeni mkakati wa kudai katiba ya warioba kabla JPM hajawapiga bao na hapo, hata kama ataipitisha, mtazuga nyie ndo mmemshinikiza, mtapata airtime kidogo mtaani!! Akiwawahi, maana anaweza, atawamaliza!!
hatuhitaji katiba mpya....tunahitaji mabadiliko machache ya Msingi kwenye katiba iliyopo..... hatutaruhusu tena hela za walipa kodi kuliwa na watengeneza activities..... Mwaka jana mlipata nafasi MKAMBWERA!! Tumestuka...... GUFULI shughulikia hawa kwa kutumia katiba iliyopo!Katiba mpya sio kwa faida ya Chadema ni kwa faida ya nchi na wananchi wote
Kwanini watu mnashindwa kufikiri nje ya box na kutazama mbali miaka mingi ijayo?? Inawezekana hujui katiba ni nini na umuhimu wa katiba mpya kwa Tanzania
Yawezekana upumbavu uliokuwa nao ni wa kijenetiki ndio maana umeshindwa kujua kuwa mada iliyopo haikuwa ni mashindano ya kuonesha udhaifu wa utawala wa awamu ya tano. Nilichokifanya ni kujibu hoja za wapumbavu wenzio ambazo kwa akili yako umeshindwa kuzijibu.
Serikali ya awamu ya tano inaongozwa na wanadamu hivyo haiwezi kuwa njema kwa asilimia mia moja.