CHADEMA: Magufuli anayo siri LUGUMI

CHADEMA: Magufuli anayo siri LUGUMI

kaigusa kiana kwa kumsimamisha "mlevi"
pengine ilikuwa ngumu kumuabisha raafiki, ikabide itafutwe 'ganzi' ya kutumbuliwa. hapo ganzi ikapatikana kuwa isingiziwe gambe.
 
Magufuri kahubiri kila kashfa na ufisadi lakini kwa nini hajawahi hata siku moja kutaja neno LUGUMI, na kashfa yake dhidi ya POLISI wakati ni sakata lililoiburiwa ndani ya uongozi wake.

hivi ni kweli kuwa hajawahi kusikia wala kuambiwa kuhusu hii kitu??
Utaambiwa mchochezi maana neno mchochezi ndio kichaka cha wadhalimu
 
Lugumi ni kaa la moto. Hata lumumba fc wanalitambua hilo hasa katibu mkuu wao hawezi kutamka hii kitu. wamekuwa na kitu kinachoitwa "conspirancy of silence"
 
mbona tuliambiwa ile kamati ya uchunguzi ilishakabidhi report mkuu, lakinin pia mbona hii ya milioni saba kwa dakika iko mahakamani lakini anaizungumzia, iweje lugumi
"Bado uchunguzi unaendelea boss"!
 
chadema hatuwaamini tena, maana lugumi akija kwenu hamchelewi kusema hakuna udhahidi wa huo ufisadi!!

Nani wa kumwamini nchi hii!!!???? Au wezi waendelee tu kupeta kisa wewe hatuwaamini CHADEMA!!??? Watanzania Kiboko, hoja ya msingi nin nini hapa?! CHADEMA au Lugumi na ufisa wa bilioni zisizopungua tatu za Kitanzania??
 
Tz zaidi ya uijuavyo......unafki tu wa kisiasa.tena ukiweka mizani lowasa sio fisadi kama mkuu wa kaya aliyesepa muda wake
 
Rais anakaa kimya kwa maslahi ya nani? Kukaa kimya hakutafanya 'Ufisadi wa Lugumi' upoteee

Rais bora ni yule anaeweza kujibu maswali yanayowasumbua wananchi wake kwa wakati
Sonko Jr. you have said it all .... bado sijaona dalili ya uzalendo katika kiongozi huyu wa taasisi ya urais
 
Kampuni hiyo ilipewa/shinda tenda kabla hata JPJM hajawa Rais sasa ili la kusema na yeye anahusika linatoka wapi!
 
Back
Top Bottom