CHADEMA: Magufuli anayo siri LUGUMI

CHADEMA: Magufuli anayo siri LUGUMI

nafikiri hii issue lugumi haitawatoa mafichoni baada ya kukumbatia mafisadi sijui mtaeleza nini mueleweke sasa hivi
hii kete CHADEMA itawa peleka mbari,na lazima itamtoa nyoka pangoni,ahahaha!Lugumi imewafanya sisiemu wacheze 5-4-1,toka 3-5-2!badala yakushambalia sasa wanalinda goli!CHADEMA Msilaze Damu,Endeleeni Kuongeza Chumvi Kwenye Kidonda!Kuna Mtu Ndani ya LUGUMI,Lazima Tumnyofoe!
 
Hivi chadema mbona ni vihelehele sana??

Kamati ya bunge yenye wabunge wa vyama vyote imeshaundwa kuchunguza, wakimaliza wataleta report bungeni kujadiliwa .

Shida yenu nini nyinyi Nyumbu jamani
 
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA ndugu Salum Mwalimu amemwomba Rais John Magufuli kuwatumbua wahusika wote wa sakata la LUGUMI bila ya kupoteza muda.

Mwalimu amesema iwapo Rais Magufuli atashindwa kuwatumbua wahusika hao ambao baadhi yao ni vigogo serikalini wao kama Upinzani watapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa bungeni kwani atakuwa ameshindwa kumshauri vizuri Rais.

Naibu Katibu Mkuu huyo amemtaka Rais Magufuli kumtumbua Waziri wa Mambo ya ndani, Charles Kitwanga kwani ameonekana kama mhusika mmojawapo wa LUGUMI.

Pia katika hatua nyingine Salum Mwalimu amewataka BAVICHA kusambaza mitandaoni hotuba ya Waziri Kivuli wa mambo ya ndani, Ndugu Godbless Lema ambayo ilizuiliwa bungeni. Lengo la kusambaza hotuba hiyo ni kutaka Watanzania wengi waweze kusoma hotuba hiyo na kujua nini kinaendelea.

Chanzo: Taarifa ya habari ya EFM jioni hii
 
Asante LUGUMI kwa kuieka serikali mfukoni.Kwa nini wanakuogopa wewe ni nani?
Bakiza akiba ya maneno maana haijulikani siku wala saa ya Mbowe kubadili gia angani na kumteua Lugumi kuwa mgombea urais wa chadema..
 
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema ndugu Salum Mwalimu amemwomba Rais John Magufuli kuwatumbua wahusika wote wa sakata la Lugumi bila ya kupoteza muda.

Mwalimu amesema iwapo Rais Magufuli atashindwa kuwatumbua wahusika hao ambao baadhi yao ni vigogo serikalini wao kama Upinzani watapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa bungeni kwani atakuwa ameshindwa kumshauri vizuri Rais.

Naibu Katibu Mkuu huyo amemtaka Rais Magufuli kumtumbua Waziri wa Mambo ya ndani, Charles Kitwanga kwani ameonekana kama mhusika mmojawapo wa Lugumi.

Pia katika hatua nyingine Salum Mwalimu amewataka Bavicha kusambaza mitandaoni hotuba ya Waziri Kivuli wa mambo ya ndani, Ndugu Godbless Lema ambayo ilizuiliwa bungeni. Lengo la kusambaza hotuba hiyo ni kutaka Watanzania wengi waweze kusoma hotuba hiyo na kujua nini kinaendelea.

Source: Taarifa ya habari ya Efm jioni hii.
mkuu,hesabu ya kwangu moja!
 
Hivi ÇHADEMA wana ujasiri juu ya ufisadi ilhali wanawakumbatia mafisadi? Inashangaza
 
Paka akitoka, panya hutawala...!
Katibu mkuu kasafiri, matamko yanarudi....!
Naamini haya matamko ni ya muda tu. Kama alivyowahi sema Rais Moi, paka akitoka panya hawezi kutawala, maana paka akitoka atarudi tena..!
 
Hivi chadema mbona ni vihelehele sana??

Kamati ya bunge yenye wabunge wa vyama vyote imeshaundwa kuchunguza, wakimaliza wataleta report bungeni kujadiliwa .

Shida yenu nini nyinyi Nyumbu jamani
Wanajua kuwa waaipopiga kelele hakuna atakayejua kuwa Tanzania kuna upinzani
 
Kituko, watapiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu, hivi wako wangapi bungeni kwamba kura zao zitashinda?? Au wana kura ya turufu??
 
Paka akitoka, panya hutawala...!
Katibu mkuu kasafiri, matamko yanarudi....!
Naamini haya matamko ni ya muda tu. Kama alivyowahi sema Rais Moi, paka akitoka panya hawezi kutawala, maana paka akitoka atarudi tena..!
mkuu,kura yako i wapi?
 
Vijana walumumba wapo vizuri sana katika kujibu hoja na kuwasemea wananchi mara hawa uwaka wamepoteza mvuto mara sjui nini aiseee mnatisha sana big up mpango wa posho kuongezwa upo njiani ongezeni hari na kasi zaidi
 
CHADEMA Ndiyo Tume Iliyoundwa na Kamati ya PAC Inatoa Mrejesho.Katu Chadema Wananchi si Wajinga kihivyo Hatuwaamini Tena.Mlichezea Shilingi.......
...............Hamuaminiki jipeni Moyo tu mpo kila kete mnayoitumia ni gurasa
 
Paka akitoka, panya hutawala...!
Katibu mkuu kasafiri, matamko yanarudi....!
Naamini haya matamko ni ya muda tu. Kama alivyowahi sema Rais Moi, paka akitoka panya hawezi kutawala, maana paka akitoka atarudi tena..!
umeandika nini sasa?
 
Vijana walumumba wapo vizuri sana katika kujibu hoja na kuwasemea wananchi mara hawa uwaka wamepoteza mvuto mara sjui nini aiseee mnatisha sana big up mpango wa posho kuongezwa upo njiani ongezeni hari na kasi zaidi
Teh teh teh aka nusu kijiko
 
Back
Top Bottom