CHADEMA: Magufuli anayo siri LUGUMI

CHADEMA: Magufuli anayo siri LUGUMI

Hivi bunge kuonyeshwa laivu ndo kuwa na akili?? Dah, yale mafuriko ya kichina kweli yamebeba na membraine ktk vichwa vyenu!
Kwenye kutumbua tunaenda na Lundo la wandishi wa habari na mbwembwe nyingi sana lakini kwenye kupanga matumizi ya kodi za Watanzania tunapangia Gizani hii ndio Tanzania zaidi ya ujuavyo
 
Chadema anzeni mkakati wa kudai katiba ya warioba kabla JPM hajawapiga bao na hapo, hata kama ataipitisha, mtazuga nyie ndo mmemshinikiza, mtapata airtime kidogo mtaani!! Akiwawahi, maana anaweza, atawamaliza!!
 
Hoja za kipuuiz kabisa PAC si imeunda kamati ya kufuatili hili suala,badala ya kusubiri majibu ya kamati wanataka rais achukue hatua zipi.
 
Kwenye kutumbua tunaenda na Lundo la wandishi wa habari na mbwembwe nyingi sana lakini kwenye kupanga matumizi ya kodi za Watanzania tunapangia Gizani hii ndio Tanzania zaidi ya ujuavyo
Hamna kubebana tena, kila mbunge atakubalika kwa afanyacho jimboni kwake sio kupiga porojo ktk tv, mwanzoni sikuunga mkono hii ya bunge kutokuwa laivu, ila naona kumbe JPM alikuwa na point, wabunge badala ya kufanya ya maana kwao wanauza sura ma kuongea pumba.
 
Sina hamu na chadema walisema lowassa wa richimond fisadi kwa miaka nane baadaye wakasema lowassa kaonewa si ajabu kesho wakasema lugumi naye ameonewa yaani tabu tupu.

Ni mabigwa flani hivi wa kubadilisha uongo kuwa ukweli na ukweli kuwa uongo.
Bilioni 37 zilizopigwa kwenye issue ya Lugumi zisingesaidia wapinzani peke yao, unaleta hapa mambo ya Richmond ambayo mliambiwa mwenye Richmond ni nani. Unatetea Lugumi kwa maslahi ya nani sasa?
 
Sina hamu na chadema walisema lowassa wa richimond fisadi kwa miaka nane baadaye wakasema lowassa kaonewa si ajabu kesho wakasema lugumi naye ameonewa yaani tabu tupu.

Ni mabigwa flani hivi wa kubadilisha uongo kuwa ukweli na ukweli kuwa uongo.
Acha unafiki wewe kwahyo unajifanya unaimani na CCM wakati CCM hihi ndyo ilitetea mkataba wa Richmond nakusema kuwa huo mkataba upo sawa kisheria lakini baada ya lowasa kuhamia CDM uo mkataba ukabadilika ukawa ni mkataba wa kifisadi na ikaonekana lowasa ndye fisadi pekee wa Richmond wengine waliokuwa kwenye kashfa ya Richmond kama Kikwete hwaisishwi leo. Yie msidhani kila mtanzania mjinga anasikiliza izo propaganda zenu ambazo hazina hta logic.

Bukusaba ndyo zinawatoa akiri kiac hiki?
 
Hamna kubebana tena, kila mbunge atakubalika kwa afanyacho jimboni kwake sio kupiga porojo ktk tv, mwanzoni sikuunga mkono hii ya bunge kutokuwa laivu, ila naona kumbe JPM alikuwa na point, wabunge badala ya kufanya ya maana kwao wanauza sura ma kuongea pumba.
Jibu hoja
 
Hii hoja inausu lugumi lakini nashangaa vijana wa lumumba waleleta habar za Richmond. Hiv mnadhan ndyo tutaacha kuongelea Lugumi kwa hii mbinu yenu ya kuhamisha hoja usika?

HAPA NI LUGUMI 2 RICHMOND KAMUULIZE MWENYENAYO KIKWETE.
 
Hivi chadema mbona ni vihelehele sana??

Kamati ya bunge yenye wabunge wa vyama vyote imeshaundwa kuchunguza, wakimaliza wataleta report bungeni kujadiliwa .

Shida yenu nini nyinyi Nyumbu jamani
Tatizo sio kamati hata lichmond iliundiwa kamat. Na kamati ilikuja na report wakakataa kuisoma bungeni kwa kisingizio kuwa itatetemesha nchi kisa mkuu wa nchi alikuwa anausika mojakwa moja.
 
Tatizo sio kamati hata lichmond iliundiwa kamat. Na kamati ilikuja na report wakakataa kuisoma bungeni kwa kisingizio kuwa itatetemesha nchi kisa mkuu wa nchi alikuwa anausika mojakwa moja.
Report ya Richmond ilisomwa bungeni na Harrison Mwakyembe
 
Sisa za kitoto kabisa anafanya huyu mtoto Mwalimu, anaua chama, taasisi iliyoheshimika kama kimbilio la watanzania wanyonge. Kwanza ajisafishe yeye na shutuma za kuomba rushwa kupitisha majina ya wabunge viti maalum ili apate legitimacy ya angalau kusema mambo ambayo kwa ngazi yake hakupaswa kuyasema kwa namna hii
 
Chadema anzeni mkakati wa kudai katiba ya warioba kabla JPM hajawapiga bao na hapo, hata kama ataipitisha, mtazuga nyie ndo mmemshinikiza, mtapata airtime kidogo mtaani!! Akiwawahi, maana anaweza, atawamaliza!!

JPM hana ubavu wa kurejesha KATIBA pendekezwa
 
Sisa za kitoto kabisa anafanya huyu mtoto Mwalimu, anaua chama, taasisi iliyoheshimika kama kimbilio la watanzania wanyonge. Kwanza ajisafishe yeye na shutuma za kuomba rushwa kupitisha majina ya wabunge viti maalum ili apate legitimacy ya angalau kusema mambo ambayo kwa ngazi yake hakupaswa kuyasema kwa namna hii
Jenga hoja ufutuhi hautakusaidia
 
Sina hamu na chadema walisema lowassa wa richimond fisadi kwa miaka nane baadaye wakasema lowassa kaonewa si ajabu kesho wakasema lugumi naye ameonewa yaani tabu tupu.

Ni mabigwa flani hivi wa kubadilisha uongo kuwa ukweli na ukweli kuwa uongo.
duuuuu bado una hayo mawazo,ama kweri LOWASA ni kiboko yenu
 
CHADEMA Ndiyo Tume Iliyoundwa na Kamati ya PAC Inatoa Mrejesho.Katu Chadema Wananchi si Wajinga kihivyo Hatuwaamini Tena.Mlichezea Shilingi.......
...............Hamuaminiki jipeni Moyo tu mpo kila kete mnayoitumia ni gurasa
Naomba ujiongelee wewe mwenyewe kama hauwaamini ni wewe na mungu wako wapo ambao tunaimani na CDM na kwa hii hali tunazidi iamini CDM maana kwenye uchaguz mlituaminisha FSad ni lowasa pekee kumbe mmeficha mafisadi Papa CCM.

Najutia hta kura yangu kwa Magu.

Nilitegemea baada ya uchaguz lowasa mngempeleka hta mahkaman hta kuvunga 2 mmeshindwa mmebaki kutuletea propaganda tu et uchunguz unaendelea....toka 2008 had 2016 et uchunguz?

Kenge kabisa nyie.
 
Back
Top Bottom