Jamani niulize swali moja...kutokana na hoja zilizopo! (toka kwa Wangwe)
Ikiwa kweli nafasi walizonazo Chadema ktk uchaguzi wa wabunge ni sita tu.. why wamekuwa na watu watatu toka sehemu moja ama wenye uhusiano kinasaba na sehemu hiyo moja hali Tanzania ni kubwa sana yenye makabila zaidi ya 120!....
Kwa nini wasilitazame swala hili nje ya box hilo ambalo linawapa utata watu wengi.
Ni swala la kujiuliza Je, Watanzania wengi wanalitazama vipi hili....pengine wengi wanakubaliana na Wangwe.
Ikiwa kweli nafasi walizonazo Chadema ktk uchaguzi wa wabunge ni sita tu.. why wamekuwa na watu watatu toka sehemu moja ama wenye uhusiano kinasaba na sehemu hiyo moja hali Tanzania ni kubwa sana yenye makabila zaidi ya 120!....
Kwa nini wasilitazame swala hili nje ya box hilo ambalo linawapa utata watu wengi.
Ni swala la kujiuliza Je, Watanzania wengi wanalitazama vipi hili....pengine wengi wanakubaliana na Wangwe.