Alikuwa mwanachama mwanadamizi NCCR hadi mwaka 2000 akahamia TLP.nasema kwa hili ataumbuka sana bora anyamaze.Mheshimiwa Mwanakijiji vyama vina rekodi za wanachama wao.inapotokea Mtu anaficha sehemu ya CV yake lazima tumuogope kwani si mkweli.
kwa hili Mwanakijiji ukicheki na Lyatonga Mrema atakupa,najua kutofautisha kuwa kocha wa timu ya Taifa ni mbrazil hamfanyi awe mtanzania ,Kuku kuzaliwa kwenye ziziz la ng'ombe hamfanyi kuwa ng'ombe. Mbowe alihudhuria sherehe za rais JK kuapishwa sio CCM.
Kitila Tumekuwa nae Daruso alikuwa rais wetu tunamjua vizuri sana.
Mkuu weka ushahidi kukata mzizi wa fitina. Maneno tu watu watakubishia sana hapa.