Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 265
Ndugu ThinkTwice
Mkwawa, Mirambo, Mputa,Rumanyika, Mangi Sina, Mandara, n.k walikuwa viongozi wazuri na hawakuwa na shule yeyote leader is born, and we all have such ability naturaly because real leadership starts at home!
Inategemea sana wewe unachoita elimu ni kitu gani. Mbona Mwungwana hakuona vyumba vya darasa lakini kesha itwa Dokta mara mbili mbili? Babu yangu alinifundisha namna ya kutengenezea migomba { prooning} hata migomba ikazaa vizuri sana lakini hakuwa na cheti chochote cha shule za kilimo za wazungu. By the way what is education?? Labda tukishapata definition ndiyo tunaweza kuchangia kama huyu jamaa alikuwa nayo elimu au la!