CHADEMA kweli ni shwari au ni kauli za kisiasa tu ?

We bwana, wacha kurudisha watu nyuma, na kama walikosea so what? Why is it any of your busness? Watu zaidi hizi tunazungumzia future ya nchi yetu in terms of new constitution and change in NEC etc, wewe unarudi kwenye wagombea wenza; jamani how does this help? Walionitangulia wamekujibu vizuri; so if you wish, tusaidiane kwenda mbele na si kurudi nyuma. Kama kuna kasoro kwenye cmpaigns za CDM, waachie hao wapambana na challenges zao in future; plus wa CDM hawakuona kuwa hilo lilikuwa shortcoming, as the guy is capable politically. Mimi najua watu ambao hata shule hawajaenda na wanaongoza jamii kwa busara zaidi kuliko akina JK na group lake
 
Borgus,kama huna cha kuandika kaa kimya.hapa siyo mahala pake.

Wenyewe mlikaa kimyaa mlidhani watanzania ni wajinga kuwaletea mtu wa darasa la 7, hamjui tu hapo ndipo Slaa watu walipo mdharau kweli kweli na ukichanganya mambo mengine ya kuvunja ile amri ya 6
 
Sasa wewe hutaki asafiri ????? yeye ni kiongozi wa nchi, na hata viongozi wa nchi zingine wanaenda kwenye vikao mbali mbali. Kwani hivyo vikao Rais huwa ni peke yake? , na safari zake ni za tija mwache asafiri.
hahahahahaha kutembeza kibaba! UMATONYA! DUUUU AIBU KUBWA KWAKO MKUU!
 
We bwana, wacha kurudisha watu nyuma, na kama walikosea so what? Why is it any of your busness? Watu zaidi hizi tunazungumzia future ya nchi yetu in terms of new constitution and change in NEC etc, wewe unarudi kwenye wagombea wenza; jamani how does this help? Walionitangulia wamekujibu vizuri; so if you wish, tusaidiane kwenda mbele na si kurudi nyuma. Kama kuna kasoro kwenye cmpaigns za CDM, waachie hao wapambana na challenges zao in future; plus wa CDM hawakuona kuwa hilo lilikuwa shortcoming, as the guy is capable politically. Mimi najua watu ambao hata shule hawajaenda na wanaongoza jamii kwa busara zaidi kuliko akina JK na group lake

Tulisema, tunasema, na tutasema !!!!
 
Wenyewe mlikaa kimyaa mlidhani watanzania ni wajinga kuwaletea mtu wa darasa la 7, hamjui tu hapo ndipo Slaa watu walipo mdharau kweli kweli na ukichanganya mambo mengine ya kuvunja ile amri ya 6

Mungu akusamehe,toa kwanza boriti ndani ya jicho lako mwenyewe.
 
Tangia kampeni kuanza za uchaguzi mkuu, Ndg. Slaa alikuwa peke yake kwenye kampeni bila ya kusaidiwa na Mgombea mwenza, tofauti na vyama vingine, je huu sio ubinafsi?. Na habari za uhakika zilizozopo ni kuwa Mgombea mwenza wa Slaa alikuwa na elimu ya darasa la 7 tu, ili hali yeye mwenyewe alikuwa anahubiri elimu ya awali iwe ni form six. Hivi alichokuwa anakisema ndicho alichokuwa anakimaanisha kweli ? inakuwaje utuletee mgombea mwenza wa darasa la 7 ili hali wewe wahubiri elimu ya awali ni form six ?. Huu ni upotoshaji dhahiri ambao CDM waliufanya kwa wananchi, na yaonyesha Slaa alichokuwa anakisema sicho ambacho angetenda endapo angepata urais. Bora Mungu alituepushia mbali mtu huyu !
Isije ikawa unasherehekea matunda ya washindi, ambayo tayari yameanza kuonekana kwenye Dowans, na bado mtakamua sana kwenye mikataba mingine . Hongereni sana kwa Mungu kuwaepushia mbali mtu huyu Silaa maana mirija ingefungwa .
 
hahahahahaha kutembeza kibaba! UMATONYA! DUUUU AIBU KUBWA KWAKO MKUU!

Hata ikiwa ili mradi maendeleo yanakuja na uchumi wa nchi unakuwa !!! nchi nyingi sana za kusini mwa jangwa la sahara haziipati Tanzania kwa ukuaji wa uchumi. Hata Roma haikujengwa kwa siku moja, walianza kama sie ndio hapo walipo wamefika. Big up JK safiri safiri safiri kwa kuwaletea Tanzania maendeleo.
 
wenyewe mlikaa kimyaa mlidhani watanzania ni wajinga kuwaletea mtu wa darasa la 7, hamjui tu hapo ndipo slaa watu walipo mdharau kweli kweli na ukichanganya mambo mengine ya kuvunja ile amri ya 6
hayo mambo binafsi yanatoka wapi kama ni uzinzi tunajua ccm mpaka mnawapa uwaziri wengine! Na ubunge.
 
Isije ikawa unasherehekea matunda ya washindi, ambayo tayari yameanza kuonekana kwenye Dowans, na bado mtakamua sana kwenye mikataba mingine . Hongereni sana kwa Mungu kuwaepushia mbali mtu huyu Silaa maana mirija ingefungwa .

Nyie si mnataka Slaa aingie ikulu !! atakaribishwa kunywa chai ikulu halafu ataondoka , si atakuwa ameingia ikulu ama sivyo ????
 
Twataka kuweka bayana kuwa dhamira ya Slaa ilikuwa ni mbaya kwa nchi hii, bora Mungu ametuepusha na balaa hili

Sorry, Sio Mungu alituepushia, ni MAFISADI (including JK) waliyechakachua na kutuepusha na baraa!!
 
Mungu akusamehe,toa kwanza boriti ndani ya jicho lako mwenyewe.
Wewe ndio unadharauliwa kwa hayo unayoyasema eti kuvunja amri ya sita as if wewe hatukujui what you do; remember when you point one finger at a person, three fingers point back to you; manake inakukumbusha kuwa yule anayeona siku zote udhaifu/makosa ya mwingine, yeye ni mkosaji mara tatu zaidi...so unaweza kumwambia nini mwingine wakati wewe unabeba mizogo ya dhambi.....plus whether you like it or not; hakuna mari iliyovunjwa maana hao wanapendana na hawajifichi kama wewe
 
QUOTE=ThinkTwice;inakuwaje utuletee mgombea mwenza wa darasa la 7 ili hali wewe wahubiri elimu ya awali ni form six ?. Huu ni upotoshaji dhahiri ambao CDM waliufanya kwa wananchi, na yaonyesha Slaa alichokuwa anakisema sicho ambacho angetenda endapo angepata urais.

Hakuna alichokosea wala kupotosha. Katiba ya TZ inasema wazi kua sifa za mgombea mwenza ni lazima awe anajua kusoma na kuandika kiswahili na kiingereza. Na pia awe na akili timamu. Kwaiyo Dr. Slaa alifuata katiba. Ila ndo maana mabadiliko yalikua ni kipaumbele kikubwa,ili suala la elimu za wagombea ziwekwe wazi.
 
Hata ikiwa ili mradi maendeleo yanakuja na uchumi wa nchi unakuwa !!! nchi nyingi sana za kusini mwa jangwa la sahara haziipati Tanzania kwa ukuaji wa uchumi. Hata Roma haikujengwa kwa siku moja, walianza kama sie ndio hapo walipo wamefika. Big up JK safiri safiri safiri kwa kuwaletea Tanzania maendeleo.

Unaelewa maana ya kukua kwa uchumi? na zipi indicator za uchumi unaokuwa au uliokuwa? Nchi hii itaendelea pale wewe sijui ThinkTwice na wengine kama wewe, watakapofumbuliwa macho na kuona uozo unaofanywa na serikali (CCM).

Nadhani kuna umuhimu wa kuongeza somo la kufikiria watu wafundishwe kuanzia shule za awali kwani watanzania wengi hatuwezi kufikiri.
 
Viongozi wote wa kitaifa sidhani kama kuna mtu ana elimu ya darasa la saba. Mie sisemei nafasi za ubunge, nasemea Rais, M/Rais na Waziri Mkuu. Huyu wa Slaa hapana aisee, mlikuwa na lenu jambo na bahati nzuri watanzania waliwagundua mapema wakamwaga aisee:whoo::whoo::whoo::whoo:
Hivi alikuwa awe Makamu wa Slaa au makamu wa rais?
Naona Slaa amewefanya mbaya sana mwaka huu, hamtamsahau kamwe.
 
Tangia kampeni kuanza za uchaguzi mkuu, Ndg. Slaa alikuwa peke yake kwenye kampeni bila ya kusaidiwa na Mgombea mwenza, tofauti na vyama vingine, je huu sio ubinafsi?. Na habari za uhakika zilizozopo ni kuwa Mgombea mwenza wa Slaa alikuwa na elimu ya darasa la 7 tu, ili hali yeye mwenyewe alikuwa anahubiri elimu ya awali iwe ni form six. Hivi alichokuwa anakisema ndicho alichokuwa anakimaanisha kweli ? inakuwaje utuletee mgombea mwenza wa darasa la 7 ili hali wewe wahubiri elimu ya awali ni form six ?. Huu ni upotoshaji dhahiri ambao CDM waliufanya kwa wananchi, na yaonyesha Slaa alichokuwa anakisema sicho ambacho angetenda endapo angepata urais. Bora Mungu alituepushia mbali mtu huyu !
Zungumzia mfumoko wa bei tunaweza kukuelewa siyo huu ujinga wako....
 
Kweli wewe kufikiria kwako kuna kikomo. Viongozi hao wa karne ya 18 ndio wataka kulinganisha na wa karne hii ya 21 ? uongozi kama wa kina Mkwawa na wengineo sio wa muda huu. Haiwezekani mtu wa darasa la saba aje awe makamu wa Rais wa nchi. Hapa Slaa alitafuta mtu wa kumburuza ili aweze kufanya mambo yake atakavyo endapo angekuwa Rais. Bora Mungu alituepushia mtu huyu !!!

ThinkTwice you need to think twice using those reproaching words which they are not only hurting someone but they do exposing and excommunicating you from great thinkers

Why then bring a topic that you have an answer?, Ok, IF you dont agree with someone why dont you post a convincing points that may gravitate someone in your side

Kindly, do no use those words like 'kufikiria kwako kuna kikomo tu' those are bad words take note, egoism in forums is dangerous

Back to the topic!

1. Tell me who taught Mkwawa to tax those traders who passed in his territory?
2. Tell me why German decided to take his skull to German?
3. Tell me why did he killed himself because of his love/stands to his land?
4. Tell me how Mirambo and Mputa defend their land?
5. Why some whites deliberatley cheated some chief? am in your side
6. How many chiefs in this Tanzania they thought for future generations,
7.Why those old people/chief taught their young generation to face the real life?
8. Where is our culture today? is not this educated people made us to loose our identity?
9. Who made those dubious deal of IPTL, Richmond, AND dOWANS who engaged in EPA? are not these decuated people?
10. Dear tell me, who made us begging donors to top up our budget? while we have all resources in our hand!
12. There so many examples that proves our forefathers were doing better interms of leadership than we are doing today

etc, etc

You will find out those leaders you have mentioned they lived in 18th century they were far better that what we are doing now THOUGH even at that time you could find those who were doing excatly the same asa many leaders today. Thus, Point of education and leadership is nullfied at this juncture.

Just a piece of advice that is peacefully:: NEVER EVER MENTION THAT WE ARE LIVING IN 21st CENTURY WRITE THIS DOWN, and if someone asked you tell that Waberoya in JF told me THAT '' IS UNDENIABLE FACTS AND INCONTROVERTIBLY OBSERVED THAT WE AFRICAN (you and me) WE ARE NOT LIVING IN 21ST CENTURY WE ARE FAR MILLION MILES AWAY FROM THAT CENTURY" the century that we are dreaming in our mind and confess in our mouth-we are not living in it!! -daydream just because you can watch supersport, youtube, having 64 bit computers and driving used cars!!, There is no way the way african are living could be 21st century which I have heard is century of science and technology!!! roughly we are in 14th century we are going backwards!

They call themselves first worlds! we are third or fifth world why in century we are together?? they are saying and pleasing you and put this song in our leaders so that we can dance the tune of accepting and enjoying outdated things!! dump their ready made things, they dump education, they dump everything even their 'used' underwears!!

This is JF at least you have grown up dont crame things EVERYONE CAN BE A GOOD LEADER REGARDLESS OF THEIR EDUCATION LEVEL!

lastly: Again tell your neighbour you dont have EDUCATION wewe!!! this colonial education is doing nothing in our daily lives and it does nothing to add value of human in this planet-ask professors!!! go watch them what their are doing!, perhaps you can only know to post those bad words like 'kufikia kikomo cha kufikiri kwako''
 
kama ni elimu raisi wako si ana PASS na ndo maana uwezo wake mdogo!

Siyo ana Pass tu, JK hawajawhi kuitumia degree yake tangu alipomaliza UDSM, alipomaliza tu akaanza kugawa kadi za TANU till now!
 
Back
Top Bottom