bokassa
JF-Expert Member
- May 19, 2007
- 401
- 11
Zitto lazima aende ktk kamati ili alitumikie taifa, muhimu kwake ni kuwa makini na muadilifu kwa taifa. Kwa kujitoa itakuwa kama mchezo wa kina zembwela tu!!!
Akiona kuna uzushi hapo ndipo anatakiwa ajitoe na kuweka mambo hadharani!! nafikiri hiyo ndio move inayohitajika! si mwakumbuka hata mzee ndesa aliachia ngazi!!!
Akiona kuna uzushi hapo ndipo anatakiwa ajitoe na kuweka mambo hadharani!! nafikiri hiyo ndio move inayohitajika! si mwakumbuka hata mzee ndesa aliachia ngazi!!!