Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
asante ya nini ? kwani mshapata solusheni ya matatizo ndani ya chama chenu au ??
KadaMpinzani,
Mimi kama Mtanzania asiyekuwa na Chama, nadhani CHADEMA haijawa na matatizo mpaka sasa!!! Ingawa nakubali kwamba hii ndio mitihani ya kukifanya chama kiwe imara zaidi,pale wanapoishinda...
Na kwa kweli CHADEMA haijapata mitihani ya kutosha ya kukifanya kipewe alama halali za ukomavu zaidi. Nafikiri haka ni kama kajaribio tu!
Kwa sasa mimi nawatakia Mkutano Mwema, kwa kuwa CHADEMA imara ni muhimu kwa mustakabali ya Taifa letu!