Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Hiki ndicho alichokitaka Zitto Bungeni, swali je ndicho alichokipata?
Siasa haiendi hivyo Mwanakijiji. You dont always get exactly what you want(ed). Jambo moja ambalo hatulioni ni kuwa katika nchi yetu practically, Rais ana nguvu kuliko chombo kingine chochote. In fact, Rais akiamua jambo linafanyika, lakini inawezekana mahakama, bunge, nk wakaamua jambo likabaki katika maamuzi na lisifanyike.
Bado wote wewe na Mwafrika wa kike hamjajibu swali langu juu athari za ushiriki wa Zitto katika hii kamati kwa nchi, CHADEMA na Zitto mwenyewe!