CHADEMA kwawaka Moto! Mbowe arudi Dar!

Status
Not open for further replies.
pick a show boy, MAURY, JERRY SPRINGER or esle ..... ukawaambie huko kwamba zitto alilengwa kwenye ajali na ccm, wakati mwenyewe kakanusha KULIKO. binafsi hapa JF am not ready to hear that nonsense ! zitto alishakanusha ! wewe unang'ang'ania tu kama ulikuwepo, au mganga gani alikwambia hayo unayosema ??

Naona aidha una matatizo ya kusoma kilichoandikwa au ni mgumu kuelewa kilichoandikwa; so nitajaribu kwa mara moja na ya mwisho. Ni kwenye mawazo yako tu ambako nilidai kuwa ajali ya Mbatia ilimlenga Zitto.. sijawahi kusema, siwezi kusema na sitosema hivyo hata kama ndani ya moyo wako unaamini hivyo. Hauna ushahidi mahali popote zaidi kwenye imani yako; now imani tulishaangalia unayo haki ya kuamini nilisema hivyo! so carry on.
 
sitoshangaa kuona unaflip flop maana hata masters wako slaa, mnyika, mtei na wengineo ndio wamebobea kuflip flop na wewe unaendeleza wanayofanya !

sitoshangaa kama utakuwa ume-edit uliyosema !
endeleza vioja maana ndo kazi yako siku hizi !
 
porojo ziko wapi ? mie kusema ume-edit ? halafu wapi nimesema uki-edit kitu tarehe hainonekani ? mboa unataka kubana watu utadhani hatuna akili ?
 
kada,
jaribu kumtembelea GP wako.
Turudi kwenye mada,hoja ujengwa kwa hoja,tatizo la kamati hiyo ambayo watu wanashauri zitto ajitoe ni kutokana na record za baadhi ya wanakamati wenzake sio nzuri wanatuhumiwa kushiriki ktk kutoa maamuzi mabaya kwa taifa.
Kujitoa kwa zitto ni kupinga uteuzi wa baadhi ya wanakamati ambao sio safi kimaadili na sio kwa sababu ya chama.
Kwa vile ccm inaongozwa na mafisadi basi wao hawaoni tofauti ya hao wajumbe.
Swala jingine ni kuwa kumekuwa na kamati tano zilizopita ambazo zimefanya kazi hiyo hiyo lakini chakushangaza hakuna mabadiliko ndio tunazidi kuangania(buzwagi),baada ya hii kamati kuundwa na kumaliza kazi yake watasaini mkataba mwingine mkilalamika mtaambiwa na wapinzani walishirikishwa, je mtakuwa na la kusema?
Watu wamechambua hii kamati na kuona mapungufu yake lakini kama kawaida ya watanzania wanaona ni mchezo wa kuigiza.wanasubiri mambo yakiaribika ndio waanze kupiga domo,ohoooooooooooooo inge kuwa hivi sijui nini tena.
 
ukweli ni kuwa kikwete amewabana CHADEMA kwenye angle akishirikiana na propaganda machine yake..yaani kifupi ZITO AKIJITOA KWENYE KAMATI CHADEMA WANAJIMALIZA..NA AKIENDELEA KUWEPO PANAZUKA MGOGORO CHAMANI...kama nilivyosema awali ZITTO NA WENZAKE NEED BE EXTRA CAREFUL NOW...jk hajamteuwa zito kwa kuwa anawapenda sana CHADEMA "anataka kumuua mbuzi kwa kamba yake mwenyewe"
na ili zito aendelee kuwamo kwenye kamati na kuharibu hila za ccm..uamuzi wa kuitisha hiyo kamati kuu ili kwa kauli moja umpe baraka zake ni muhimu..na utaondoa uwezekano wowote wa mgogoro CHADEMA...
Kwa kifupi hakina tishio lolote la mgogoro linaloonekana zaidi ya propaganda machine ya ccm..na hii ndio inazidisha hali ya kutokuaminiana..miongoni mwa wapinzani na ccm..
CHADEMA ni wanademokrasia na katika hili inaonekana wataibuka wakiwa wamoja zaidi na uwezekano wa kutumia hii kamati kujipatia umaarufu ni mkubwa kinyume cha strategists wa kikwete wanavyodhani...cha muhimu lazima kamati iendeshwe kwa uwazi na kama kuna dalili ya mambo ya kificho zito AWAUMBUE!!!
HUU NI wakati wa MACHINERY za CHADEMA kufanya kazi kama mchwa ili wasiachwe...
 
ukweli ni kuwa kikwete amewabana CHADEMA kwenye angle akishirikiana na propaganda machine yake..yaani kifupi ZITO AKIJITOA KWENYE KAMATI CHADEMA WANAJIMALIZA..NA AKIENDELEA KUWEPO PANAZUKA MGOGORO CHAMANI...kama nilivyosema awali ZITTO NA WENZAKE NEED BE EXTRA CAREFUL NOW...jk hajamteuwa zito kwa kuwa anawapenda sana CHADEMA "anataka kumuua mbuzi kwa kamba yake mwenyewe"
na ili zito aendelee kuwamo kwenye kamati na kuharibu hila za ccm..uamuzi wa kuitisha hiyo kamati kuu ili kwa kauli moja umpe baraka zake ni muhimu..na utaondoa uwezekano wowote wa mgogoro CHADEMA...
Kwa kifupi hakina tishio lolote la mgogoro linaloonekana zaidi ya propaganda machine ya ccm..na hii ndio inazidisha hali ya kutokuaminiana..miongoni mwa wapinzani na ccm..
CHADEMA ni wanademokrasia na katika hili inaonekana wataibuka wakiwa wamoja zaidi na uwezekano wa kutumia hii kamati kujipatia umaarufu ni mkubwa kinyume cha strategists wa kikwete wanavyodhani...cha muhimu lazima kamati iendeshwe kwa uwazi na kama kuna dalili ya mambo ya kificho zito AWAUMBUE!!!
HUU NI wakati wa MACHINERY za CHADEMA kufanya kazi kama mchwa ili wasiachwe...

At last there was substance in this thread.
 
ukweli ni kuwa kikwete amewabana CHADEMA kwenye angle akishirikiana na propaganda machine yake..yaani kifupi ZITO AKIJITOA KWENYE KAMATI CHADEMA WANAJIMALIZA..NA AKIENDELEA KUWEPO PANAZUKA MGOGORO CHAMANI...kama nilivyosema awali ZITTO NA WENZAKE NEED BE EXTRA CAREFUL NOW

Mkulu PM,

Heshima mbele, Muungwana ni master wa political games, you have a lot of points, lakini ninasema one thing, something is up nimemuona Muungwana akicheza political games to the end ya uchaguzi, akimaliza uchaguzi ule huku amewashikilia the vigogos wote, na hasa wale waliotakiwa kuwa maadui zake, hasa Mwandosya na mkuu wa idara aliyestaafu, licha ya wengine wengi ambao siwezi kuwataja, I have a feeling kuwa kuna asingeweza kumchagua Zitto, tu hivi hivi kwa kukurupuka tu no way, somehow somewhere kuna a reachout iliyofanyika kabla, maana Muungwana is very good kwa hilo la ku-reachout kwenye giza,

ni kweli ndugu zangu mnahitaji kuwa extra careful, kwenye hilo I am with you 100%, maana majuzi amem-reach out Salim, the man ambaye hajawahi kujihusisha naye toka uchaguzi wa rais uishe!
 
Kwa kifupi kikao cha dharura kimeitishwa sio?
Alafu sijui niseme kwa mara ya kwanza sijaona wataalamu wa kuomba source wakiulizia authenticity ya hii habari..All in all nawatakia CHADEMA mkutano mwema at least wampe Zitto baraka zote za kwenda kwenye tume.
 
Kwa kifupi kikao cha dharura kimeitishwa sio?
Alafu sijui niseme kwa mara ya kwanza sijaona wataalamu wa kuomba source wakiulizia authenticity ya hii habari..All in all nawatakia CHADEMA mkutano mwema at least wampe Zitto baraka zote za kwenda kwenye tume.

hivyo ni vioja vyao mkuu !
 
Guys,
Mtanisamehe kidogo labda mimi nimepotea mtaa na hivi sasa nipo kizani.
Hivi tatizo hasa ni lipi maanake navyoelewa mimi kila kitu kiko wazi. Labda ningemwomba Mnyika anifahamishe kama kuna deal huko CHADEMA kutokana na uteuzi wa ZITTO.

Kulingana na habari zilizotangulia nilielewa kwamba Chadema hofu yao ktk makati hii sio Zitto isipokuwa baadhi wahusika wengine ambao wameteuliwa na kuna kila harufu ya mchezo kulingana na madai ya Dr. Slaa.
Na Upande wa Zitto anachosema yeye ni kuwa hataweza kujitoa ktk kamati hii kwa sababu msimamo wake na chama chake upo wazi kabisa kuwa ni lazima serikali yetu itoke na fungu lake (hisa) ktk mikataba hii na hatakubali kujitoa wala kubadilisha msimamo huo labda JK mwenyewe amfukuze toka kamati hiyo.
Na mwisho Chadema wameitisha mkutano wa dharura kutazama yote yaliyomo na kuweka msimamo wa chama ktk mapendekezo yao, nafasi ya Zitto ambaye kazungukwa na rahisi kuzidiwa kete ktk kura jambo ambalo linaweza tokea. Wajumbe wengi wakiunga mkono hoja ya Serikali yetu kutokuwa na hisa ktk miradi hii against Zitto na yeyote atakaye simama naye itabidi ipitishwa kuwa hakuna hisa... na tatizo kubwa kwa wananchi na hasa vyombo vya habari vitasema Zitto alikuwepo ktk kamati hiyo iliyokubali mikataba ibakie kama ilivyo! - who knows itaamliwa vipi dhidi ya Zitto na ndio maana wapo wanaosema JK kamfunga Zitto kamba ajinyonge mwenyewe...
Hizi zote ni dhana ama mawazo yaliyotangulia na kuwepo na uhuru wa kuzisema tofauti hizi ni health ktk society yoyote ile kuliko ule Utawala wa kina Stallion ama Mao Tse Tung.
Lakini, wakati huo huo hao kina Mao walipiga marufuku haki hii kutokana na matumizi mabaya ya uhuru huu wa mawazo ambao chimbuko lake ni Uzushi, Udaku, Uchawi na fikra zinazobomoa society. Yawezakana hawa jamaa walitazama kwanza mazingira, tamaduni na mila za watu wake ndio maana walifikia maamuzi kama hayo maanake sasa hivi Tanzania Haki na Uhuru huu umeanza kutumiwa vibaya sana. Wananchi tunaanza kujenga chuki na kugawanyika ktk makundi madogo madogo.

Nina mashaka sana na huko tuendako!
 
Mie naona ni kweli Zitto kasakiziwa kuwekwa kwenye kamati na asipokuwa makini atapigwa "tobo na kanzu" mpaka atachoka mwenyewe. Lakini kama kamati ipo huru, basi Zitto inatakiwa awe Zitto na kuzielezea positions atakazokuwa anachua kwa kina ilipasiwe na utata wowote kwa upande wake hasa pale ripoti ya mwisho itakapo kuwa ya kisanii. Sioni sababu ya kujitoa, kuwa na wasiwasi au kuzuka kwa gogoro huko Chadema.......hii kitu kama wakichanga karata zao vizuri inaweza kuwapandisha chati!!!. Hizo ni two cents zangu.
 
ukweli ni kuwa kikwete amewabana CHADEMA kwenye angle akishirikiana na propaganda machine yake..yaani kifupi ZITO AKIJITOA KWENYE KAMATI CHADEMA WANAJIMALIZA..NA AKIENDELEA KUWEPO PANAZUKA MGOGORO CHAMANI...kama nilivyosema awali ZITTO NA WENZAKE NEED BE EXTRA CAREFUL NOW...jk hajamteuwa zito kwa kuwa anawapenda sana CHADEMA "anataka kumuua mbuzi kwa kamba yake mwenyewe"
na ili zito aendelee kuwamo kwenye kamati na kuharibu hila za ccm..uamuzi wa kuitisha hiyo kamati kuu ili kwa kauli moja umpe baraka zake ni muhimu..na utaondoa uwezekano wowote wa mgogoro CHADEMA...
Kwa kifupi hakina tishio lolote la mgogoro linaloonekana zaidi ya propaganda machine ya ccm..na hii ndio inazidisha hali ya kutokuaminiana..miongoni mwa wapinzani na ccm..
CHADEMA ni wanademokrasia na katika hili inaonekana wataibuka wakiwa wamoja zaidi na uwezekano wa kutumia hii kamati kujipatia umaarufu ni mkubwa kinyume cha strategists wa kikwete wanavyodhani...cha muhimu lazima kamati iendeshwe kwa uwazi na kama kuna dalili ya mambo ya kificho zito AWAUMBUE!!!
HUU NI wakati wa MACHINERY za CHADEMA kufanya kazi kama mchwa ili wasiachwe...

By far this is a level headed analysis of the issue under discussion.

However, Zitto is no sell out: Consider his carefully selected words - "...... amejiandaa vema kutekeleza majukumu yake kwenye kamati kwa niaba ya chama chake na waTanzania, hivyo hawezi kujitoa kwenye kamati hiyo, labda Rais Kikwete amfukuze."

Mark those last four words, therein you will find where he stands.
Angekuwa ni Bwana Mapesa ndie anazungumza haya maneno ningepuuza.
 
Kidumu Chama cha Chadema!

Wanaoneana wivu nini kwa "ulaji" wa Zitto?! kwi kwi kwiiiiii
 
Mkandara,

Mimi nadhani kwa hapa JF nilikuwa miongoni wa watu wa kwanza kumtaka Zitto ajitoe, sababu nilitoa, ikiwemo uliyoitaja hapo juu pia nilihitimisha kuwa chochote kitakachoamuliwa ni kikamati, Zitto akitoka nje na kusema vinginevyo itakuwa anajiua kisiasa!

Zitto mwanangu jitoe, wajumbe wengi waliomo humo hawafai!

Tatizo la wabongo wanawaza hela za vikao tu hawawazi mbali.

No wonder mtabakia wapinzani forever!
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom