Uchaguzi 2020 CHADEMA kwa sera hii, mtakomba kura zote za wafanyakazi wa nchi hii, na haya ndio maneno tunayotaka kuyasikia yatayomuangusha Magufuli na CCM yake

View attachment 1530307

Ushauri wangu:CHADEMA waandae na wasambaze kwa wingi vipeperushi vyenye sera hizi kuanzia kwenye madaladala,mabasi ya mikoani,sokoni,kwenye mabaa, na sehemu nyingine zozote zile zenye mikusanyiko ya watu wakati wa kampeni ukifika.

Msisahau pia swala la kupunguza PAYE pamoja na swala la kupunguza kama sio kufuta kabisa makato ya Bodi ya Mikopo.

Mkiondoa au kupunguza mashangingi serikalini,kufuta mbio za mwenge, na hata kupunguza au kuondoa kabisa sitting allowance za wabunge na mambo mengine, mnaweza pata fedha za kusomesha watoto wa masikini wa nchi bila kuwabagua kwa madaraja au kutokana na uwezo mzuri wa kifamilia kwa wale wanaotoka katika famila zinazojiweza/zenye unafuu wa kipato.

Sera nyingine ni kama hizi:

View attachment 1530347

View attachment 1530349

CCM must go!!

3. Kurudisha Fao la Kujitoa.

4. Kushusha PAYE

5.Kushusha VAT hadi 10%

6. Kupunguza Makato ya mikopo ya wanafunzi kutoka 15% hadi 3%.
 
View attachment 1530307

Ushauri wangu:CHADEMA waandae na wasambaze kwa wingi vipeperushi vyenye sera hizi kuanzia kwenye madaladala,mabasi ya mikoani,sokoni,kwenye mabaa, na sehemu nyingine zozote zile zenye mikusanyiko ya watu wakati wa kampeni ukifika.

Msisahau pia swala la kupunguza PAYE pamoja na swala la kupunguza kama sio kufuta kabisa makato ya Bodi ya Mikopo.

Mkiondoa au kupunguza mashangingi serikalini,kufuta mbio za mwenge, na hata kupunguza au kuondoa kabisa sitting allowance za wabunge na mambo mengine, mnaweza pata fedha za kusomesha watoto wa masikini wa nchi bila kuwabagua kwa madaraja au kutokana na uwezo mzuri wa kifamilia kwa wale wanaotoka katika famila zinazojiweza/zenye unafuu wa kipato.

Sera nyingine ni kama hizi:

View attachment 1530347

View attachment 1530349

CCM must go!!
Wazaramo wana msemo wao " zilongwa mbali, zitendwa mbali"... endeleeni kujifurahisha.
 
Kwanza hakuna anaeweza kuchukuwa ushauri wako sababu wewe Ni takataka tu pili ikiwa baba wa demokrasia nccr mageuzi walishindwa itaweza kweli Sacco's?
 
View attachment 1530307

Ushauri wangu:CHADEMA waandae na wasambaze kwa wingi vipeperushi vyenye sera hizi kuanzia kwenye madaladala,mabasi ya mikoani,sokoni,kwenye mabaa, na sehemu nyingine zozote zile zenye mikusanyiko ya watu wakati wa kampeni ukifika.

Msisahau pia swala la kupunguza PAYE pamoja na swala la kupunguza kama sio kufuta kabisa makato ya Bodi ya Mikopo.

Mkiondoa au kupunguza mashangingi serikalini,kufuta mbio za mwenge, na hata kupunguza au kuondoa kabisa sitting allowance za wabunge na mambo mengine, mnaweza pata fedha za kusomesha watoto wa masikini wa nchi bila kuwabagua kwa madaraja au kutokana na uwezo mzuri wa kifamilia kwa wale wanaotoka katika famila zinazojiweza/zenye unafuu wa kipato.

Sera nyingine ni kama hizi:

View attachment 1530347

View attachment 1530349

CCM must go!!
Ushindi wa Magu mwaka huu ni zaidi ya mafuriko! Hatupeleki wasanii wa kuigiza ikulu! Tunapeleka wenye uthubutu na utimamu wa akili! Mungu azidi mbariki, kumuongoza na kumtunza rais wetu mpendwa My. Dr. JJ P Magufuli! Mungu ibariki zaidi Tz!
 
View attachment 1530307

Ushauri wangu:CHADEMA waandae na wasambaze kwa wingi vipeperushi vyenye sera hizi kuanzia kwenye madaladala,mabasi ya mikoani,sokoni,kwenye mabaa, na sehemu nyingine zozote zile zenye mikusanyiko ya watu wakati wa kampeni ukifika.

Msisahau pia swala la kupunguza PAYE pamoja na swala la kupunguza kama sio kufuta kabisa makato ya Bodi ya Mikopo.

Mkiondoa au kupunguza mashangingi serikalini,kufuta mbio za mwenge, na hata kupunguza au kuondoa kabisa sitting allowance za wabunge na mambo mengine, mnaweza pata fedha za kusomesha watoto wa masikini wa nchi bila kuwabagua kwa madaraja au kutokana na uwezo mzuri wa kifamilia kwa wale wanaotoka katika famila zinazojiweza/zenye unafuu wa kipato.

Sera nyingine ni kama hizi:

View attachment 1530347

View attachment 1530349

CCM must go!!
Ushindi wa Magu mwaka huu ni zaidi ya mafuriko! Hatupeleki wasanii wa kuigiza ikulu! Tunapeleka wenye uthubutu na utimamu wa akili! Mungu azidi mbariki, kumuongoza na kumtunza rais wetu mpendwa My. Dr. JJ P Magufuli! Mungu ibariki zaidi Tz!
 
View attachment 1530307

Ushauri wangu:CHADEMA waandae na wasambaze kwa wingi vipeperushi vyenye sera hizi kuanzia kwenye madaladala,mabasi ya mikoani,sokoni,kwenye mabaa, na sehemu nyingine zozote zile zenye mikusanyiko ya watu wakati wa kampeni ukifika.

Msisahau pia swala la kupunguza PAYE pamoja na swala la kupunguza kama sio kufuta kabisa makato ya Bodi ya Mikopo.

Mkiondoa au kupunguza mashangingi serikalini,kufuta mbio za mwenge, na hata kupunguza au kuondoa kabisa sitting allowance za wabunge na mambo mengine, mnaweza pata fedha za kusomesha watoto wa masikini wa nchi bila kuwabagua kwa madaraja au kutokana na uwezo mzuri wa kifamilia kwa wale wanaotoka katika famila zinazojiweza/zenye unafuu wa kipato.

Sera nyingine ni kama hizi:

View attachment 1530347

View attachment 1530349

CCM must go!!
Ushindi wa Magu mwaka huu ni zaidi ya mafuriko! Hatupeleki wasanii wa kuigiza ikulu! Tunapeleka wenye uthubutu na utimamu wa akili! Mungu azidi mbariki, kumuongoza na kumtunza rais wetu mpendwa My. Dr. JJ P Magufuli! Mungu ibariki zaidi Tz!
 
Sijui ni kwanini Mimi ninaamini kwenye matumizi ya nguvu kuiondoa ccm kuliko hizi sera zenu? Hivi Kati yenu nani anaamini 2015 Magu alishinda uchaguzi? Chadema hawajaanza kuwa na sera nzuri leo, elimu bure pia ilikuwa sera ya chadema

Unajua kwenye nguvu sio kwamba hawafikilii. Wanajua sana ila wanataka kuwapa sababu wananchi na kuwafanya wachague na waamue kufanya mabadiliko.
 
Kujenga miundo mbinu mpaka kijijini itakua powa sana,sababu huko ndiko kunahitaji mabadiliko sana, nahisi watu vijijini ndio wanatulisha urban areas,....again since huko ndiko kuna wapiga kura wengi, ukiwaonyesha una nia ya kui mprove their living standards, lazima watakuchagua, Kwenye Kampeni mimi nahisi mu invest heavily kwenye kupiga kampeni vijijini...

Kingine ni Afya nimependa alichopropose mtoa mada,Wajawazito,Disabled,and the elderly wapate matibabu bure, ningependa kuadd watu wenye magonjwa sugu kama Diabetes pia wapewe kipaumbele, thanks.
 
Sio bure unafaidika na awamu hii ya tano, wacha wasiofaidika waseme
Wenye kuona mbali tunaelewa Magu anayoifanyia Tz! Mungu azidi kumthibitisha! Wapendwa vya Berkeley mnalo saana!
Sijui mjinga gani kutoka ukanda wa ziwa anaejitambua ataipigia kura chadema, kama atajitokeza basi atakua amemsaliti musukuma mwenzetu na kuwapa ushindi wana kaskazini, na watatudharau mara kumi yake endapo chadema itashika nchi.

Wasukuma mpoooooooooo,,,


Naahene nkoi
Acha m
Sijui mjinga gani kutoka ukanda wa ziwa anaejitambua ataipigia kura chadema, kama atajitokeza basi atakua amemsaliti musukuma mwenzetu na kuwapa ushindi wana kaskazini, na watatudharau mara kumi yake endapo chadema itashika nchi.

Wasukuma mpoooooooooo,,,


Naahene nkoi
Acha mawazo ya kupungu hayo! Magu tutampigia kura watz wote siyo kwa sababu ni msukuma...Bali kwa kutambua utayari wake ktk kulitumikia taifa letu kwa moyo wake wote huku akimtanguliza Mungu mbele! Mtazamo finyu Kama wako ni hatari Sana kwa nchi ya kistaalamu iliyoasisiwa na Mwl. I. I. Nyerere!
Sijui mjinga gani kutoka ukanda wa ziwa anaejitambua ataipigia kura chadema, kama atajitokeza basi atakua amemsaliti musukuma mwenzetu na kuwapa ushindi wana kaskazini, na watatudharau mara kumi yake endapo chadema itashika nchi.

Wasukuma mpoooooooooo,,,


Naahene nkoi
Hebu acha upungu we! Magu atapigiwa kura na watz wote siyo kwa Kuwa ni msukuma...Bali kwa kutambua utayari wake ktk kulitumikia taifa letu kwa moyo wake wote huku akimtanguliza Mungu! Mawazo ya kipumbavu ya kuangalia ukanda, ukabila, udini, nk ni upungu uliokithiri ambao hauna nafasi ktk dunia ya wastaarabu!
 
Back
Top Bottom