Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,231
Kwa Lissu subiri chezoSasa ilikuwaje akatangazwa mshindi pamoja na kupata kura kidogo? Ndo maana Mimi naona bila matumizi ya nguvu,ccm bado ipo sana
Kwa Lissu subiri chezoSasa ilikuwaje akatangazwa mshindi pamoja na kupata kura kidogo? Ndo maana Mimi naona bila matumizi ya nguvu,ccm bado ipo sana
Nchi nzima tumekubaliana lazima ang'olewe
Katika mazingira ambayo tume ya uchaguzi na serikili ni wagombea pia huo uhalali wa kura ulizopata unaupata wapi?Ili upate uhalali wa kutumia nguvu kama unavyosema, ni lazima kwanza uwe na uhakika umeibiwa kura vinginevyo kila mtu atakushangaa.
View attachment 1530307
Ushauri wangu:CHADEMA waandae na wasambaze kwa wingi vipeperushi vyenye sera hizi kuanzia kwenye madaladala,mabasi ya mikoani,sokoni,kwenye mabaa, na sehemu nyingine zozote zile zenye mikusanyiko ya watu wakati wa kampeni ukifika.
Msisahau pia swala la kupunguza PAYE pamoja na swala la kupunguza kama sio kufuta kabisa makato ya Bodi ya Mikopo.
Mkiondoa au kupunguza mashangingi serikalini,kufuta mbio za mwenge, na hata kupunguza au kuondoa kabisa sitting allowance za wabunge na mambo mengine, mnaweza pata fedha za kusomesha watoto wa masikini wa nchi bila kuwabagua kwa madaraja au kutokana na uwezo mzuri wa kifamilia kwa wale wanaotoka katika famila zinazojiweza/zenye unafuu wa kipato.
Sera nyingine ni kama hizi:
View attachment 1530347
View attachment 1530349
CCM must go!!
Wazaramo wana msemo wao " zilongwa mbali, zitendwa mbali"... endeleeni kujifurahisha.View attachment 1530307
Ushauri wangu:CHADEMA waandae na wasambaze kwa wingi vipeperushi vyenye sera hizi kuanzia kwenye madaladala,mabasi ya mikoani,sokoni,kwenye mabaa, na sehemu nyingine zozote zile zenye mikusanyiko ya watu wakati wa kampeni ukifika.
Msisahau pia swala la kupunguza PAYE pamoja na swala la kupunguza kama sio kufuta kabisa makato ya Bodi ya Mikopo.
Mkiondoa au kupunguza mashangingi serikalini,kufuta mbio za mwenge, na hata kupunguza au kuondoa kabisa sitting allowance za wabunge na mambo mengine, mnaweza pata fedha za kusomesha watoto wa masikini wa nchi bila kuwabagua kwa madaraja au kutokana na uwezo mzuri wa kifamilia kwa wale wanaotoka katika famila zinazojiweza/zenye unafuu wa kipato.
Sera nyingine ni kama hizi:
View attachment 1530347
View attachment 1530349
CCM must go!!
Hapo Ufipa mmeajiri watu wangapi maana Mwita Waitara alidau hata michango ya nssf ya watumishi wawili waliopo hamuiwasilishi!
Ushindi wa Magu mwaka huu ni zaidi ya mafuriko! Hatupeleki wasanii wa kuigiza ikulu! Tunapeleka wenye uthubutu na utimamu wa akili! Mungu azidi mbariki, kumuongoza na kumtunza rais wetu mpendwa My. Dr. JJ P Magufuli! Mungu ibariki zaidi Tz!View attachment 1530307
Ushauri wangu:CHADEMA waandae na wasambaze kwa wingi vipeperushi vyenye sera hizi kuanzia kwenye madaladala,mabasi ya mikoani,sokoni,kwenye mabaa, na sehemu nyingine zozote zile zenye mikusanyiko ya watu wakati wa kampeni ukifika.
Msisahau pia swala la kupunguza PAYE pamoja na swala la kupunguza kama sio kufuta kabisa makato ya Bodi ya Mikopo.
Mkiondoa au kupunguza mashangingi serikalini,kufuta mbio za mwenge, na hata kupunguza au kuondoa kabisa sitting allowance za wabunge na mambo mengine, mnaweza pata fedha za kusomesha watoto wa masikini wa nchi bila kuwabagua kwa madaraja au kutokana na uwezo mzuri wa kifamilia kwa wale wanaotoka katika famila zinazojiweza/zenye unafuu wa kipato.
Sera nyingine ni kama hizi:
View attachment 1530347
View attachment 1530349
CCM must go!!
Ushindi wa Magu mwaka huu ni zaidi ya mafuriko! Hatupeleki wasanii wa kuigiza ikulu! Tunapeleka wenye uthubutu na utimamu wa akili! Mungu azidi mbariki, kumuongoza na kumtunza rais wetu mpendwa My. Dr. JJ P Magufuli! Mungu ibariki zaidi Tz!View attachment 1530307
Ushauri wangu:CHADEMA waandae na wasambaze kwa wingi vipeperushi vyenye sera hizi kuanzia kwenye madaladala,mabasi ya mikoani,sokoni,kwenye mabaa, na sehemu nyingine zozote zile zenye mikusanyiko ya watu wakati wa kampeni ukifika.
Msisahau pia swala la kupunguza PAYE pamoja na swala la kupunguza kama sio kufuta kabisa makato ya Bodi ya Mikopo.
Mkiondoa au kupunguza mashangingi serikalini,kufuta mbio za mwenge, na hata kupunguza au kuondoa kabisa sitting allowance za wabunge na mambo mengine, mnaweza pata fedha za kusomesha watoto wa masikini wa nchi bila kuwabagua kwa madaraja au kutokana na uwezo mzuri wa kifamilia kwa wale wanaotoka katika famila zinazojiweza/zenye unafuu wa kipato.
Sera nyingine ni kama hizi:
View attachment 1530347
View attachment 1530349
CCM must go!!
Ushindi wa Magu mwaka huu ni zaidi ya mafuriko! Hatupeleki wasanii wa kuigiza ikulu! Tunapeleka wenye uthubutu na utimamu wa akili! Mungu azidi mbariki, kumuongoza na kumtunza rais wetu mpendwa My. Dr. JJ P Magufuli! Mungu ibariki zaidi Tz!View attachment 1530307
Ushauri wangu:CHADEMA waandae na wasambaze kwa wingi vipeperushi vyenye sera hizi kuanzia kwenye madaladala,mabasi ya mikoani,sokoni,kwenye mabaa, na sehemu nyingine zozote zile zenye mikusanyiko ya watu wakati wa kampeni ukifika.
Msisahau pia swala la kupunguza PAYE pamoja na swala la kupunguza kama sio kufuta kabisa makato ya Bodi ya Mikopo.
Mkiondoa au kupunguza mashangingi serikalini,kufuta mbio za mwenge, na hata kupunguza au kuondoa kabisa sitting allowance za wabunge na mambo mengine, mnaweza pata fedha za kusomesha watoto wa masikini wa nchi bila kuwabagua kwa madaraja au kutokana na uwezo mzuri wa kifamilia kwa wale wanaotoka katika famila zinazojiweza/zenye unafuu wa kipato.
Sera nyingine ni kama hizi:
View attachment 1530347
View attachment 1530349
CCM must go!!
Sio bure unafaidika na awamu hii ya tano, wacha wasiofaidika wasemeUshindi wa Magu mwaka huu ni zaidi ya mafuriko! Hatupeleki wasanii wa kuigiza ikulu! Tunapeleka wenye uthubutu na utimamu wa akili! Mungu azidi mbariki, kumuongoza na kumtunza rais wetu mpendwa My. Dr. JJ P Magufuli! Mungu ibariki zaidi Tz!
Sijui ni kwanini Mimi ninaamini kwenye matumizi ya nguvu kuiondoa ccm kuliko hizi sera zenu? Hivi Kati yenu nani anaamini 2015 Magu alishinda uchaguzi? Chadema hawajaanza kuwa na sera nzuri leo, elimu bure pia ilikuwa sera ya chadema
Ufipa hatukusanyi kodiHapo Ufipa mmeajiri watu wangapi maana Mwita Waitara alidau hata michango ya nssf ya watumishi wawili waliopo hamuiwasilishi!
Wenye kuona mbali tunaelewa Magu anayoifanyia Tz! Mungu azidi kumthibitisha! Wapendwa vya Berkeley mnalo saana!Sio bure unafaidika na awamu hii ya tano, wacha wasiofaidika waseme
Wenye kuona mbali tunaelewa Magu anayoifanyia Tz! Mungu azidi kumthibitisha! Wapendwa vya Berkeley mnalo saana!Sio bure unafaidika na awamu hii ya tano, wacha wasiofaidika waseme
Acha mSijui mjinga gani kutoka ukanda wa ziwa anaejitambua ataipigia kura chadema, kama atajitokeza basi atakua amemsaliti musukuma mwenzetu na kuwapa ushindi wana kaskazini, na watatudharau mara kumi yake endapo chadema itashika nchi.
Wasukuma mpoooooooooo,,,
Naahene nkoi
Acha mawazo ya kupungu hayo! Magu tutampigia kura watz wote siyo kwa sababu ni msukuma...Bali kwa kutambua utayari wake ktk kulitumikia taifa letu kwa moyo wake wote huku akimtanguliza Mungu mbele! Mtazamo finyu Kama wako ni hatari Sana kwa nchi ya kistaalamu iliyoasisiwa na Mwl. I. I. Nyerere!Sijui mjinga gani kutoka ukanda wa ziwa anaejitambua ataipigia kura chadema, kama atajitokeza basi atakua amemsaliti musukuma mwenzetu na kuwapa ushindi wana kaskazini, na watatudharau mara kumi yake endapo chadema itashika nchi.
Wasukuma mpoooooooooo,,,
Naahene nkoi
Hebu acha upungu we! Magu atapigiwa kura na watz wote siyo kwa Kuwa ni msukuma...Bali kwa kutambua utayari wake ktk kulitumikia taifa letu kwa moyo wake wote huku akimtanguliza Mungu! Mawazo ya kipumbavu ya kuangalia ukanda, ukabila, udini, nk ni upungu uliokithiri ambao hauna nafasi ktk dunia ya wastaarabu!Sijui mjinga gani kutoka ukanda wa ziwa anaejitambua ataipigia kura chadema, kama atajitokeza basi atakua amemsaliti musukuma mwenzetu na kuwapa ushindi wana kaskazini, na watatudharau mara kumi yake endapo chadema itashika nchi.
Wasukuma mpoooooooooo,,,
Naahene nkoi
Awamu zingine taifa walikuwa hawalifanyii chochote taifa?Wenye kuona mbali tunaelewa Magu anayoifanyia Tz! Mungu azidi kumthibitisha! Wapendwa vya Berkeley mnalo saana!
Anatumia masaa 6 kuonyesha daraja alilojengaJPM yeye anaaisitiza kazi tu lqkini maslahi hajali kabisa.
Wana visababu vya hovyo sana hawa wazee.Kwahiyo kama ni dunia nzima,JK yeye hakua anajua kua dunia nzima ajira ni tatizo,ila katika utawala wa huyu Pombe ndo imejulikana?