mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Siku ikitokea hizi ID hizi🤔🤔🤔 Mungu tuu asaidieBAK anatumia ID fake tayari ni zwazwa. Mkumbo hafichi ID
Siku ikitokea hizi ID hizi🤔🤔🤔 Mungu tuu asaidieBAK anatumia ID fake tayari ni zwazwa. Mkumbo hafichi ID
na ombi lake la chanjo za kugandisha damu za watu.Mpaka sasa hivi Lissu anaongoza kwa mabao mengi na Magufuli ni zero na dakika zinazidi kuyoyoma
Lazima wafukunyue, people deserve to know what is going on.Ushauri wa bure
Mambo ya tetesi msijiingize kwenye mtego. Wakati bado.
Watanzania Tunataka Sputnik na Pfizer tuchanjwena ombi lake la chanjo za kugandisha damu za watu.
... pumbavu!Waliwahi kusema mikutano yao itakua Online, huu sijui veeepeee!
Hawaogopi hao.Wataishia kuwekwa ndani.
Acha uogaMimi ninacho jua kama hayupo Dsm atakuwa Chato na kama hayupo Chato atakuwa Dodoma. Full Stop!
Nasikia Mnyika kaonekana kituo cha polisi oysterbay!Saa Tano bado ? Au Sio East African Time ?
Acha uoga
Wanashughulikia dhamana kwanza!Muda tayari