Herr muller
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 1,017
- 1,214
Pewa kahawa au soda, bill ije kwangu mkuuLissu anaenda kuwa bilionea gafla... Hakika Mungu anampango na mtumishi wake Lissu... Lissu 2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Pewa kahawa au soda, bill ije kwangu mkuuLissu anaenda kuwa bilionea gafla... Hakika Mungu anampango na mtumishi wake Lissu... Lissu 2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza watuambie Azimio la mkutano uliopita kuhusu mikutano ya kisiasa wametekeleza kwa asilimia ngapi sio kila siku kuwafanya watanzania hawakumbuki Hao ni wachumia tumbo tu kama wachumia tumbo wengineKesho tarehe 14/03/2019 chama kikuu cha upinzani Chadema kitaongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Pamoja na mambo mengine wataweka wazi utaratibu wa kumtibu na kumchangia Shujaaa Tundu Lissu
Hii ni baada ya wasiojulikana kuzuia asilipwe Mshahara wake na posho zingine za kibunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Bibie umeshaandika kitanda cha mumeo?
Mkuu kipindi hiki cha jiwe hakuna wateja naona biashara kahamishia kiganjani kwake.
Waliositisha mshahara wa Lisu wanatarajia kuzipiga pesa hizo.Mbowe anavuta mkwanja mwingine hapo kilainii baada ya kutoka selo.
Achana na Mhe. Mbowe, kila mnapojitahidi kumdhohofisha anaimarika.Mbowe anavuta mkwanja mwingine hapo kilainii baada ya kutoka selo.
Kesho tarehe 14/03/2019 chama kikuu cha upinzani Chadema kitaongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Pamoja na mambo mengine wataweka wazi utaratibu wa kumtibu na kumchangia Shujaaa Tundu Lissu
Hii ni baada ya wasiojulikana kuzuia asilipwe Mshahara wake na posho zingine za kibunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una matatizo yako si bure.Mbowe anavuta mkwanja mwingine hapo kilainii baada ya kutoka selo.
anatengeneza kibubu ale kiulaini tu jamaa mhuni kinomaMbowe anavuta mkwanja mwingine hapo kilainii baada ya kutoka selo.
Wewe yaonekana una roho mbaya sana. TL kanyimwa mshahara na stahiki zake nyingine kinyume na katiba na sheria za kibunge, ilhali hakuna asiyejua kilichompata hadi akawa huko aliko kimatibabu baada ya kuuchungulia umauti. Sasa watu wenye utu wakipanga namna ya kumsaidia watakuwa ni wajinga?Wachaga nana
Yaan katoka Mahabusu Hata wiki haijaisha kishakuja Na Mpango Mkakati wa kuKusanya Fedha
Mchagga Mchaga bana sio kina Mashinji Na Prof Safari waliishia kushangaa shangaa
Tundu Lisu is the hope we have,Kesho tarehe 14/03/2019 chama kikuu cha upinzani Chadema kitaongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Pamoja na mambo mengine wataweka wazi utaratibu wa kumtibu na kumchangia Shujaaa Tundu Lissu
Hii ni baada ya wasiojulikana kuzuia asilipwe Mshahara wake na posho zingine za kibunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Waandishi wa habari hawakutokea Ile majuzi Mbowe na Matiko walipoona hakuna PA kuuza sura Mbele ya Waandishi wa habari wakatokomea gizani kwa aibu kimya kimya. Hebu tuangalie na Leo.Toka majuzi ni kuongea na vyombo vya habari ila hola.
kinachofuata ni kufuta ubunge kutokana na utoro. pia tutakuwepo mtueleze hao wasiojulikana akina nani maana tunajua ofisi iliyofuta inajulikana. Deko mwisho ilikuwa 2015Kesho tarehe 14/03/2019 chama kikuu cha upinzani Chadema kitaongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Pamoja na mambo mengine wataweka wazi utaratibu wa kumtibu na kumchangia Shujaaa Tundu Lissu
Hii ni baada ya wasiojulikana kuzuia asilipwe Mshahara wake na posho zingine za kibunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Amesha wa assign akina malisa na kilewo kuchapisha t-shirts za changia mgonjwa lissu. Moja ni 30,000/=Wachaga nana
Yaan katoka Mahabusu Hata wiki haijaisha kishakuja Na Mpango Mkakati wa kuKusanya Fedha
Mchagga Mchaga bana sio kina Mashinji Na Prof Safari waliishia kushangaa shangaa
Mangi keshaona Fursa chezea Mangi na mangi wenzie Akina malisa na kileoAmesha wa assign akina malisa na kilewo kuchapisha t-shirts za changia mgonjwa lissu. Moja ni 30,000/=
Wadeki lami wanahaha kupata hiyo fedha kwa sasa.