YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,050
Hapo yanatolewa malengo ya kufa mtu Kuwa Kila Wilaya na mikoa inunue t-shirts za milioni kadhaa na Kila mbunge na diwani atoe pesa fulani Kila mweziAmesha wa assign akina malisa na kilewo kuchapisha t-shirts za changia mgonjwa lissu. Moja ni 30,000/=
Wadeki lami wanahaha kupata hiyo fedha kwa sasa.