ukawa2020
JF-Expert Member
- Apr 1, 2016
- 339
- 1,315
Kesho tarehe 14/03/2019 chama kikuu cha upinzani Chadema kitaongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Pamoja na mambo mengine wataweka wazi utaratibu wa kumtibu na kumchangia Shujaaa Tundu Lissu
Hii ni baada ya wasiojulikana kuzuia asilipwe Mshahara wake na posho zingine za kibunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni baada ya wasiojulikana kuzuia asilipwe Mshahara wake na posho zingine za kibunge
Sent using Jamii Forums mobile app