mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 95,882
- 136,798
Ushapimwa tezi dume dogoanatengeneza kibubu ale kiulaini tu jamaa mhuni kinoma
Naskia dokta alikuwa na midole minene
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushapimwa tezi dume dogoanatengeneza kibubu ale kiulaini tu jamaa mhuni kinoma
Atavunja rekodi kwa kupata pesa nyingiKesho tarehe 14/03/2019 chama kikuu cha upinzani Chadema kitaongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Pamoja na mambo mengine wataweka wazi utaratibu wa kumtibu na kumchangia Shujaaa Tundu Lissu
Hii ni baada ya wasiojulikana kuzuia asilipwe Mshahara wake na posho zingine za kibunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Atavunja rekodi ya kuchangiwa fedha nyingi sana na wasamaria wema wenye utu wa binadamuLissu anaenda kuwa bilionea gafla... Hakika Mungu anampango na mtumishi wake Lissu... Lissu 2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Maajabu Shetani kazuia mshahara wa Lissu halafu yeye mwenyewe kaenda China kutembeza bakuri .Watu wasiojulikana AKA watu wa Magogoni.
acheni ujinga nia yenu ovu ni kuona lisu akipiga magoti kuomba kwenu hivi kanisani au misikitini huwa mnaenda kufanya nini hata ubinadamu hamna sinaMbowe anavuta mkwanja mwingine hapo kilainii baada ya kutoka selo.
Mimi sitoi hela yangu kuwachangia matajiri hata siku Moja.kila mtu aubebe msalaba wake mwenyewe
Dole lililompima hili hapaUshapimwa tezi dume dogo
Naskia dokta alikuwa na midole minene
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa nimeelewa lakin nawaomba makamanda tumeni moja kwa moja ubeligijiSikiliza wewe usichange.... tuachie sisi tutachanga wewe unaotaka auditors kawambie wakwambie ilipo ile 1.5 trilion ndo ushughulike na za lisu.
KOROSHO ZIMEMSHINDA ATAWEZA MBAAZI?
Kati ya haya mawili "Mjinga" na "Mpumbavu" lipi litaakisi mawazo yako?Mbowe anavuta mkwanja mwingine hapo kilainii baada ya kutoka selo.
Watajulikana tu ni watu wasiojulikana kwa awamu ya 5 labda na ya 6Kesho tarehe 14/03/2019 chama kikuu cha upinzani Chadema kitaongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Pamoja na mambo mengine wataweka wazi utaratibu wa kumtibu na kumchangia Shujaaa Tundu Lissu
Hii ni baada ya wasiojulikana kuzuia asilipwe Mshahara wake na posho zingine za kibunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima mtajaribu kufanya hivyo. Mkishindwa nitakutag ku kuonyesha roho ya koroshow hailp wala nini!Tutazuia hizo Accounts kwa hoja wanazotumia Wamarekani kudhibiti Magaidi
Huenda hii Michango Sijui ya kuchangia Chama Sijui kumChangia Lissu kuna Mkono wa Money laundering
Maajabu Shetani kazuia mshahara wa Lissu halafu yeye mwenyewe kaenda China kutembeza bakuri .
Ushuzi mtupu.Kati ya haya mawili "Mjinga" na "Mpumbavu" lipi litaakisi mawazo yako?
Hii mi buku7 ina roho mbaya roho za kimaskini,washamba kabisaLazima mtajaribu kufanya hivyo. Mkishindwa nitakutag ku kuonyesha roho ya koroshow hailp wala nini!
Roho masikini na ushamba ni combination chafu kabisa na sumu kwa Taifa. Halafu uongezee na ufisadi Sasa!🙌🏾🙌🏾Hii mi buku7 ina roho mbaya roho za kimaskini,washamba kabisa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwache avute we unaumia nn? Wanazovuta akina bashite kwa wafanyabiashara unazijua?Mbowe anavuta mkwanja mwingine hapo kilainii baada ya kutoka selo.
Nenda kachangie wewe, acho longolongo zako.Mwache avute we unaumia nn? Wanazovuta akina bashite kwa wafanyabiashara unazijua?