CHADEMA kuongea na vyombo vya Habari kesho

CHADEMA kuongea na vyombo vya Habari kesho

Kesho tarehe 14/03/2019 chama kikuu cha upinzani Chadema kitaongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Pamoja na mambo mengine wataweka wazi utaratibu wa kumtibu na kumchangia Shujaaa Tundu Lissu

Hii ni baada ya wasiojulikana kuzuia asilipwe Mshahara wake na posho zingine za kibunge

Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi za Lowassa angeclear hizo bill zote kama MO ila ndio hivyo itabidi mtumie mbinu za mzee Yahya Akilimali wa Yanga!
 
Mtoto wa kikopo hajui baba yake wala mama yake! Hasara kubwa kwa Taifa kuwa na majuha kama huyu nchini.

Mlaumu mama yako alomtwanga limbwata, naona huyo jiwe kamuhonga mama yako hiyo pesa na mnafaidi kweli, sisi wanyonge wala hatujalalamika kukwapuliwa pesa hiyo, tunaelewa uchawi upo hivyo hatumlaumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho tarehe 14/03/2019 chama kikuu cha upinzani Chadema kitaongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Pamoja na mambo mengine wataweka wazi utaratibu wa kumtibu na kumchangia Shujaaa Tundu Lissu

Hii ni baada ya wasiojulikana kuzuia asilipwe Mshahara wake na posho zingine za kibunge

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawakuamini wakadhani anatania. Daah makato mengine kwa wabunge wa Chadema hayo
 
Stand up and be counted when it comes to defending your country against those hooligans and corrupt people who are pretending to be leaders.


Mkuu BAK Be careful wasije kuku BenSaa8
 
Kesho tarehe 14/03/2019 chama kikuu cha upinzani Chadema kitaongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Pamoja na mambo mengine wataweka wazi utaratibu wa kumtibu na kumchangia Shujaaa Tundu Lissu

Hii ni baada ya wasiojulikana kuzuia asilipwe Mshahara wake na posho zingine za kibunge

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunasubiri kwa hamu kuu, tupewe acc no ya MHe LISSU , hela iaze kumiminika huko ile baya, tutaona kaa wasiojulikana wataweza zuia tusitume hela kwa hio acc
 
Back
Top Bottom