Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,761
- 71,144
Kwa ajili ya kuhonga?All in all, pesa za kampeni zinahitajika if CHADEMA is serious katika kushinda ubunge viti vingi.
Kwa ajili ya kuhonga?All in all, pesa za kampeni zinahitajika if CHADEMA is serious katika kushinda ubunge viti vingi.
eeeh ndio huyo huyo alie vunja ndoa hiiView attachment 14014
View attachment 14013Usisahau na yule aliyeanguka bafuni wakati yupo na mke wa mwenzie!Laana hizi!
Minda, sounds so gay-ish!
wakuu,
mfano wa watu hao ni kama akina;
- je ni kweli uvumi kwamba fedha za kugharamikia kampeni kwa uchaguzi wa mwaka huu ni za kugharamikia kampeni za urais tu? (moshi wa kwanza).
- kwamba wagombea/viongozi wengi wana malalamiko ambayo hayasikilizwi na uongozi?(moshi wa pili).
- kwamba kutokana na kupuuzwa huko kwa wagombea/viongozi; hii imepelekea wengine kukata tamaa, na kukisaliti chama? (moshi wa tatu).
my take:
- nakaaya ( kukata tamaa),
- akina seme wa mbeya ( usaliti),
- akina nkambaku elisha (usaliti),
- yule mwanafunzi wa UDOM aliyegombea musoma na kuingia mtini ( kukata tamaa),
- akina sugu( kukata tamaa).
hii wakuu imekaaje? nini kifanyike kurekebisha hali hii?
Kama umetoka Uswazi mawazo yako yatakuwa yamegandishwa na CCM . Huko Uswazi kusiko na huduma muhimu na watoto mnazaa kiutitiri na shule hamuwapeleki sababu hamna uwezo wa kulipa. Mwisho mmebaki na Mateja kibao, magonjwa lukuki na very low life expectancy. Amka huko uliko uje uone mwanga jinsi Mungu anavyopigania taifa lake. Nakaaya is a cheap.?
wakuu,
mfano wa watu hao ni kama akina;
- je ni kweli uvumi kwamba fedha za kugharamikia kampeni kwa uchaguzi wa mwaka huu ni za kugharamikia kampeni za urais tu? (moshi wa kwanza).
- kwamba wagombea/viongozi wengi wana malalamiko ambayo hayasikilizwi na uongozi?(moshi wa pili).
- kwamba kutokana na kupuuzwa huko kwa wagombea/viongozi; hii imepelekea wengine kukata tamaa, na kukisaliti chama? (moshi wa tatu).
my take:
- nakaaya ( kukata tamaa),
- akina seme wa mbeya ( usaliti),
- akina nkambaku elisha (usaliti),
- yule mwanafunzi wa UDOM aliyegombea musoma na kuingia mtini ( kukata tamaa),
- akina sugu( kukata tamaa).
hii wakuu imekaaje? nini kifanyike kurekebisha hali hii?
Kama jamaa alishindwa kufanya yale Dr anaweza kufanya kwa mama huyu shauri yake wacha anyang'anywe. Hiyo ndo formula na wako akikaa vibaya anakwenda........eeeh ndio huyo huyo alie vunja ndoa hiiView attachment 14014
Minda, sounds so gay-ish!
wakuu,
mfano wa watu hao ni kama akina;
- je ni kweli uvumi kwamba fedha za kugharamikia kampeni kwa uchaguzi wa mwaka huu ni za kugharamikia kampeni za urais tu? (moshi wa kwanza).
- kwamba wagombea/viongozi wengi wana malalamiko ambayo hayasikilizwi na uongozi?(moshi wa pili).
- kwamba kutokana na kupuuzwa huko kwa wagombea/viongozi; hii imepelekea wengine kukata tamaa, na kukisaliti chama? (moshi wa tatu).
my take:
- nakaaya ( kukata tamaa),
- akina seme wa mbeya ( usaliti),
- akina nkambaku elisha (usaliti),
- yule mwanafunzi wa UDOM aliyegombea musoma na kuingia mtini ( kukata tamaa),
- akina sugu( kukata tamaa).
hii wakuu imekaaje? nini kifanyike kurekebisha hali hii?
Bwa ha ha ha
Inachekesha sana kuona mafisadi wa ccm kama minda wakiweka unafiki kuwa wanaitakia mema chadema
huo unaodahani ni moshi kumbe sio. Wakati fulani niliwahi kusema hao wasanii wana ushawishi kiasi gani? Umetaja majina hafifu sana katika medani ya siasa. Mbona hujataja ubungo, arusha n.k. Huo nao pia ni mkakati wa kupunguza gharama kwani hao uliowataja hawana nafasi yoyote kisiasa