Naomba kama kuna mwislamu mzuri anikumbushe vile... hivi kwenye nchi za Kiislam zinazo-practise sharia... ukiiba mke wa mtu adhabu yake nini vile?
Kama umeoa adhabu yake ni kupigwa mawe na umati wa watu adi ufe lakini kama wewe ni mseja (bado kuoa) unapewa adhabu ya kuchapwa bakora 50 mbele ya kadamnasi!