Please msitumie lugha za kuongelea mambo ya kuanguka etc.Hili laweza kutokea kwa mtu yeyote whether he is fit or not.Tunachopima hapa ni hoja.Tukienda hivyo itafikia mahali ambapo tutaanza kuongelea kuwa mbona jamaa alipokuwa anatembea alijikwaa akaanguka,is this a point???Tunaongelea hatima ya taifa letu na sio mambo ya nani kalala na nani,nani kala chakula gani jana,nani kafanya nini.Kwani mbona maofisini hatuulizwi mambo hayo tunapokwenda kwenye interview??.Kumbuka hii ni interview kama interview nyingine,