Asante john kwa kuona kwajicho la tatu.Nimeona ofisi zenu na wanachama wa kutosha hapo Geita mjini, hongereni sana akina bwashee.
Kadhalika nimeona mbwembwe zenu kule Chato mkiongozwa na mwanamama Husna, hongereni sana. Lindeni rasilimali mlizoachiwa na mwendazake Magufuli wakati serikali ikiendelea kutafakari ombi lenu la kupewa mkoa.
Sikutarajia Chadema kuwa "inaishi" huko Geita, hongera Upendo Peneza.
Kazi Iendelee.