Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
Ameondolewa alikuwa anatoa siri za chama, alikuwa mhudumu makao makuu DomAtakuwa ameenda kusalimia kwao Bila shaka atarudi Dom.
Ameondolewa alikuwa anatoa siri za chama, alikuwa mhudumu makao makuu DomAtakuwa ameenda kusalimia kwao Bila shaka atarudi Dom.
Basi ni bahati yake mbaya,asikate tamaa kila enzi na kitabu chake.Ameondolewa alikuwa anatoa siri za chama, alikuwa mhudumu makao makuu Dom
Secretariat mpya imeingia imeondoa mpka wahudumu na walinzi mkuuBasi ni bahati yake mbaya,asikate tamaa kila enzi na kitabu chake.
Ni bora huenda hata hilo lichama likawa na tija kwa taifa.Secretariat mpya imeingia imeondoa mpka wahudumu na walinzi mkuu
Hivi Upendo Peneza Msuya yumo ndani ya Covid 19?kwahiyo Upendo Peneza kafanikiwa kupenyeza chama hadi ikulu ya chato
Mkuu ya kweli hayo?Kati ya wilaya ambazo upinzani upo wa kutosha, Chato ni miongoni.
Na nikuibie siri tu kuwa katika wilaya ambazo mwendazake hakukubalika, Chato inaweza kuingia top five, hadi watu walisherehekea kifo chake! Ubinadamu kazi sana bora umfadhili mbuzi tu. Chato ilitakiwa wamuone ni heaven sent! Mtu unachukiwa hadi na ndugu dah! Anyway, sijui chanzo cha hayo yote, ila huo ndio uhalisia.
Alphonce Mawazo?Mti wenye matunda ndio hurushiwa mawe!
Hakuna miaka 60 bila bilaNi bora huenda hata hilo lichama likawa na tija kwa taifa.
Ndio mkuu!Mkuu ya kweli hayo?
Upendeleo wote ule?
Kazi kweli kweliNdio mkuu!
Nimeiita siri lakini wala hata sio siri. Nenda chato chagua kijiji chochote tu ulete stori za "mwendazake ametuletea maendeleo" kwenye makundi kadhaa ya watu, majibu utayapata yote
Sababu kubwa ya kuendelea kuwepo Chato ni kuwa shetani mtu Magufuli aliwafanya vibarua wa maslahi yake na si kuwapelekea maendeleo ya jamii!Nimeona ofisi zenu na wanachama wa kutosha hapo Geita mjini, hongereni sana akina bwashee.
Kadhalika nimeona mbwembwe zenu kule Chato mkiongozwa na mwanamama Husna, hongereni sana. Lindeni rasilimali mlizoachiwa na mwendazake Magufuli wakati serikali ikiendelea kutafakari ombi lenu la kupewa mkoa.
Sikutarajia Chadema kuwa "inaishi" huko Geita, hongera Upendo Peneza.
Kazi Iendelee.
Wewe siyo wa kulitumia hili neno..."Mwendazake". ..Umewaona.wapi akina Husna?Nimeona ofisi zenu na wanachama wa kutosha hapo Geita mjini, hongereni sana akina bwashee.
Kadhalika nimeona mbwembwe zenu kule Chato mkiongozwa na mwanamama Husna, hongereni sana. Lindeni rasilimali mlizoachiwa na mwendazake Magufuli wakati serikali ikiendelea kutafakari ombi lenu la kupewa mkoa.
Sikutarajia Chadema kuwa "inaishi" huko Geita, hongera Upendo Peneza.
Kazi Iendelee.
Geita Mjini pia tatizo,sijui ni nini ChanzoKati ya wilaya ambazo upinzani upo wa kutosha, Chato ni miongoni.
Na nikuibie siri tu kuwa katika wilaya ambazo mwendazake hakukubalika, Chato inaweza kuingia top five, hadi watu walisherehekea kifo chake! Ubinadamu kazi sana bora umfadhili mbuzi tu. Chato ilitakiwa wamuone ni heaven sent! Mtu unachukiwa hadi na ndugu dah! Anyway, sijui chanzo cha hayo yote, ila huo ndio uhalisia.
Kila saa Upendo Peneza!!!??Anawapongeza sana!
Hasa yule Upendo Peneza Msuya!
Hata yule mtilia sumu kwenye vinywaji vya viongozi wasio takiwa na mwendazake na Polepole?Secretariat mpya imeingia imeondoa mpka wahudumu na walinzi mkuu
Mlamba nyayo wa CCM changia hoja siyo kuleta vioja! Maombolezo ya mfu shetani mtu Magufuli yamekwisha na sasa tunaendelea na harakati za kudai haki kwa wote na katiba mpya!Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.
Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.
Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?
Rudi ulipe madeni ya watu.
Na wewe mzee wa MIGA Lisu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA
Unaona wivu?!Kila saa Upendo Peneza!!!??
Jamhuri ya JF iko kazini , mimi kwetu Mwanga na Hai, nilikwenda kuzika kutokana na ulazima wa kuendesha maisha. Kwa siku mbili nilizo kaa siku moja kabla ya mazishi na baada ya mazishi, unacho andika hapa unawadanganya wana JF.Mkuu, sikuikubali hata kidogo staili yake ya kutuongoza kikatili, lakini nilibaki mdomo wazi baada ya kuyajua ya Chato. Mtu anadiriki kuvunja sheria ili apeleke miradi ya kutosha kwao, lakini nduguze wanazidi kumchukia kuliko hata tuliotengwa!
Aisee wakamchomea moto Husna ndani ya Nyumba,akanusurika,media zote kimya,kasoro JF tu,roho Gani hii sijuiMkuu, sikuikubali hata kidogo staili yake ya kutuongoza kikatili, lakini nilibaki mdomo wazi baada ya kuyajua ya Chato. Mtu anadiriki kuvunja sheria ili apeleke miradi ya kutosha kwao, lakini nduguze wanazidi kumchukia kuliko hata tuliotengwa!
Du!Hata yule mtilia sumu kwenye vinywaji vya viongozi wasio takiwa na mwendazake na Polepole?
Yule mlemavu wa kibiongo?