shingwengwe
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 1,152
- 125
pamoja daima!!!!
Mkuu, kwa nini unasema hayatuhusu? Chadema ni kama shetani na adui wa taifa. Lazima tufuatilie kila anachofanya ili asituvurugie amani yetu
Wanataka kutuambia watatupia chopa kumi Kalenga
wakueleze wewe gamba!!!!!!???? teh teh teh teh teh teh teh
CHADEMA kufanya press conference leo saa 7 mchana. Wakati wa kipindi cha yasemavyo magazeti leo asubuhi, zimetoka habari kuwa uongozi wa CHADEMA leo mchana utakuwa na mkutano na wanahabari makao makuu ya chama.
Kitakachozungumzwa tuvute subira!
Watakuja na habari za gongo.
mnahangaika sana. Mmelikoroga wenyewe. Subirini matokeo kwenye ballot box
chris siulisema utagombea ubunge kalenga?
Unaogopa kwenda iringa kwasababu ulikula rambirambi?au unakijua chama chako ni cha ukoo?ww hutakaa kuwa hata mwenyekiti wa kijiji
bi.Grace kiboko yenu
Mkuu, kwa nini unasema hayatuhusu? Chadema ni kama shetani na adui wa taifa. Lazima tufuatilie kila anachofanya ili asituvurugie amani yetu
Chadema waliwahi kutoa siku saba waziri wa elimu ajiuzulu. La sivyo wataandamana nchi nzima. Matokeo yake waziri hakujiuzulu na hakuna maandamano wala nini. Watanzania wameshazoea porojo za CHADEMA. Hawazichukulii serious tena.
Mkuu, kwa nini unasema hayatuhusu? Chadema ni kama shetani na adui wa taifa. Lazima tufuatilie kila anachofanya ili asituvurugie amani yetu
Lizaboni na Msalani wakati mwingine jaribuni kuilinda hadhi ya JF. tujadili hoja kadri ilivyoletwe. mara nyingi naona mnakuja na maneno yanayotia karaha. nikiamini anayeweza kuandika maandishi yakasomeka ni mtu mzima; tujaribu kama staha yetu ilivyo tuchangie kufuata hoja ili wengine wajivunze toka kwetu.
Haipendezi kuja na maneno kama MBURURA HAO; vichwa vyao havina akili. nk. ni baadhi ya meneno ambayo yanatoka kwenu. STAHA TAFADHALI