CHADEMA kukutana na wanahabari leo mchana

CHADEMA kukutana na wanahabari leo mchana

Tuko pamoja,
tunasubiri kwa hamu kutoka kwenye chama cha ukombozi kwa wanyonge wa nchi hii.
 
Lazima kila aliyesikia tangazo hii atenge muda ili asikie watu makini wanataka kueleza nini umma wa Watanzania.
 
Naona Nyumbu wa Lumumba wakiongozwa na Lizaboni na MSALANI wamevamia thread kwa Speed kubwa sana.
Hawa Ma Punguani siwaonagi kabisa katika nyuzi zile Nyuzi zinavyoonyesha Serikali ilivyo kinara katika Ujangili wa kuua tembo na Faru.
Hawa ndo wale watu walioko ndani wanapiga soga tuu huku Nyumba yao inaungua wakati kuna watu kutoka mbali kabisa wanapiga kelele kuwastua kuwa Nyumba yao inaungua.
Hawa watu ni wa Kupuuzwa na kuonewa huruma kwa kuwa bado hawaja Jitambua.
 
Last edited by a moderator:
Chadema waliwahi kutoa siku saba waziri wa elimu ajiuzulu. La sivyo wataandamana nchi nzima. Matokeo yake waziri hakujiuzulu na hakuna maandamano wala nini. Watanzania wameshazoea porojo za CHADEMA. Hawazichukulii serious tena.
 
Naona uzi huu umesakamwa na ule ukoo wa panya acha naona wanafulahia kugawana pesa baada ya kuuza kiwanja ka kipande ka magogoni
 
Leo nitafunga ofis mapema kuwahi
press ya chama maikini.CHADEMA

kinachowajali wananchi
 
Naona Nyumbu wa Lumumba wakiongozwa na Lizaboni na MSALANI wamevamia thread kwa Speed kubwa sana.
Hawa Ma Punguani siwaonagi kabisa katika nyuzi zile Nyuzi zinavyoonyesha Serikali ilivyo kinara katika Ujangili wa kuua tembo na Faru.
Hawa ndo wale watu walioko ndani wanapiga soga tuu huku Nyumba yao inaungua wakati kuna watu kutoka mbali kabisa wanapiga kelele kuwastua kuwa Nyumba yao inaungua.
Hawa watu ni wa Kupuuzwa na kuonewa huruma kwa kuwa bado hawaja Jitambua.


Mkuu ukisema pungu…one,unawapa cheo hao Visebengo haya ni MAPUNGU…ZERO kabisa

Weka thread ya kinana kutafuna pembe za ndovu kama utawaona!au mada yoyote ya kuikosoa serikali huvioni!
Ukitaka kujua hii misukule ipo Weka uzi wowote wa kuihusu Chadema, Hapo vitaandamana ukoo wote wa mapanya kuja kushambulia yaani havijitambui nakwambia ni shidaaaa......
 
Last edited by a moderator:
Chadema ni tumaini la wanyonge,mnaokejeli tunawajua kuwa mnafaidika na mfumo huu dhalimu wa nchi hii.
matatizo ya wanachi hayataisha kwakutukana Chadema,wajalini wananchi.
 
watueleze matumizi ya ruzuku ya chama, watueleze operation chopa ilitumia shillings ngapi, watueleze kwa nini wameshindwa vibaya uchaguzi wa udiwani kwa kupata kata tatu tu, ..
 
jamani tusifike kwenye conclusion kabla ya muda na ninyi wa lumumba hili jukwaa ni kwa wachambuzi makini msije na thread zenu za buku saba
 
kuna waraka mwingine wa usaliti wa zito kabwe umegunduliwa, saa nane tundu lisu na mnyika watausoma mbele ya waandishi wa habari
 
Kweli magamba hawajitambui,sometimes nikisoma michango yao humu huwa nakata tamaa,maana naona kulikomboa kundi hili la magamba kifikra siyo kazi ndogo. Yaani wamekazana na uchaguzi wa kata juu ya CHADEMA kana kwamba chadema kuna kitu imepoteza katka uchaguzi huo na ccm imeokota. Lakini ni dhahiri wengi wao hawajui wanachotukana ama kutetea. Mwenyezi MUNGU mwingi wa Rehema awarehemu nyie wana ccm.
 
Mkuu, hakika viongozi wa CHADEMA hawaachi kulalamika

mkuu Lizaboni,mbona zinapokuja mada za ccm na cdm unakua na maneno mengi na mchango mkubwa kwa kuifedhehesha cdm sana humu uwanjani lakini tukiongelea juu ya taifa linavyopotezwa na ccm unakua kimya?mfano MAUAJI YA TEMBO,sasa mnataka kuitawala TZ isio na maliasili?au huwa hujui kuwa TZ ni zaidi ya vyama?
 
Chadema waliwahi kutoa siku saba waziri wa elimu ajiuzulu. La sivyo wataandamana nchi nzima. Matokeo yake waziri hakujiuzulu na hakuna maandamano wala nini. Watanzania wameshazoea porojo za CHADEMA. Hawazichukulii serious tena.

kikwete kasema anawajua majangiri ngoja tuone sinema hii itakuwa kama ile ya unga?
 
Tunasubiri kujua nini kitasemwa na CHADEMA. Bila shaka ni kuhusu Matokeo ya Udiwani ktk kata 27 na Taarifa ya chama kuhusiana na mkutano wa kuzuia mauaji ya Tembo unaoendelea pale UK!
 
watueleze matumizi ya ruzuku ya chama, watueleze operation chopa ilitumia shillings ngapi, watueleze kwa nini wameshindwa vibaya uchaguzi wa udiwani kwa kupata kata tatu tu, ..

wakueleze wewe gamba!!!!!!???? teh teh teh teh teh teh teh
 
Back
Top Bottom