chadema kufanya press conference leo saa 7 mchana. wakati wa kipindi cha yasemavyo magazeti leo asubuhi, zimetoka habari kuwa uongozi wa chadema leo mchana utakuwa na mkutano na wanahabari makao makuu ya chama. kitakachozungumzwa tuvute subira!
Lazimq utakuwa ni mkutano wa kulalamika kama kawaida yao
Maneno ya busara yanatolewa na watu wasio na busara?Hamna shaka tunasubiri maneno ya BUSARA!
Mkuu, we ndo hujutambuijitambue mbulura wewe!
Mkuu, sijaona kitufe cha LikeLazimq utakuwa ni mkutano wa kulalamika kama kawaida yao
Lazimq utakuwa ni mkutano wa kulalamika kama kawaida yao
Mnahangaika sana. Mmelikoroga wenyewe. Subirini matokeo kwenye ballot boxpamoja daima!
Mkuu, hakika viongozi wa CHADEMA hawaachi kulalamikasidhani! ngoja tusikie.
Mkuu, hakika viongozi wa CHADEMA hawaachi kulalamika
Mkuu, kwa sasa madai hayo wameweka kiporo. Ila wakipigwa moja bila wataanza kutokwa na mapovu tenaLeo watatoa SIKU SABA kwa tume ya uchaguzi kuboresha daftari la wapiga kura.
Leo watatoa SIKU SABA kwa tume ya uchaguzi kuboresha daftari la wapiga kura.
Ofisi gani? Kwani chadema wana ofisi?Labda itakuwa tamko kuhusu hujuma ya kuunguza ofisi
Mkuu, kwa nini unasema hayatuhusu? Chadema ni kama shetani na adui wa taifa. Lazima tufuatilie kila anachofanya ili asituvurugie amani yetuHayawahusu wanga nyie.
Leo watatoa SIKU SABA kwa tume ya uchaguzi kuboresha daftari la wapiga kura.