MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
Kamati kuu ya CCM wasingeondosha jina la Mwakalebela ungekuta leo hii jimbo la Iringa mjini ni chini ya CCM. Msigwa alipita kiujanja ujanja tu.Iringa mwaka 2010, wanachama wa CCM walimchagua Fredrick Mwakalebela, KK ya CCM, ikamuondoa na kumuweka mama Mbega. Je! CCM ni Role model wa vyama vingine? nauliza tu lakini.