CHADEMA kukosa neno, utawala wa Sheria Migomo Marekani; ni Pigo kwa Chama, na pia kwa Ukombozi!

1. Zinaitwa siasa za kimachale machale, ujanja ujanja, wizi wizi nk. Huku:

Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

2. Tulikuwa nao sana hawa ndugu zetu wa damu (wa aina ya CHADEMA , John Mnyika, JokaKuu, Proved, Elli, Rabbon, imhotep, denoo JG, Allen Kilewella na wengine) kabla ya kuanza kuadimika magomani kama Vicky.

3. Vicky na Jabali la Muziki:

"Vicky mtoto wa mama?
Vicky mbona umaeadimika?
Vicky mbona huonekani?

Hata kwenye magoma hutaki kufika?" 🎶🎼🎵
Mimi ni Israelite katika Roho.

Israel ni mzaliwa wa kwanza, amebarikiwa sana.

Mungu ibariki CHADEMA,

Mungu ibariki Tanzania,

Mungu ibariki ISRAEL.

Amen.
 
Mimi ni Israelite katika Roho.

Israel ni mzaliwa wa kwanza, amebarikiwa sana.

Mungu ibariki CHADEMA,

Mungu ibariki Tanzania,

Mungu ibariki ISRAEL.

Amen.

1. Tatizo si kuwa wewe ni nani wala kuwa hili ni personal.

2. Mama Samia anashauri kila siku watoto wahalifu kufichuliwa na wazazi wao polisi, kama ni wahalifu (Panya road, vibaka, wakabaji, wezi, majambazi nk).

3. Kwamba kwa vile mwanao ni mhalifu wewe wamtetea tu hata kama unajua ni Panya road? Kwamba amekuwa Masudi? Tukikutana naye usiku tumpishie mbali?

4. Haya si ndiyo yale ya shaba kulIlia mwilini mwake (ya chongo) aone uchungu na kumweka hatarini zaidi mtoto mwenyewe kimaisha?

5. Kumbe kwako samaki hukunjwa lini?

6. Kwamba bias yako ni umimi? Si tuli kubaliana binadamu wote ni sawa?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
1. Tatizo si kuwa wewe ni nani wala kuwa hili ni personal.

2. Mama Samia anashauri kila siku watoto wahalifu kufichuliwa na wazazi wao polisi, kama ni wahalifu (Panya road, vibaka, wakabaji, wezi, majambazi nk).

3. Kwamba kwa vile mwanao ni mhalifu wewe wamtetea tu hata kama unajua ni Panya road? Kwamba amekuwa Masudi? Tukikutana naye usiku tumpishie mbali?

4. Haya si ndiyo yale ya shaba kulIlia mwilini mwake (ya chongo) aone uchungu na kumweka hatarini zaidi mtoto mwenyewe kimaisha?

5. Kumbe kwako samaki hukunjwa lini?

6. Kwamba bias yako ni umimi? Si tuli kubaliana binadamu wote ni sawa?
Nani sasa mtoto mkorofi hapo?
 
Nani sasa mtoto mkorofi hapo?

1. Si vigumu kumwona kupitia shahidi na shuhuda.

2. Hudhani hawa wanaoandamana marekani ni kama susi, katiba mpya kamanda muroto?

3. Hata kama timu ya mpira ibacheza utashindwa kweli kuwa fair referee?

4. Misahafu inatufundisha kumpenda adui yetu kama nafsi zetu?

5. Weka yote Hayo pembeni, hebu angalia shuhuda hizi kumtambua mtoto mkorofi, hapo achilia mbali wenye akili zao ICC huko tayari wanamhitaji:

A:
IMG_20240501_164705.jpg


B:
IMG_20240426_001337 (1).jpg


IMG_20240426_001427 (1).jpg

C:

IMG_20240429_082119.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom