kweli, asiye macho haambiwi tazama. Unataka ushahidi gani zaidi ya yanayotoe Arusha kwa sasa?Nashangaa unasema hakuna mgogoro wakati unasikia mvutano wa waziwazi kati ya Mbunge Lema na madiwani wake.We mgogoro unauelewaje? Au mlitaka kuua tena kama kipindi kile ndio uamini kuna mgogoro.Lakini tatizo lako umekosa elimu, so hata maana ya mgogoro huijui. Pole!Hakuna mgogoro, unao ushahidi?
hawawezi kunielewa maana hawajui hata wanachofanya hapo. Shukuruni Mungu ni watoto, Wangekua na akili timamu wangeichana.hawa sijui kama watakuelewa....View attachment 32815
mbona unanitukana ndugu yangu? Kwani nimekunyima na wewe kupaka. Jifunze kupingana na hoja na sio mtoa hoja.nape unafaa kua katika bodi ya UHARO NEWSPAPER.Vipi karolite umeacha paka cku izi?mana uso na mguu haviendani.
Great thinkers have to be objective. Thanx for your objectivity. Your comments are constructive.Hongera sana, nisaidie kuwaelimisha vijana hawa kuwalisha unga wa rutuba maana hawaelewi hata kidogo.Ukweli wanauona lakini wanajifanya vipofu,udhalimu wa viongozi wao wanauona lakini wanajifanya viziwi,ugomvi wa Arusha unadhirisha kuwanguka kwa chama hicho lakini wanajitia mabubu.Your post is very useful to the people with high IQ.
Acha ufinyu wa mawazo. We muda wote uliokaa jamvini umefanya nini?Ni sawa na mtu aliyeishi miaka mingi lakini hakuna alichoacha na hivyo hawezi kukumbukwa kwa chocgote.Ni heri ufe ktk umri mdogo ufanye jambo la kishujaa kuliko uishi miaka mini kama kondoo.Nimetumia maelezo haya ili uelewe kuwa naweza kuwa nimejiunga leo lakini impact yangu ikawa kubwa kuliko wewe uliyemaliza karne jamvini.
kweli, asiye macho haambiwi tazama. Unataka ushahidi gani zaidi ya yanayotoe Arusha kwa sasa?Nashangaa unasema hakuna mgogoro wakati unasikia mvutano wa waziwazi kati ya Mbunge Lema na madiwani wake.We mgogoro unauelewaje? Au mlitaka kuua tena kama kipindi kile ndio uamini kuna mgogoro.Lakini tatizo lako umekosa elimu, so hata maana ya mgogoro huijui. Pole!
Kwan kitambi ndio kufa kwa chama,umeishiwaCCM ndiyo ipo mbioni kufa kifo cha mende. Ona Nape kijana mdogo kitambi utafikiria mzee wa miaka 70
bona ww unakaa huku kuipinga ccm?jiimarishen sio mnashabikia tu viongoz wenu wanajua mziki mzitoNinyi badala ya kwenda kushughulikia matatizo mnakaa humu kuipinga CDM, kweli nyani haoni kundule, mlishazoe vya kunyonga sasa mtakiona cha moto maana nawaambieni hamna kipindi kingine cha kuongoza nchi hii, tunataka maendeleo na si kelele za kiswahili
Acha mawazo mgando kijana. Uhalisia wangu haupimwi kwa kujibu picha. Take care!Kama wewe ni NAPE wa ukweli, toa majibu ya picha zetu kwenye jfpicha.
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.
Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.
Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.
Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.
Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.
Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.
Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.
Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.
Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.
''Ulusengela mka so, lukadya nyoko'' (unamwombea kifo mke mdogo wa babako, kinamchukua mamako. Hakifi ng'ooo!! CDM kife kwa manufaa ya nani? Elezaa!!Acha mawazo mgando kijana. Uhalisia wangu haupimwi kwa kujibu picha. Take care!