CHADEMA kufa rasmi 2015 kabla ya uchaguzi mkuu

Status
Not open for further replies.
Acha ufinyu wa mawazo. We muda wote uliokaa jamvini umefanya nini?Ni sawa na mtu aliyeishi miaka mingi lakini hakuna alichoacha na hivyo hawezi kukumbukwa kwa chocgote.Ni heri ufe ktk umri mdogo ufanye jambo la kishujaa kuliko uishi miaka mini kama kondoo.Nimetumia maelezo haya ili uelewe kuwa naweza kuwa nimejiunga leo lakini impact yangu ikawa kubwa kuliko wewe uliyemaliza karne jamvini.


Punguza Jazba, Vuta Pumzi Kidogo alafu andika tena hii thread ukitueleza maana ya hayo maneno yenye rangi nyekundu.
Tatizo la kukaririshwa Imani ya wengine bwana!
 
Join Date : 28th June 2011
Posts : 1
Thanks 0 Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0
karibu sana jamvini


Join Date : 28th June 2011
Posts : 2

Rep Power : 0


duh huyu jamaa kajiunga leo

yaani jamaa kama hawa ndiyo wanamharibia nape political future yake

sijui hata nichangie nini humu , wacha nipotezee tuu
Si mgeni ni mwenyeji wa siku nyingi. Kaamua tu kuongeza IDs zake
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.

Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.

Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.

Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.

Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.

Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.

Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.

Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.

hawa sijui kama watakuelewa....


chadema kids.jpg
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.
Unaweza kufanya utafiti ukapata ''data'' ukashindwa kufanya ''analysis'' matokeo yake ukaibuka na ''report'' mbovu ya kupotosha watu; na hiki ndicho ulichofanya wewe: kama huu ndo uhenezaji wa sera za chama umegonga mwamba: NAPE kachipange upya usije ukazeeka vibaya:
 
Tunashukuru kwa kujiweka wazi ndugu VUA GAMBA. Baada ya kupigwa ban wiki iliyopita umeamua kujiunga leo kwa jina lingine la NAPE MASASI ili uendeleze uzushi wako hapa. Hauna lolote kwa kujifanya eti mwanaCDM umeonyesha tayari uko hapa kumtumikia nani kwenye hilo jina lako jipya!....njaa mbaya sana!
Peasant acha assumption, you have to talk facts. Labda nitumie fursa hii kukuhakikishia kuwa mimi si NAPE NNAUYE wala VUA GAMBA.Sina uhusiano nao wa kinasaba. Yamkini namfahamu NAPE na VUA GAMBA (kikazi) lakini ukweli huo haunifanyi mimi kuwa NAPE au VUA GAMBA.Halafu sipo hapa kumtumikia mtu. Hata kama ningekuwa ndio NAPE singewezwa kumtumikia yeyote zaidi ya kuandika kile nachoamini ni sahihi kwa upeo wangu.
 
nape unafaa kua katika bodi ya UHARO NEWSPAPER.

Vipi karolite umeacha paka cku izi?mana uso na mguu haviendani.
 
Peasant acha assumption, you have to talk facts. Labda nitumie fursa hii kukuhakikishia kuwa mimi si NAPE NNAUYE wala VUA GAMBA.Sina uhusiano nao wa kinasaba. Yamkini namfahamu NAPE na VUA GAMBA (kikazi) lakini ukweli huo haunifanyi mimi kuwa NAPE au VUA GAMBA.Halafu sipo hapa kumtumikia mtu. Hata kama ningekuwa ndio NAPE singewezwa kumtumikia yeyote zaidi ya kuandika kile nachoamini ni sahihi kwa upeo wangu.
Vipi mkuu mbona unajitetea sana!lete hoja tuendelee na mjadala wetu!!
 
Ngoja atapetape na kujaribu kuwatetea chama ambacho wananchi wako karibuni kukiacha kwa uongo wa miaka mingi.
Chama Cha Maneno.
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.

Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.

Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.

Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.

Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.

Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.

Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.

Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.


Hivi unalipwa shilingi ngapi kuandika upuuzi kama huu?? Kwanini usitafute kazi ya kufanya Taifa likasonga mbele badala ya kutunga upupu??
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.

Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.

Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.

Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.

Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.

Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.

Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.

Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.

Yaani wewe umejiunga leo sijui saa ngapi kuandika pumba wkenye mtandao wa great thinkers? Ama kweli umetumwa. Na aliyekutuma atakuwa NEPI. shauri yako aliyekutuma atakuja kukufanya kitu mbaya sana!
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.

Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.

Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.

Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.

Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.

Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.

Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.

Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.

Unaota ndoto za mchana. Anyway tayari umefanya kazi uliyotumwa na sasa unaweza kuwahi pale Lumumba kuvuta posho!!!

Tiba
 
Hongera sana, nisaidie kuwaelimisha vijana hawa kuwalisha unga wa rutuba maana hawaelewi hata kidogo.Ukweli wanauona lakini wanajifanya vipofu,udhalimu wa viongozi wao wanauona lakini wanajifanya viziwi,ugomvi wa Arusha unadhirisha kuwanguka kwa chama hicho lakini wanajitia mabubu.Your post is very useful to the people with high IQ.
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.

Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.

Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.

Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.

Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.

Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.

Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.

Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.

Naomba tujadili mambo yanayoleta maendeleo na sio muafaka wa kumaliza advocacy SERA MBADALA. Huwezi kuchakachua demokrasia ili ukimbilie muafaka. LAZIMA TUKUBALI KUJIKOSOA NA KUKOSOLEWA. CCM imeshindwa kukubali dhana hii. Nawapa pole sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom