CHADEMA kufa rasmi 2015 kabla ya uchaguzi mkuu

CHADEMA kufa rasmi 2015 kabla ya uchaguzi mkuu

Status
Not open for further replies.
Nape, tunajua kwamba ungependa saaana Chadema ife ili chama chenu cha mafisadi kirejee madarakani kirahisi come 2015. Lakini ukae ukijua kwamba migogoro (kama huu wa Arusha) mara nyingii ndiyo inayoimarisha chama. Nadhani badala ya wewe na wenzako ndani ya chama cha mafisadi mngetumia zaidi muda kurejesha imani ya wananchi kwa chama chenu badala ya kuifikiria Chadema. Mna kazi kubwa ya kufanya, ikiwa ni pamoja na kuwatimua mapacha watatu, ingawa kuna taarifa kwamba mnawagwaya. Hakika chama chenu kimepoteza mvuto, na hivi sasa kinashabikiwa na mazuzu tu na wachache kama wewe ambao mnanufaikia moja kwa moja kutokana na hicho chama chenu kinachonuka.
 
LEMA:
Kikao kilichomuweka naibu Meya madarakani hakikuwa halalli kwani hakikuwa na taarifa ya siku 7 kueleza kuwa kungekuwa na uchaguzi na hata mallah (Naibu Meya) hakuwa na barua ya utambulisho toka kwenye chama.
CHANG'A🙁Mkurugenzi wa jiji la Arusha)
Uchaguzi ulifanyika kihalali na barua ya utambulisho ya Mallah kutoka CHADEMA ninayo
MALLAH: (Naibu Meya)
Sina maoni juu ya msimamo huu wa Mbunge ila nasisitiza suala hili linashughulikiwa ndani ya CHADEMA na tushajieleza kwenye vikao vya kiwilaya na mkoa ambao watapeleka Taifa.

Nachojiuliza hapa Kweli bwana CHANG'A anayo hiyo barua kutoka CDM km anayo kwann Lema aseme haipo, la pili km suala lipo ndani ya CDM ina maana linashughulikiwa katika vikao husika Lema katoa wp ujasili wa kutoa msimamo wake kabla ule wa Chama, siamini maneno ya mtoa mada kwamba CDM itakufa kabla 2015 ila kuna jambo la kuliangalia hp kinachonijia kichwani hp kuwa CCM ni afadhali kuliko CHADEMA potelea mbali.
 
Hongera sana, nisaidie kuwaelimisha vijana hawa kuwalisha unga wa rutuba maana hawaelewi hata kidogo.Ukweli wanauona lakini wanajifanya vipofu,udhalimu wa viongozi wao wanauona lakini wanajifanya viziwi,ugomvi wa Arusha unadhirisha kuwanguka kwa chama hicho lakini wanajitia mabubu.Your post is very useful to the people with high IQ.
Mh!Hii ni pasua kichwa nyingine!!!
 
Du! kweli nyani haonikundule.
Hivi chama kinachokata roho ni kipi kama sioCCM?
Mkuu huyo ni bingwa kuua vyama kama ameua ccj je ccm ataishindwa???? ukifuatilia anayopayika ktk majukwaa kwakutukana wakubwa wake hiyo ni alama a nyakati za tia maji tia maji!!!
 
Kayaambie Magamba yakupe nondo zingine za kuingia nazo humu, umegonga ukuta kwa sababu hakuna hoja ya msingi ambayo ingeweza kutushawishi kuamini unachozungumza.Kwa hakika hicho ulichokizungumza hapo kitatokea kweli tena muda ni huohuo but itakuwa kwa upande wa chama cha MAGAMBA.Dalili zilishaonekana na zinaendelea kuonekana,its a matter of time, lets wait and see.
 
weeh ndo umepotea njia kweli! sasa kama kuwa icu inamaanisha kufa mbona ccm INAISHI icu,manake imehamia for years! watch this space bra!
 
Nyie magamba, mwenyekiti wenu si aliwaambia msishugulike na vyama vya msimu?.....sasa imekuwaje hiki chama cha msimu kinawasumbua?
 
ni mawazo yako, kisheria hujavunja katiba lakini kwa kifupi utakufa utaiacha chadema....ppzzzzzzzzzzzz...aluta continua
wanachukua nchi baada ya chama kufa au? Maana migogoro inayoendelea baina ya viongozi inaashiria mwisho wa chama.
 
Acha ufinyu wa mawazo. We muda wote uliokaa jamvini umefanya nini?Ni sawa na mtu aliyeishi miaka mingi lakini hakuna alichoacha na hivyo hawezi kukumbukwa kwa chocgote.Ni heri ufe ktk umri mdogo ufanye jambo la kishujaa kuliko uishi miaka mini kama kondoo.Nimetumia maelezo haya ili uelewe kuwa naweza kuwa nimejiunga leo lakini impact yangu ikawa kubwa kuliko wewe uliyemaliza karne jamvini.
Impact ya huo utafiti uchwara? Nakupa pole maana your wishes will not be granted.
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.
Wa kwanza kufa utakuwa ni wewe
 
Magamba bana kwa hiyo umekuja kutuambia ili iweje?tukuunge mkono au tuwasifie wezi kama unavyo fanya wewe?sisi tumekula kiapo cha kutotetea wezi,wabadhilfu,waongo,matapeli,wanyonyaji hatudanganyiki.
 
Chadema kinaweza kufa kama ambavyo CCM itakufa soon LAKINI vuguvugu la mabadiliko haliwezi kufa kamwe. Kwa taarifa yako bwana NAPE, Wa-Tanzania makini hawaiabudu CHADEMA bali wanaunga mkono hoja makini na zenye mantiki zinazotolewa na baadhi ya viongozi wake. Wengi wa viongozi hawa wameonyesha mfano wa kuigwa na umahiri wa kufichua na kukemea maovu. Kwa kufanya hivyo wamefanikiwa kupandikiza mbegu ya uzalendo yenye nia ya kuleta mabadiliko ya kweli. Narudia tena, CDM inaweza kufa LAKINI mbegu ya mabadiliko haiwezi kufa kamwe na wala utambi wa uzalendo hauwezi kufifia. Tanzania mpya itazaliwa tu penda usipende, mimi na wewe tunaweza tusiione lakini mabadiliko ni lazima yatokee!!!
CCM iko mbioni kufa
NAPE MASASI utakufa
CDM inaweza kufa
Tanzania will outlive YOU, CDM, CCM, you name it!!
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.

Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.

Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.

Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.

Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.

Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.

Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.

Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.

Be careful,usije kufa wewe kabla ya Chadema.Na sababu za wewe kutangulia kabla ya Chadema ni nyingi,kubwa zaidi ikiwa dalili za wazi kuwa unaishi katika sayari ya kufikirika.Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuwazia kifo cha chama kinachoingia matatizoni kwa kumtetea mtu huyhuyo mwenye mawazo fyongo...like you.

Binafsi naanza kuhisi kuwa huu mgao wa umeme umevuka mipaka hadi kwenye brains za baadhi ya wenzetu.Hivi kwa busara zako (and I serioulsy doubt if you have any) kufa kwa Chadema kutamaliza mgao wa umeme?Au Chadema ikifa,mafisadi wataondoa fedha kwenye akaunti zao na kuzielekeza kwenye maendeleo ya Watanzania?

Get a life!
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.

Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.

Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.

Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.

Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.

Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.

Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.

Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.

Unamaanisha CCM ama?
 
Tusubiri tuone,tafuta hoja nyingine,migogoro ni mambo ya kawaida Chadema sio chama cha malaika,upeo wako ni mdogo kisiasa tafuta mifano mingi sio mfano mmoja...........
 
Naamini CCM ndiyo itakufa baada ya kushindwa kuwaondoa kina LOWASSA,mana NAPE,MKAMA,MKWEREE watakimbilia uhaini.ANGUKO LA CCM LIMETIMIA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom