katabu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2011
- 309
- 42
KWELI KAZI WANAYO Wana CDM!! Kama mawazo ya wananch kama wewe wachache, ni kuwa cdm kife!! Ni vizuri ungetuibia siri ww unafanya kaz ofisi gani kiac kwamba hujui au kuona adha ya maisha tunayo ipata!! Unadhani isingekuwa CDM Kuibua mijadala mizito bungeni tungejua hata kidogo hiki tunachokijua cha ufisadi. Unadhani ktk ccm ni nani unayemwamini anaweza anzisha hoja nzito afu akabaki salama? Ona 6 alivyoruhusu mijadala mizito bungeni walivyomfanyia. Lakini ujue kuwa hata kikifa kama dua zako zinavyomwelekea Allah wenu, kitaibuka kingine kitakacho tutoa blanket WATZ. Najua furaha yako ni kuona mnaiba bila kukemewa. Mungu awabariki.asante ndgu nape kwa kuanza kuwaonyesha njia wale vipofu wasiohata na fimbo ya kuwaongoza,ukwel uko palepale ccm ikiendelea kujiimarisha nyie wana democrasia mmeanza kumalizana na kutofautiana wenyewe!!wengi wana cdm wamepewa tu mavuvuzela wapige lkn wanachoshangilia hawakijui,wakaben viongoz wenu wawaeleze utumbo uliondani ya chama chenu pengine mnaweza kuwasaidia coz mnaelekea kukata roho gafla na mtajizika wenyewe