Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
Hatari sn mkuu naona hajui maana ya kanisa ni nini?Kwa hiyo kwenda kanisani let's say kumwombea mgonjwa kwenye familia,kunaligeuza kanisa **** sehemu ya familia?
Hatari sn mkuu naona hajui maana ya kanisa ni nini?Kwa hiyo kwenda kanisani let's say kumwombea mgonjwa kwenye familia,kunaligeuza kanisa **** sehemu ya familia?
Sijawahi kuona mtu mwenye akili na maswali ya kitoto kama wewe,Magufuli au mbowe akienda kanisani au msikitini kusali ndiyo kwamba CCM au CDM vinageuka kuwa vyama vya kidini? what a foolish argument.
Hakuna jibu hata moja ulilolitoa kwa maswali ya msingi niliyouliza,to be fair-Haya unayoyaongea ni propaganda kuchafua watu na taasisi mbalimbali ikiwemo kuleta mambo ya udini.Nimemwona Katibu wa Kanda ya Viktoria akiwakisha chama. This is not an individual
Hakuna jibu hata moja ulilolitoa kwa maswali ya msingi niliyouliza,to be fair-Haya unayoyaongea ni propaganda kuchafua watu na taasisi mbalimbali ikiwemo kuleta mambo ya udini.
Jesus Christ! 🤣 🤣 🤣 🤣Unataka nikutafutie kifungu cha katiba ya nchi kinachokataza mamlaka za nchi kueneza dini?