Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,990
- 103,373
Uwezi kutofautisha Kanisa na Chadema.
Kama dhalimu alivyoligeuza kanisa kila akienda sehemu ya kupigia siasa mfu.
Uwezi kutofautisha Kanisa na Chadema.
Punguza ujinga na wewe,keanu ulikimbia umande,kama sio inakuwaje hivyo?Uwezi kutofautisha Kanisa na Chadema.
Kwani lengo ni kumlazimisha Mheshimiwa Rais aliyopo aandike Katiba Mpya?KKKT na RC ndio watatoa amri kwa SAMIA aandike katiba mpya?
Acha kupotosha watu kwa fikra nyepesi zisizo na mashiko,Ni sheria ipi au ni kifungu kipi katika katiba kinachozuia wabunge kuomba dua au wanachama wa vyama vya siasa kusali makanisani kuombea viongozi wao?Mara zote nimesema kuwa msingi wa kikatiba wa kutenganisha dini na dola uheshimiwe.
Nikaongeza kuwa dua bungeni, maombi mwanzoni mwa kazi za kiserikali, na kutumia misahafu kuapa serikalini ni kuvunja katiba.
Sasa naongeza la nne: kutumia dini kuombea matukio ya kisiasa na wanasiasa kinyume cha sheria ya vyama vya siasa.
All religions are double agents of good and evil depending on who is in their control.
Waziri simbachawene anapaswa kuchukua hatua leo kwa kufanya yafuatayo:
1 . Kumkumbusha bosi wake kuwa ni vigumu kulalamikia kibanzi Ktk Jicho la jirani wakati lako lina boriti
2 . Kumkumbusha spika vivyo hivyo
3 . Na kupiga marufuku makanisa kutumiwa kama majukwaa ya Chokochoko za kisiasa.
Wewe huko unaposali hata kama kwenye miti au baharini hautaki katiba mpya?Chadema kuendelea kutumia ibada kumuombea Mbowe, kudai Katiba Mpya
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeendelea na mbinu yao mpya ya kudai Katiba Mpya kwa kwa njia ya amani kwa kutumia ibada zinazoendeshwa katika makanisa mbalimbali jijini Mwanza.www.mwananchi.co.tz
Acha kupotosha watu kwa fikra nyepesi zisizo na mashiko,Ni sheria ipi au ni kifungu kipi katika katiba kinachozuia wabunge kuomba dua au wanachama wa vyama vya siasa kusali makanisani kuombea viongozi wao???
Just go straight,nimekuomba unitajie sheria au section ya katiba ambayo inakataza expressly wanachama wa chama cha siasa kuwaombea viongozi wao au wabunge kuomba dua bungeni.Simple as that.Unajitoa ufahamu sio? Serikali, Bunge na Mahakama za Tanzania hazina dini, japo watu wake wana dini. They are agnostic state organs. Umelisahau hili?
Sheria ya vyama vya siasa inapiga marufuku kuanzisha chama cha kidini. Viongozi wa chama cha siasa Kwenda makanisani/misikitini kuombea sera na programu zao ni kutumia dini kufanya siasa. Hulioni hili? Acha kujitoa ufahamu.
Sijawahi kuona mtu mwenye akili na maswali ya kitoto kama wewe,Magufuli au mbowe akienda kanisani au msikitini kusali ndiyo kwamba CCM au CDM vinageuka kuwa vyama vya kidini? what a foolish argument.Unajitoa ufahamu sio? Serikali, Bunge na Mahakama za Tanzania hazina dini, japo watu wake wana dini. They are agnostic state organs. Umelisahau hili?
Sheria ya vyama vya siasa inapiga marufuku kuanzisha chama cha kidini.
Viongozi wa chama cha siasa Kwenda makanisani/misikitini kuombea sera na programu zao ni kutumia dini kufanya siasa. Hulioni hili? Acha kujitoa ufahamu.
Ni "huwezi" wewe kilaza.Uwezi kutofautisha Kanisa na Chadema.
tutamuombea MBOWE popote.Ibada ni hiari ya mtu, mbona kuna wana CCM bado wanamwombea mwendazake makanisani hadi leo hatusemi.
Mbona hamsemi kwamba kamata kamata ya wanachama wa Chadema na police ndo inalipeleka taifa pabaya? Leo watu wanaoenda kanisani kusali na walipeleke taifa kubaya, haya ni matusiChadema kuendelea kutumia ibada kumuombea Mbowe, kudai Katiba Mpya
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeendelea na mbinu yao mpya ya kudai Katiba Mpya kwa kwa njia ya amani kwa kutumia ibada zinazoendeshwa katika makanisa mbalimbali jijini Mwanza.www.mwananchi.co.tz
Hawaendi kusali wanaenda kudai katiba mpya kwa kutumia makanisa ya kikristo. Wanaenda kujadili kesi iliyoko mahakamani kwa kutumia makanisa ya kikristoMbona hamsemi kwamba kamata kamata ya wanachama wa Chadema na police ndo inalipeleka taifa pabaya? Leo watu wanaoenda kanisani kusali na walipeleke taifa kubaya, haya ni matusi
Tunajuwa na kuna utajiri wa kumbukumbu kuwa anapotawala rais muislamu makanisa ya kikiristo hasa KKKT NA RC yanaanza chokochoko za kijingaSijawahi kuona mtu mwenye akili na maswali ya kitoto kama wewe,Magufuli au mbowe akienda kanisani au msikitini kusali ndiyo kwamba CCM au CDM vinageuka kuwa vyama vya kidini? what a foolish argument.
Kanisa lipi walienda wakajadilia kesi iliyopo mahakamani? otherwise utakuwa unaongea rubbishHawaendi kusali wanaenda kudai katiba mpya kwa kutumia makanisa ya kikristo. Wanaenda kujadili kesi iliyoko mahakamani kwa kutumia makanisa ya kikristo
Kama wanasema wanasema na mungu wao juu ya hayo uliyoyataja shida iko wapi , Sasa unataka waseme,watete na mungu wao wakiwa porin,? Sie wakiristu tunaamini Jambo lolote gum ,lazima kulielekeza mbele ya msalaba, na kumlilia Mungu Kama nalo ni kosa basi kawakamateni, maana ndo KAZI police wamebaki nayo kukamata,pekua nyumbani,KWa wanachadema,na nafikili inawalipa Sana, lazima hata posho zao zitakua zimeongezekaHawaendi kusali wanaenda kudai katiba mpya kwa kutumia makanisa ya kikristo. Wanaenda kujadili kesi iliyoko mahakamani kwa kutumia makanisa ya kikristo
Msilete udini pitia mlango wa nyuma ili kubaliki ushetani unaofanywa, tz KWa kiongozi wa nchi hakuna kiongozi wa dini utasikia akioji ujinga huo, kinachotakiwa ni kiongozi kutenda haki, acheni kuleta udinTunajuwa na kuna utajiri wa kumbukumbu kuwa anapotawala rais muislamu makanisa ya kikiristo hasa KKKT NA RC yanaanza chokochoko za kijinga
Kwa hiyo kwenda kanisani let's say kumwombea mgonjwa kwenye familia,kunaligeuza kanisa **** sehemu ya familia?Soma hiyo habari- utaelewa
Point yako sasa ni nini?? Kwani hao viongozi wa dini hawaoni huo upupu wa CCM??Chadema kuendelea kutumia ibada kumuombea Mbowe, kudai Katiba Mpya
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeendelea na mbinu yao mpya ya kudai Katiba Mpya kwa kwa njia ya amani kwa kutumia ibada zinazoendeshwa katika makanisa mbalimbali jijini Mwanza.www.mwananchi.co.tz
Kazi ya kanisa ni kuombea watu wenye mahitajiChadema kuendelea kutumia ibada kumuombea Mbowe, kudai Katiba Mpya
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeendelea na mbinu yao mpya ya kudai Katiba Mpya kwa kwa njia ya amani kwa kutumia ibada zinazoendeshwa katika makanisa mbalimbali jijini Mwanza.www.mwananchi.co.tz