Chadema kuajiri wanajeshi nini maana yake?

Kwa wazalendo wa kitaifa naomba mniweke wazi kuhusu habari zilizochapishwa jana katika gazeti la Hoja kuhusu chadema kutangaza nafasi za ulinzi kwa watanzania waliopitia jeshini.Mimi binafsi nilivyoiona hiyo bahari ilinishitua sana na kunitia hofu kubwa na kunifanya nijiulize maswali mengi kuhusu hatima ya tanzania.Kwanini chadema inafanya hivi? nini malengo yao? watanzania tuwe macho sana na movement mbaya kama hizi.Mie ningeomba Usalama wa taifa mlifanyie kazi kizalendo na si ushabiki kwani vurugu zikiivishwa wa kuzila ni wewe na mimi.
Source: Gazeti la jana la Hoja
acha uchochezi,unadhani kuna mtanzania unayeweza kumshawishi kwa pumba zako hizi,walizitumia watawala sasa unaona wanavyoumbuka,sitaki kuamini kwamba wewe ni kijana ambaye una mawazo ya kileo,hata kama huipendi CDM lakini kamwe usiropoke kiasi hiki,soma makala mbalimbali uimarishe uwezo wako wa kuchambua mambo hii ndio njia ya kujijenga ili wakati mwingine utoe mada za msingi
 
Mleta mada unahitimisha bila analysis. Binafsi nimefika pale kuulizia habari hiyo kama mwanamageuzi ninayeheshimu utawala wa kidemokrasia, hakuna kitu kama hicho, walichosema pale makao makuu ni kuwa MTI Wenye Matunda Mengi Utarushiwa Mawe sana. Huu ni uhuni wa CCM kuhamisha lengo la Chadema kama walivyosingizia visu kwa CUF (ccm b ya sasa) ili ionekanekane vinginevyo. Hapa naomba uwe unaleta point za maana zenye tija na uwe umefanya upembuzi la sivyo utaonekana kikagaragosi kinachotumika tu. Uhuni wote mtafanya na zile mbinu za kihuni za rusia lakini watu sasa sio wale wa 80's.
...HABARI IMETOKA GAZETINI... amenukuu tu. Lakini je Tangazo la ajira lipo ama halipo?
 
Kwa wazalendo wa kitaifa naomba mniweke wazi kuhusu habari zilizochapishwa jana katika gazeti la Hoja kuhusu chadema kutangaza nafasi za ulinzi kwa watanzania waliopitia jeshini.Mimi binafsi nilivyoiona hiyo bahari ilinishitua sana na kunitia hofu kubwa na kunifanya nijiulize maswali mengi kuhusu hatima ya tanzania.Kwanini chadema inafanya hivi? nini malengo yao? watanzania tuwe macho sana na movement mbaya kama hizi.Mie ningeomba Usalama wa taifa mlifanyie kazi kizalendo na si ushabiki kwani vurugu zikiivishwa wa kuzila ni wewe na mimi.
Source: Gazeti la jana la Hoja
acha uchochezi imarisha uwezo wako wa kuchambua mambo kwa kusoma makala mbalimbali ili uimarishe uwezo wako wa kutoa mada huu ndio ushauri wangu,humu JF huwa hatufanyi hivi hata kama una chuki na chama fulani sema kile chenye mantiki mbele ya watu
 
.......kwanza Mr. Mak ingekuwa busara zaidi ungetuwekea hilo tangazo kama lilivyo maana gazeti la HOJA si maarufu au ungetupa idadi ya hao walinzi wanaotaka kuajiriwa-isije ikawa maafisa usalama wanne ukawa unawaka. Nikijibu hoja yako, CDM kama taasisi yoyote kubwa nchini inahitaji usalama wa mali na viongozi wake kati full capacity yao hivyo baada ya kufuata sheria inayosimamia auxillary Police then wana haki ya kuajiri wana usalama wao. Nakupa mifano ya taasisi zenye maafisa usalama wao CUF, UDSM, SUA, na CCM. Nakuhakikishia hata wewe ukipata go ahead ya kuajiri afisa usalama lazima utahitaji mtu mwenye pamoja na sifa zingine pia aliyepita JKT au JWTZ mstaafu. Sasa nini kinachokuwasha CDM wakiajiri maafisa usalama wao?? W. Slaa (PhD) alinusurika kuuwawa Arusha kama si ujasiri wa walinzi wake sasa nini kinakuwasha??? Hapa nahisi wewe ni mmoja wa wale snippers wa Arusha na umeumia roho kukuta ulinzi tight wa Slaa (PhD) so try next level or switch to your plan B!! Arusha tuliwachunia next time we hit you back!!
Nyie nani na mliwachunia nani?
 
Kwani ma-DC,m-RC wengi wao ni wanajeshi JWTZ,kwa ufupi wote hao ni waajiriwa wa ccm,hivi ccm inatawala kijeshi? Au kwa akili yako wanapanga kumpindua nani?
Huna hoja. Huna mshiko. Keep quiet.
 
kwani kuajiri masoja ni dhambi? Mbona ccm wamejazana wanajeshi tupu kuanzia rais hadi katibu kata na balozi,
I recommend to cdm go on with the plan mambo yashaharibika nchi hii bila kujitengenezea ulinzi ccm wataloa kama ndoano.
 
LAT,
Alah!!1, sasa naelewa. Kumbe ndo maana tunawafundisha Vijana wengi kuwa mgambo-tu\ena kwa kuwalazimisha utadhani ni "military state", tunawapeleka vijana JKT na baada ya mafunzo tunawatelekeza mitaani bila ajira na kila kona unaona "walinzi" wasio na magfunzo. Kumbe kuna mawazo mgando kwa baadhi ya "waamuzi"......
 
Kwa wazalendo wa kitaifa naomba mniweke wazi kuhusu habari zilizochapishwa jana katika gazeti la Hoja kuhusu chadema kutangaza nafasi za ulinzi kwa watanzania waliopitia jeshini.Mimi binafsi nilivyoiona hiyo bahari ilinishitua sana na kunitia hofu kubwa na kunifanya nijiulize maswali mengi kuhusu hatima ya tanzania.Kwanini chadema inafanya hivi? nini malengo yao? watanzania tuwe macho sana na movement mbaya kama hizi.Mie ningeomba Usalama wa taifa mlifanyie kazi kizalendo na si ushabiki kwani vurugu zikiivishwa wa kuzila ni wewe na mimi.
Source: Gazeti la jana la Hoja
Uko sawa kichwani wewe? wasiwasi wako ni nini? unatoa amri kwa usalama wa taifa gani maana nchi haina usalama wowote! r u crazy guy?
 
Kaka hapa mwandishi wa gazeti la Hoja hakuzungumzia kampuni za ulinzi, hapa anazungumzia chama cha siasa, ndio hoja mkuu. niambie chama gani cha siasa kimeshatangaza kuajiri wanajeshi. Haya siyo mambo ya kushabikia

Wanaajiriwa katika nafasi gani? Wekeni tangazo hapa tuweze kuchangia vyema. Mawazo yanagongana sababu hakuna rejea!

Cpt Makamba ameajiliwa na ni mwanajeshi mstaafu.
Cpt John Komba aliajiliwa na TOT kwa muda mrefu kabla ya kuingia bungeni.
wote wameajiliwa CCM na wanawafanyia kazi nzuri. Au siyo?
 
Kwa wazalendo wa kitaifa naomba mniweke wazi kuhusu habari zilizochapishwa jana katika gazeti la Hoja kuhusu chadema kutangaza nafasi za ulinzi kwa watanzania waliopitia jeshini.Mimi binafsi nilivyoiona hiyo bahari ilinishitua sana na kunitia hofu kubwa na kunifanya nijiulize maswali mengi kuhusu hatima ya tanzania.Kwanini chadema inafanya hivi? nini malengo yao? watanzania tuwe macho sana na movement mbaya kama hizi.Mie ningeomba Usalama wa taifa mlifanyie kazi kizalendo na si ushabiki kwani vurugu zikiivishwa wa kuzila ni wewe na mimi.
Source: Gazeti la jana la Hoja

Serikali yako ndio inayotia hofu inatujazia majambazi tu haiwezekanu inapeleka watu mafunzo jeshini then wakishahitimu wengine wanaachwa mtaani bila ajira kwa madai ya kuwa ni Form 4 wakati wameshajua jinsi ya kutumia silaha mbalimbali na mbinu za kijeshi wanazo pia.
 
LAT,
Alah!!1, sasa naelewa. Kumbe ndo maana tunawafundisha Vijana wengi kuwa mgambo-tu\ena kwa kuwalazimisha utadhani ni "military state", tunawapeleka vijana JKT na baada ya mafunzo tunawatelekeza mitaani bila ajira na kila kona unaona "walinzi" wasio na magfunzo. Kumbe kuna mawazo mgando kwa baadhi ya "waamuzi"......

Kwanza kuna la kujadili ambalo ni la maana zaidi.Taifa hili sera zake za ulinzi zimepwaya.Kukosekana kwa think tank la usalama wa taifa ni tatizo kubwa.Leo hii ninapoongea hapa mtu anaweza kwenda BRELA na kusajili kampuni ya ulinzi hata kama ni raia wa nje,nikaajiri wanajeshi wastaafu,waliofukuzwa kazi au nikaajiri makomando wakafanya training kwa vijana,hii ni hatari.huo mwanya nimeuona,tusisahau kuwa tunaishi katika Dunia ya Utandawazi ambako ubeberu una Nguvu,i can or you can do anything nasty.Sisemi zaidi ya hapa,kwani nitakuwa natoa mbinu za kali za kijasusi ambazo ni hatari kwa Taifa letu
 
Unaonekana ni mtu unaetaka umaarufu!!hoja yako haina kichwa wala miguu,kwani ulitaka nafasi za ulinzi wapewe kina nani??madereva?wapishi?waalimu?na bado CDM mtaipaisha nyie wenyewe na Makamba wenu!

Kudadadeki.............akirudia tena mdondoshee jiwe lingine! Aslete mambo ya kisenge-nyaji jamvini
 
Sasa mimi hapa kwanza naona kuna haja ya CHADEMA ku-train vijana wake kwa ajili ya kujiandaa na uchaguzi ujao,CCM wanatumia vibaya polisi,wanatumia Green-guard kuwatisha wapiga kura ambao wengi ni vijana,hilo jambo halikubali.Nina msimamo mkali kuhusu hili,Ni lazima CHADEMA iingie katika hatua ya kuanzisha vikosi maalumu kwa shughuli hii,kwanza kuna wakati polisi wanasusia hata kulinda mikutano ya chadema.vijana wetu watafanya kazi hiyo

Hilo linakuwa na Detterence effects kwa millitary party kama CCM,2015 tunakwenda kuchukua Dola..hatutakubaliana na hizi nonesense zao za kupora haki ya wapiga kura kwa kutumia polisi na green guard,otherwise kuwe na clear lines tunapoenda kuingia kwenye uchaguzi.Hili suala lipo ndani ya uwezo wetu.Najua kuna watu watasema Diplomacy inahitajika ili kuepuka machafuko,kudumisha amani na usalama,lakini tusisahau kanuni ya Diplomacy kwamba diplomasia ni lazima iwe na millitary threats as a background to deal with a brutal opponent
 
Ni sawa kuajili wanajeshi hasa waliositaafu na wengine wasio kazini, maisha magumu mnataka wakaibe?

Waacheni wapate ajira.
 
Naona pia umesahau kuwa watanzania wote ni walinzi na tena tulipitia JKT! Jambo la Pili ni muhimu pia ujiulize kampuni binafsi za walinzi zimeajiri akina nani na tena ujiuliza wakuu wa mikoa na wilaya ni akina nani, baada ya hapo nadhani utakuwa huna swali

ahsante kwa kumshushua mkuu. watu wanaleta post zilizojaa hisia zao zaidi na zenye kunufaisha nafsi zao. JF ni jamvi. Jamvini hakai mtu mmoja.
 
kwa wazalendo wa kitaifa naomba mniweke wazi kuhusu habari zilizochapishwa jana katika gazeti la hoja kuhusu chadema kutangaza nafasi za ulinzi kwa watanzania waliopitia jeshini.mimi binafsi nilivyoiona hiyo bahari ilinishitua sana na kunitia hofu kubwa na kunifanya nijiulize maswali mengi kuhusu hatima ya tanzania.kwanini chadema inafanya hivi? Nini malengo yao? Watanzania tuwe macho sana na movement mbaya kama hizi.mie ningeomba usalama wa taifa mlifanyie kazi kizalendo na si ushabiki kwani vurugu zikiivishwa wa kuzila ni wewe na mimi.
Source: Gazeti la jana la hoja

unajiuliza maswali mengi ya nini wewe punga? Ulitaka wamwajiri mama yako kwani umeambiwa wametangaza kazi ya upishi?? Mijitu mingine bana...aaaagggggrrrrrr
 
Back
Top Bottom