acha uchochezi,unadhani kuna mtanzania unayeweza kumshawishi kwa pumba zako hizi,walizitumia watawala sasa unaona wanavyoumbuka,sitaki kuamini kwamba wewe ni kijana ambaye una mawazo ya kileo,hata kama huipendi CDM lakini kamwe usiropoke kiasi hiki,soma makala mbalimbali uimarishe uwezo wako wa kuchambua mambo hii ndio njia ya kujijenga ili wakati mwingine utoe mada za msingiKwa wazalendo wa kitaifa naomba mniweke wazi kuhusu habari zilizochapishwa jana katika gazeti la Hoja kuhusu chadema kutangaza nafasi za ulinzi kwa watanzania waliopitia jeshini.Mimi binafsi nilivyoiona hiyo bahari ilinishitua sana na kunitia hofu kubwa na kunifanya nijiulize maswali mengi kuhusu hatima ya tanzania.Kwanini chadema inafanya hivi? nini malengo yao? watanzania tuwe macho sana na movement mbaya kama hizi.Mie ningeomba Usalama wa taifa mlifanyie kazi kizalendo na si ushabiki kwani vurugu zikiivishwa wa kuzila ni wewe na mimi.
Source: Gazeti la jana la Hoja