Kwa watu wazamani ambao kwa sasa most of them ni wazee au wapo kwenye age ambazo hawawezi kufanya kazi hizo tena ndio waliopita national Service na si watanzania wote, kwasentensi hiyo ninawasiswasi na utanzania wako.
Pili umezungumzia kampuni za ulinzi, swali Chadema ni kampuni ya ulinzi? Unajua Bro siasa isikuoe kwa masikio yako ukalainika mpaka akili yako isifanye kazi yake. Kuna masuala ya kufanyia ushabiki na mambo mengine hayatakiwi kushabikiwa. Kwa majibu uliyotype kwa red bado hujajibu hoja kwani unajua kabisa chadema siyo kampuni ya ulinzi. kampuni za ulinzi zote zinatambulika na masheriti yake yako wazi.Kama wewe ni mtu mzima nawasiwasi na maengi juu yako. Tafuta gazeti la Hoja la jana ulisome kisha utoe hoja