Chadema kuajiri wanajeshi nini maana yake?

Chadema kuajiri wanajeshi nini maana yake?

Mr.Mak

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2011
Posts
2,841
Reaction score
1,105
Kwa wazalendo wa kitaifa naomba mniweke wazi kuhusu habari zilizochapishwa jana katika gazeti la Hoja kuhusu chadema kutangaza nafasi za ulinzi kwa watanzania waliopitia jeshini.Mimi binafsi nilivyoiona hiyo bahari ilinishitua sana na kunitia hofu kubwa na kunifanya nijiulize maswali mengi kuhusu hatima ya tanzania.Kwanini chadema inafanya hivi? nini malengo yao? watanzania tuwe macho sana na movement mbaya kama hizi.Mie ningeomba Usalama wa taifa mlifanyie kazi kizalendo na si ushabiki kwani vurugu zikiivishwa wa kuzila ni wewe na mimi.
Source: Gazeti la jana la Hoja
 
Mleta mada unahitimisha bila analysis. Binafsi nimefika pale kuulizia habari hiyo kama mwanamageuzi ninayeheshimu utawala wa kidemokrasia, hakuna kitu kama hicho, walichosema pale makao makuu ni kuwa MTI Wenye Matunda Mengi Utarushiwa Mawe sana. Huu ni uhuni wa CCM kuhamisha lengo la Chadema kama walivyosingizia visu kwa CUF (ccm b ya sasa) ili ionekanekane vinginevyo. Hapa naomba uwe unaleta point za maana zenye tija na uwe umefanya upembuzi la sivyo utaonekana kikagaragosi kinachotumika tu. Uhuni wote mtafanya na zile mbinu za kihuni za rusia lakini watu sasa sio wale wa 80's.
 
Kwani wewe una wasiwasi gani? Mbona akina kinana wa ccm walikuwa wanajeshi? Je, hilo halikutii shaka isipokuwa kwa cdm tu? Kuwa mwelewa wa mambo hata wale viongozi wanastahili ulinzi. BTW mbona ccm wana green guard na huna hofu na hilo? A'm out
 
kwan ni cdm ndo wa kwanza kutaka kuajiri walinzi waliopitia jeshini? Hebu peruzi vacancy nyingi za ulinzi uone qualifications tena wengine huspecify kabisa awe mstaafu wa JWTZ hizo hukuziona na wala hukutaka kuhoji wala kujua ni hatari au, kwa cdm imekuwa kosa 'kunya anye kuku akinya bata.......' kwa maoni yangu hata wale waliopata mafunzo ya mgambo au JKT ni askari na hizo ndio sifa kuu za kuajiriwa ulinzi huoni ka ni hatari? Tena wengine wanapewa na bunduki. acha ushabiki kama umeona hatari kwa usalama wa taifa letu ungeazia huko kwenye makampuni yanahitaji askari wastaafu
 
Kwa wazalendo wa kitaifa naomba mniweke wazi kuhusu habari zilizochapishwa jana katika gazeti la Hoja kuhusu chadema kutangaza nafasi za ulinzi kwa watanzania waliopitia jeshini.Mimi binafsi nilivyoiona hiyo bahari ilinishitua sana na kunitia hofu kubwa na kunifanya nijiulize maswali mengi kuhusu hatima ya tanzania.Kwanini chadema inafanya hivi? nini malengo yao? watanzania tuwe macho sana na movement mbaya kama hizi.Mie ningeomba Usalama wa taifa mlifanyie kazi kizalendo na si ushabiki kwani vurugu zikiivishwa wa kuzila ni wewe na mimi.
Source: Gazeti la jana la Hoja
Unaonekana ni mtu unaetaka umaarufu!!hoja yako haina kichwa wala miguu,kwani ulitaka nafasi za ulinzi wapewe kina nani??madereva?wapishi?waalimu?na bado CDM mtaipaisha nyie wenyewe na Makamba wenu!
 
Naona pia umesahau kuwa watanzania wote ni walinzi na tena tulipitia JKT! Jambo la Pili ni muhimu pia ujiulize kampuni binafsi za walinzi zimeajiri akina nani na tena ujiuliza wakuu wa mikoa na wilaya ni akina nani, baada ya hapo nadhani utakuwa huna swali

Kwa watu wazamani ambao kwa sasa most of them ni wazee au wapo kwenye age ambazo hawawezi kufanya kazi hizo tena ndio waliopita national Service na si watanzania wote, kwasentensi hiyo ninawasiswasi na utanzania wako.

Pili umezungumzia kampuni za ulinzi, swali Chadema ni kampuni ya ulinzi? Unajua Bro siasa isikuoe kwa masikio yako ukalainika mpaka akili yako isifanye kazi yake. Kuna masuala ya kufanyia ushabiki na mambo mengine hayatakiwi kushabikiwa. Kwa majibu uliyotype kwa red bado hujajibu hoja kwani unajua kabisa chadema siyo kampuni ya ulinzi. kampuni za ulinzi zote zinatambulika na masheriti yake yako wazi.Kama wewe ni mtu mzima nawasiwasi na maengi juu yako. Tafuta gazeti la Hoja la jana ulisome kisha utoe hoja
 
kwan ni cdm ndo wa kwanza kutaka kuajiri walinzi waliopitia jeshini? Hebu peruzi vacancy nyingi za ulinzi uone qualifications tena wengine huspecify kabisa awe mstaafu wa JWTZ hizo hukuziona na wala hukutaka kuhoji wala kujua ni hatari au, kwa cdm imekuwa kosa 'kunya anye kuku akinya bata.......' kwa maoni yangu hata wale waliopata mafunzo ya mgambo au JKT ni askari na hizo ndio sifa kuu za kuajiriwa ulinzi huoni ka ni hatari? Tena wengine wanapewa na bunduki. acha ushabiki kama umeona hatari kwa usalama wa taifa letu ungeazia huko kwenye makampuni yanahitaji askari wastaafu


Kaka hapa mwandishi wa gazeti la Hoja hakuzungumzia kampuni za ulinzi, hapa anazungumzia chama cha siasa, ndio hoja mkuu. niambie chama gani cha siasa kimeshatangaza kuajiri wanajeshi. Haya siyo mambo ya kushabikia
 
Kwa watu wazamani ambao kwa sasa most of them ni wazee au wapo kwenye age ambazo hawawezi kufanya kazi hizo tena ndio waliopita national Service na si watanzania wote, kwasentensi hiyo ninawasiswasi na utanzania wako.

Pili umezungumzia kampuni za ulinzi, swali Chadema ni kampuni ya ulinzi? Unajua Bro siasa isikuoe kwa masikio yako ukalainika mpaka akili yako isifanye kazi yake. Kuna masuala ya kufanyia ushabiki na mambo mengine hayatakiwi kushabikiwa. Kwa majibu uliyotype kwa red bado hujajibu hoja kwani unajua kabisa chadema siyo kampuni ya ulinzi. kampuni za ulinzi zote zinatambulika na masheriti yake yako wazi.Kama wewe ni mtu mzima nawasiwasi na maengi juu yako. Tafuta gazeti la Hoja la jana ulisome kisha utoe hoja



Wee ndo uache ushabiki usio na mpango, hivi hao wanajeshi wastaafu walio ndani ya sisiemu ni by design au default? Huwajui?

Afu unaambiwa watz wamepitia jeshi wasema waliopitia jeshi sasa ni wazee hawako ktk umri wa kufanya kazi,jkt kisheria ilifutwa lini kwa uelewa wako wee mtanzania halisi (sababu umemjibu mkuu hapo juu una wasiwasi na uraia wake)
 
Unaonekana ni mtu unaetaka umaarufu!!hoja yako haina kichwa wala miguu,kwani ulitaka nafasi za ulinzi wapewe kina nani??madereva?wapishi?waalimu?na bado CDM mtaipaisha nyie wenyewe na Makamba wenu!

Nadhani umaarufu huo utaanzia kwa aliyetangaza hizo nafasi, kisha kwako wewe unayeshabikia ujinga tatu kwa chombo kilicholipoti na mwisho kabisa na kwa wanauzalendo wa dhati.

Kaka umehighlight sehemu tatu ila umeelezea moja kuonesha kuwa kumbukumbu yako haipo sawa. ungejibu mstari wa pili ningekuona wa maana katika kujibu hoja. halafu ungekuwa unajua nisivyompenda makamba hata usinge sema. Tatizo la washabiki wa chadema kila mnapokosolewa na wazalendo huwa mnawadhania kuwa niwanaCCM that is wrong? kama umeolewa na siasa ni wewe mkuu na pole sana.
 
Gazeti gani?
Hoja?

Kama habari yako ni ya kweli basi kila anae ijua chadema anajua tangazo lisingekuwa kwenye gazeti hilo!

Any way,we ulitaka watangaze walinzi wenye sifa zipi ili usistuke?
 
Mimi sioni tatizo kwao kuajiri wanajeshi kama habari hii ni ya ukweli. Kwanza hao wanaoajiliwa ni watanzania wanaohitaji ajira ili maisha yao yawe mazuri.Tena cha muhimu tuwasifu CHADEMA maana wanasadia kuongeza ajira nchini.:lalala:
 
Kwa watu wazamani ambao kwa sasa most of them ni wazee au wapo kwenye age ambazo hawawezi kufanya kazi hizo tena ndio waliopita national Service na si watanzania wote, kwasentensi hiyo ninawasiswasi na utanzania wako.

Pili umezungumzia kampuni za ulinzi, swali Chadema ni kampuni ya ulinzi? Unajua Bro siasa isikuoe kwa masikio yako ukalainika mpaka akili yako isifanye kazi yake. Kuna masuala ya kufanyia ushabiki na mambo mengine hayatakiwi kushabikiwa. Kwa majibu uliyotype kwa red bado hujajibu hoja kwani unajua kabisa chadema siyo kampuni ya ulinzi. kampuni za ulinzi zote zinatambulika na masheriti yake yako wazi.Kama wewe ni mtu mzima nawasiwasi na maengi juu yako. Tafuta gazeti la Hoja la jana ulisome kisha utoe hoja

pengine ni wa kutulindia mali zetu na viongozi wetu. taasisi yeyote ina uhuru wa kuwa na askari wake ambao wanakuwa kwenye payroll yake (auxillary). hawa hulipwa na taasisi husika na wako responsible na mali za taasisi husika tu na si vinginevyo. auxillary unit hii ni tofauti na kampuni binafsi za ulinzi ambao kuwa na bima inayolipa pale upotevu unapopotea.....

walinzi hawa ni muhimu pia wawe makomandoo ili waweze kuwaokoa viongozi pale wanapotaka kuumizwa na kudhalilishwa. je unafahamu kuwa dr slaa aliokolewa na walinzi wake na kufichwa dhidi ya risasi zilizoelekezwa kwake alipokuwa akihutubia pale arusha?
 
Kwa nini huzungumzii vijana wenu wa janja weed? Pili cdm kama chama wamepoteza imani na jeshi la polisi,rejea matukio ya arusha, kwa hiyo ni vyema nao wakawa na vijana wao wa ulinzi sawa kabisa na ccm walivyo na vijana wao wa janja weed.


Kwa watu wazamani ambao kwa sasa most of them ni wazee au wapo kwenye age ambazo hawawezi kufanya kazi hizo tena ndio waliopita national Service na si watanzania wote, kwasentensi hiyo ninawasiswasi na utanzania wako.

Pili umezungumzia kampuni za ulinzi, swali Chadema ni kampuni ya ulinzi? Unajua Bro siasa isikuoe kwa masikio yako ukalainika mpaka akili yako isifanye kazi yake. Kuna masuala ya kufanyia ushabiki na mambo mengine hayatakiwi kushabikiwa. Kwa majibu uliyotype kwa red bado hujajibu hoja kwani unajua kabisa chadema siyo kampuni ya ulinzi. kampuni za ulinzi zote zinatambulika na masheriti yake yako wazi.Kama wewe ni mtu mzima nawasiwasi na maengi juu yako. Tafuta gazeti la Hoja la jana ulisome kisha utoe hoja
 
Kwa wazalendo wa kitaifa naomba mniweke wazi kuhusu habari zilizochapishwa jana katika gazeti la Hoja kuhusu chadema kutangaza nafasi za ulinzi kwa watanzania waliopitia jeshini.Mimi binafsi nilivyoiona hiyo bahari ilinishitua sana na kunitia hofu kubwa na kunifanya nijiulize maswali mengi kuhusu hatima ya tanzania.Kwanini chadema inafanya hivi? nini malengo yao? watanzania tuwe macho sana na movement mbaya kama hizi.Mie ningeomba Usalama wa taifa mlifanyie kazi kizalendo na si ushabiki kwani vurugu zikiivishwa wa kuzila ni wewe na mimi.
Source: Gazeti la jana la Hoja


Nafikiri hao ndiyo wanafaa zaidi
 
Kwa wazalendo wa kitaifa naomba mniweke wazi kuhusu habari zilizochapishwa jana katika gazeti la Hoja kuhusu chadema kutangaza nafasi za ulinzi kwa watanzania waliopitia jeshini.Mimi binafsi nilivyoiona hiyo bahari ilinishitua sana na kunitia hofu kubwa na kunifanya nijiulize maswali mengi kuhusu hatima ya tanzania.Kwanini chadema inafanya hivi? nini malengo yao? watanzania tuwe macho sana na movement mbaya kama hizi.Mie ningeomba Usalama wa taifa mlifanyie kazi kizalendo na si ushabiki kwani vurugu zikiivishwa wa kuzila ni wewe na mimi.
Source: Gazeti la jana la Hoja

Muda mwingine uwe unashirikisha ubongo kabla ujaandika,maswala ya kukurupuka sio mazuri.
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Hivi mböna ccm imeajili walinzi kibao nenda ofice za mikoa na wilaya utakutana nao. Pia nenda ofice ya ccm mkoa wa dar wameajiri usalama wa Taifa wapo pale, mbona hamsemi. Cdm nao wanamali zinazohitaji ulinzi kama taasis nyingine kama ccm inavyofanya. Nawasilisha.
 
upopompo mtupu. Akili yako na Makamba hazina tofauti.
 
Nimetoka kusikia tangazo la KK Security muda si mrefu.
Wanaajiri walinzi ambao moja ya sifa ni kupitia jeshi ama mgambo.
 
Back
Top Bottom