Chadema Kortini tena Arusha

Chadema Kortini tena Arusha

HIYO BILLS unayosema ni ipi
kama ni hii ninayoijua mimi basi naona umeanza kuchonokoa
viota vya mkuu wa KAYA, wewe utafukuzwa kazi na msekwa sio muda
mrefu, bill ni moja ya sehemu mkubwa anakuja kucheck kama naweza kupata first lady
sema baada ya kuruka sarakasi pale jangwani wakati wa kamapeni wadada wamemshitukia


Hata FM nae jua kali tu ndio maana alihakikisha ya kuwa anakuwa kiongozi wa upinzani bungeni ili walau aweze kujazia anachopata pale bills[/QUOTE]
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Kadiri ninavyozidi kuwafahamu makada wa sisiem kwa undani, ndivyo ninavyowaona wote kuwa kina 'makupa' na napata sababu ya kuichukia sisiem zaidi!
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Haki lazima itendeke lakini msitegemee walionzisha fujo(cdm top brass ) kutoka salama lazima washughulikiwe hii nchi si ya kikundi cha wahuni
Bali ni ya kikundi cha wafisadi na magamba...
 
Hata FM nae jua kali tu ndio maana alihakikisha ya kuwa anakuwa kiongozi wa upinzani bungeni ili walau aweze kujazia anachopata pale bills

aisee we makupa unachopigia mayowe hapa ni tbc, ccm au kesi ya arusha?

"......pale ambapo haki haikutumika.. zimesikika risasi za moto na mabomu"- Barnabas Samatta
 
Halafu Mods wafanye nini? Kwani ametukanwa Slaa? Hapa tusi ni tusi iwapo litaelekezwa kwa Slaa na wamiliki halali wa JF yaani CDM.

hujui kazi ya mods, unataka kuniambia na wewe unamilikiwana chadema maana na wewe ni sehemu ya jf
 
Anybody with any update of what is going on in the court ... ?

imeahirishwa mpaka tarehe 27 may 2011..Ni baada ya washitakiwa namba 8 na 16 kutokuwe mahakama hapo mmoja akiwa hajatoa sababu ya kuto kufika, yeye pamoja na mzamini wake..wakili wa upande wa cdm alitoa hoja kama nilivyosema hapo awali..lakini hakimu alipinga kwa maelzo kwamba watuhumiwa waliwa wanasomewa mashitaka ya awali hivmwisho walipaswa kukubali ama kukata
 
Ingekuwa ni vizuri sana kama mtakubali ya kwamba tupo watanzani wengi tu wenye mawazo tofauti na nyie wan CDM.Matusi na lugha chafu ni tabia isiyopendeza hata wewe mwenyewe

mko wengi vipi, au ndo kingunge aliwakusanya na kuwahutubia, vijana wa CCM yuo vikuu
 
.....kukubali ama kukataa hivyo isingewezekana kundelea bila baadhi ya wahusika kuwepo
 
Serikali ya CCM imefunguwa kesi kwa kupitia wanasheria wake kutaka kuwafunga wapambanaji wa CHADEMA.l eo tulikuwa mahakamani na mimi ni miongoni mwa washtakiwa katika kesi hiyo. cha ksikitisha kuna baadhi ya washtakiwa wenzetu hawakuja mahakamani. mama Joshephine na mwezake. kutokufika kwao mwanasheria wa serikali akaomba kesi isianze kusikilizwa. NAJIULIZA KWANINI WAFUNGUE KESI NA WAOWAO WAWE WA KWANZA KUTAKA KESI ISISIKILIZWE KUNAAGENDA GANI HAPO kunataarifa za kiintelijensia kwamba mstakiwa ambae hajaja na hakuna taarifa ya kutofika na mdhamini wake kutokufika wa kutoa taarifa kwamba amepewa rushwa na waendesha mashtaka ili asije mahakamani ili kesi hiyo isisikilizwe. na hii ninjia ya kutusumbua kwani tunamajukumu makubwa sana za kiharakati.
 
aisee we makupa unachopigia mayowe hapa ni tbc, ccm au kesi ya arusha?

"......pale ambapo haki haikutumika.. zimesikika risasi za moto na mabomu"- Barnabas Samatta
Ni vyote ambavyo mnaongelea
 
Nduka vipi tetea hoja
jazba ya nini unataka kumuua mwenzako hadharani
pesa ya ufisadi tamu lakini ina mwisho wake
 
imeahirishwa mpaka tarehe 27 may 2011..Ni baada ya washitakiwa namba 8 na 16 kutokuwe mahakama hapo mmoja akiwa hajatoa sababu ya kuto kufika, yeye pamoja na mzamini wake..wakili wa upande wa cdm alitoa hoja kama nilivyosema hapo awali..lakini hakimu alipinga kwa maelzo kwamba watuhumiwa waliwa wanasomewa mashitaka ya awali hivmwisho walipaswa kukubali ama kukata

...Tunashukuru kwa taarifa za msingi!!
 
Crashwise,
Heshima yako mkuu,
Tafadhali tupatie muendelezo wa kesi ya wana-mapinduzi
tunakutegemea wewe kwa taarifa za ukweli zaidi,
tafadhali usichakachuwe.tupe live bila chenga,airtime ikiisha unaweza kutushtua tuu usijali mkuu....haah...hah.
 
Hujuma inayofanywa na serikali dhidi ya viongozi wa Upinzani italipeleka taifa pabaya.Kama wanapiga hesabu za kuiua Chadema kwa staili hiyo basi wamekosea.

Hujuma yoyote katika mwenendo wa suala hili tutalisimamia kwa nguvu zote.
 
duh kwani na wewe ni kiongozi chadema??au ile siku ulishika bendera tu ,ukaingizwa kwenye karandinga?? simply to knw
 
Crashwise,
Heshima yako mkuu,
Tafadhali tupatie muendelezo wa kesi ya wana-mapinduzi
tunakutegemea wewe kwa taarifa za ukweli zaidi,
tafadhali usichakachuwe.tupe live bila chenga,airtime ikiisha unaweza kutushtua tuu usijali mkuu....haah...hah.

mkuu fatilia vizuri kesi imeahirishwa..kuhusu airtime si titizo , tatizo ni dowans kani tangu asubuhi umeme ni tatizo ndiyo maana unaona natumia cmu
 
Kadiri ninavyozidi kuwafahamu makada wa sisiem kwa undani, ndivyo ninavyowaona wote kuwa kina 'makupa' na napata sababu ya kuichukia sisiem zaidi!
Endelea kuwachukia lakini ukweli utabaki pale pale Makupa uwezo uko juu
 
Back
Top Bottom