Chadema Kortini tena Arusha

Chadema Kortini tena Arusha

kwa walioshtakiwa na akina nani zaid ya hao walionzisha fujo ( CDM Top Brass)
 
Kauli za matusi hazijengi jibuni hoja

Hoja ziko wapi?
Unataka kusema umetoa hoja?
Naamini wewe unajua ukweli kwamba CCM kwa kutumia jeshi la polisi ndio chanzo cha vurugu arusha, and you know this, but what I have observed from you is that you are part of them ndiyo maana unaupindisha ukweli.
 
Mwisho wa akili yako ni matusi tu huna cha ziada sana sana utakuwa na libichwa likubwa lenye kuweza kuhifadhi matusi na upuuzi mwingine.
Kama hii kwako ni hoja, ukweli unatumia mkia kufikiri.
 
TBC hawatutendei haki watanzania lakini ngoja tukoleze moto wana jamii ili wanywe dawa na ccm yao 2015,pia wakumbuke ya Bagbo,Misri na Tunisia
 
MAKUPA:
Join Date : 11th April 2011
Posts : 26
Thanks 0 Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0
 
hoja ziko wapi?
Unataka kusema umetoa hoja?
Naamini wewe unajua ukweli kwamba ccm kwa kutumia jeshi la polisi ndio chanzo cha vurugu arusha, and you know this, but what i have observed from you is that you are part of them ndiyo maana unaupindisha ukweli.
ukweli upi wakati tunasubiri wazee wazima (cdm top brass) wajue kwamba utawala wa sheria upo na unafuatwa na si vinginevyo
 
kesi imesima ili hakim akafanye majadiliana kama kesi endelee ama laah ni kutokana watuhumiwa wawil kuto kufika..walisoma vfungu na wakili wa cdm akasema kwa mjibu makosa ya jinai sheria inaruhusu kesi kuendelea hata kama mtuhumiwa hayupo..

sasa wameenda kujadiliana nini hao? au uwezo wao wa kuendesha kesi ni mdogo? vifungu wameshasomewa wanaenda kujadiliana nini?:shocked:
 
TBC hawatutendei haki watanzania lakini tusikate tamaa hata Misri na Tunisia ilikuwa hivihivi cha msingi tuendelee kuchochea moto wa badiliko la kweli kuiangusha ccm yao mimi naamini ccm watatoka 2015 tuelimishe umma
 
ukweli upi wakati tunasubiri wazee wazima (cdm top brass) wajue kwamba utawala wa sheria upo na unafuatwa na si vinginevyo

Ndiyo maana tunataka katiba mpya, yenye kuleta uhuru wa maamuzi kwa mihimili yote ya dola. Jaji hatakuwa anateuliwa na Mwenyekiti wa CCM, bali atatokana na utaratibu utakaowekwa kwa kuanngalia either seniority or something kuliko hivi sasa Mwenyekiti anaibuka tu from nowhere na kusema fulani atakuwa jaji. mfano mzuri Omar Chande. kwa mazingira kama haya hakuna haki itakayotendeka.
Kuhusu hili la CHADEMA nakuambia haki itatendeka, na isipotendeka mtajua nini maana ya people's power.
 
TBC hawatutendei haki watanzania lakini ngoja tukoleze moto wana jamii ili wanywe dawa na ccm yao 2015,pia wakumbuke ya Bagbo,Misri na Tunisia


Imekuwa wimbo bagbo,misri,tunisia weka na yemen,syria,libya etc.Wenye nia ya kutenda huwa hawapayuki.Narudia hizi ni kelele za chura ndani ya tope kama hayo unayotamani yatokee,Watanzania wangekuwa na akili kama zako mapema wangetekeleza.

Sikiliza bwana mdogo,Watanzania nao ni binadam,hawapendi kupoteza maisha yao,viungo vyao(ulemavu),makazi yao na pengine kuwa wakimbizi kwa sababu ya hao unaowatetea ambao hawana kovu lolote zaidi ya kuanguka bafuni.Mifano tunaiona inavyozidi kuwa tata Libya na Syria ambapo maelfu ya watu yamepotea.

Mbona tunaangaika na wanasiasa hawa wasio na upako kwa Mungu(wengi chanzo cha machafuko),ningefurahi kama moyo huu ungekuwa nao katika imani yako Msikitini au Kanisani ukizidisha maombi ili uweze kuona pepo.
 
Ndiyo maana tunataka katiba mpya, yenye kuleta uhuru wa maamuzi kwa mihimili yote ya dola. Jaji hatakuwa anateuliwa na Mwenyekiti wa CCM, bali atatokana na utaratibu utakaowekwa kwa kuanngalia either seniority or something kuliko hivi sasa Mwenyekiti anaibuka tu from nowhere na kusema fulani atakuwa jaji. mfano mzuri Omar Chande. kwa mazingira kama haya hakuna haki itakayotendeka.
Kuhusu hili la CHADEMA nakuambia haki itatendeka, na isipotendeka mtajua nini maana ya people's power.
Haki lazima itendeke lakini msitegemee walionzisha fujo(cdm top brass ) kutoka salama lazima washughulikiwe hii nchi si ya kikundi cha wahuni
 
Ingependeza sana kama wakipatikana na hatia wafunzwe adabu

acha wafungwe kwan cdm ndio itakufa acha ndoto za kijinga, watachaguliwa wengine, kama ww ndie mganga wa hiyo kesi bas madawa yako yanakuwazisha vibaya ni bora uyaache kuyatumia.
 
Back
Top Bottom