kwa jinsi maswali yako na commets zako zilivyo za kijani, unaonesha jinsi unavyofaa kwa matumizi ya kawaida. Ndio maana wanaokutumia walikuchagua wewe. Msalimie tambwe
Makupa naomba namba yako plse.
wewe una matatizo wewe sio bure, unashadidia tu topic ili mradi uonekane na post kibao, broda me and u we are citizens hence we need to build a fair nation.Haki lazima itendeke lakini msitegemee walionzisha fujo(cdm top brass ) kutoka salama lazima washughulikiwe hii nchi si ya kikundi cha wahuni
kaka nisaidie kupata namba ya Makupa
Kiongozi hapo umepotoka kidogo,
Simple law tu ni kua kama watu 100,mmeunganishwa shitaka au mashtaka yanayofanana,ili kuanza kusikilizwa,ni lazima watuhumiwa wote wawepo.Hamuwezi kuendelea wakati wenzenu hawapo.
Inaonesha kesi imeshaanza kukuchanganya,kiasi cha kutuhumu washtakiwa wenzako eti wamepewa rushwa wasitokee,Ina mana mke wa Dr.Slaa amehongwa na serikali?unachekesha sana.
Pambana tu mpiganaji,vita ni vita
Kuna jamaa ameingilia hii thread anataka kuivuruga nawashukuru wana JF mmeamua kumwona mwendawazimu na kumuignore tu!
naona dr slaa, mbowe, lema, madiwani wa cdm na wapenzi wa cdm wako tayari kabisa kufatia kesi..kulitokea kutokuelewana kati ya wapenzi wa cdm na mwandishi wa tbc, wakimtaka aache kufanya mahojiano na lema wakidai ni wachakachuaji kama wanataka taarifa wakaandike za jk hata wakitaka wamuonyeshe hata akiwa chooni
Makupa karibu sana Jamvini mkuu, walikuwepo kina MS lakini hawakuweza kupotosha umma wala kutetea chama cha magamba! Naamini ukikuwa utaacha kupigia wazee kelelejibu issue namba ya nini
mlikuwa mnapataje muda wa maandamano
sidhani kama slaa ni kijanaMakupa karibu sana Jamvini mkuu, walikuwepo kina MS lakini hawakuweza kupotosha umma wala kutetea chama cha magamba! Naamini ukikuwa utaacha kupigia wazee kelele
hizo ni ndoto za alinachaemuda wa maandamano ulikuwepo na utaendelea tena nilisikitika sana tarehe 16 mlilipo toa mjadala wa katiba maana ndiyo ilikuwa siku ya ukombozi..hata hivyo siku ya ukombozi inakuja mnaichelewesha tu
kwa nini sasa hivi tunabishana na huyu mpuuzi........achaneni nae