Kaka soma vizuri uelewe nimesema kuwa wakipatikana na hatia lazima sheria ichukue Mkondo wake. Siwezi legea kimawazo, uwezo wangu ni mara dufu wa wabunge wote wa cdmMakupa wewe unafikiria au unahisi au unataka kuwa hivyo unavyolopoka? Kwa mtazamo wako wana hatia au unataka wawe na hatia?ungefafanua kwa hoja ningekuunga mkono lakini kwa sasa nimekudisi kabisa na comment yako. Ushindwe na ulegee kimawazo
Ina maana simu yako inatumia mwanga wa JUAmkuu fatilia vizuri kesi imeahirishwa..kuhusu airtime si titizo , tatizo ni dowans kani tangu asubuhi umeme ni tatizo ndiyo maana unaona natumia cmu
Taarifa za msingi ni zipi embu tufafanulie ....Tunashukuru kwa taarifa za msingi!!
Sidhani kama mna majukumu makubwa kiasi hicho, mbona mnapata muda mwingi tu wa kushiriki maandamano yasiokuwa na kichwa wala miguuSerikali ya CCM imefunguwa kesi kwa kupitia wanasheria wake kutaka kuwafunga wapambanaji wa CHADEMA.l eo tulikuwa mahakamani na mimi ni miongoni mwa washtakiwa katika kesi hiyo. cha ksikitisha kuna baadhi ya washtakiwa wenzetu hawakuja mahakamani. mama Joshephine na mwezake. kutokufika kwao mwanasheria wa serikali akaomba kesi isianze kusikilizwa. NAJIULIZA KWANINI WAFUNGUE KESI NA WAOWAO WAWE WA KWANZA KUTAKA KESI ISISIKILIZWE KUNAAGENDA GANI HAPO kunataarifa za kiintelijensia kwamba mstakiwa ambae hajaja na hakuna taarifa ya kutofika na mdhamini wake kutokufika wa kutoa taarifa kwamba amepewa rushwa na waendesha mashtaka ili asije mahakamani ili kesi hiyo isisikilizwe. na hii ninjia ya kutusumbua kwani tunamajukumu makubwa sana za kiharakati.
Sidhani kama mna majukumu makubwa kiasi hicho, mbona mnapata muda mwingi tu wa kushiriki maandamano yasiokuwa na kichwa wala miguu
ISSUE hapa ni swala la muda EPA,RICHMONDS NA DOWANS WAPI NA WAPIHayatakuwa na kichwa wala miguu mpaka utakaporudisha mgawo uliohongwa wa EPA, RICHMOND, DOWANS nk. We kilaza gani usiyeguswa na shida za watanzania au umelishwa sumu ya kijani?????????? Itakuua.
wewe dogo utachoka tu, wapi Anayejiita KASHAGA? hata yeye alikua kama weweSidhani kama mna majukumu makubwa kiasi hicho, mbona mnapata muda mwingi tu wa kushiriki maandamano yasiokuwa na kichwa wala miguu
ndio huyo huyo kashagawewe dogo utachoka tu, wapi anayejiita kashaga? Hata yeye alikua kama wewe
ISSUE hapa ni swala la muda EPA,RICHMONDS NA DOWANS WAPI NA WAPI
Anajifanyisha ila atalabwa,kama anaweza kuusaliti umma wa watanzania ambao wengi wao ni masikini,czani kama ataweza kuisaidia Jamii,mana humu Jf wengi wetu hatukupendi,na laiti ungekua unajulikana kwa sura czani kama unaowatukana wangeweza ona onavuta oxygen hii bila kuku sue kwa umang'ati na undezi unauzambaza humu!!Ni Tatizo la waliolishwa sumu ya kijani! Muda wa kuchakachua matokeo upo!! Muda wa kujenga hoja za wizi upo? Muda kama huu unaotumia kuzuia watanzania wasielimishwa haki zao haupo!!! Wewe wizi wa EPA, RICHMOND nk haukuhusu/haukugusi. Sababu umeshaiba hutaki kuulizwa. Ukiulizwa muda unapotea. Nonsense!!!!!!!!!!
Sidhani kama mna majukumu makubwa kiasi hicho, mbona mnapata muda mwingi tu wa kushiriki maandamano yasiokuwa na kichwa wala miguu
Serikali ya CCM imefunguwa kesi kwa kupitia wanasheria wake kutaka kuwafunga wapambanaji wa CHADEMA.l eo tulikuwa mahakamani na mimi ni miongoni mwa washtakiwa katika kesi hiyo. cha ksikitisha kuna baadhi ya washtakiwa wenzetu hawakuja mahakamani. mama Joshephine na mwezake. kutokufika kwao mwanasheria wa serikali akaomba kesi isianze kusikilizwa. NAJIULIZA KWANINI WAFUNGUE KESI NA WAOWAO WAWE WA KWANZA KUTAKA KESI ISISIKILIZWE KUNAAGENDA GANI HAPO kunataarifa za kiintelijensia kwamba mstakiwa ambae hajaja na hakuna taarifa ya kutofika na mdhamini wake kutokufika wa kutoa taarifa kwamba amepewa rushwa na waendesha mashtaka ili asije mahakamani ili kesi hiyo isisikilizwe. na hii ninjia ya kutusumbua kwani tunamajukumu makubwa sana za kiharakati.
Sidhani kama mna majukumu makubwa kiasi hicho, mbona mnapata muda mwingi tu wa kushiriki maandamano yasiokuwa na kichwa wala miguu
naona dr slaa, mbowe, lema, madiwani wa cdm na wapenzi wa cdm wako tayari kabisa kufatia kesi..kulitokea kutokuelewana kati ya wapenzi wa cdm na mwandishi wa tbc, wakimtaka aache kufanya mahojiano na lema wakidai ni wachakachuaji kama wanataka taarifa wakaandike za jk hata wakitaka wamuonyeshe hata akiwa chooni
mlikuwa mnapataje muda wa maandamano
mlikuwa mnapataje muda wa maandamano
Makupa unataka nani apatikane na hatia?