Aristides Pastory
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 348
- 60
Hili neno MM. nafkiri kuwa sayansi mojawapo ni kujua mfano kama uchaguzi ungekuwa leo CDM ingepata kura ngapi dhidi ya zile za CCM na vyama vingine. Kisha tutafute maana ya hizo kura na jinsi tunavoweza kujipanga kuongeza kura zaidi, sanaa maana yake ni zile njia za kukifanya chama kionekane chafaa mbele ya wtz walio wengi. hiyo itafanyika katika kampeni na propaganda. katika sanaa ni vema kuepuka kuonekana cdm ni chama cha vurugu na kuwahakikishia watz kuwa ndo chenyewe kitakachowakomboa. hapo twaweza sema siasa ni sayansi na sanaa. kama nimekosea nakubali kusahihishwa
umeandika kitu cha msingi zaidi. Naomba uongozi makao makuu ubadili strategic zao za kushinikiza, kulazimisha au kuonyeshana ubavu na dola badala yake sera za ukombozi wa kweli ndiyo zihamasishwe kila kona ya Taifa hili.