democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
mwe,mwe,mwe usiniambie hii kaitoa yule rais wetu ambaye hakuapishwa.
Kwani CCM hawatoshiriki huo Uchaguzi??!
Sisi yetu macho lakini Slaa, asijiaminishe sana na ushindi Arumeru.
Sio kila jimbo unatoa ahadi mkuu!
He is playing mind games!Ritz, wewe mjanja!
Una uwezo wa kupima mambo, hufanani kabisa na Rejao au FF.
Naamini ukishapima mambo, hapo utaweza kuja na ahadi na sitashangaa.
He is playing mind games!
Naona mmeingia mkenge, jaribu vizuri kuanalyze statement ya ritz!!
Arumeru...haitatumia nguvu kubwa kulitwaa..we have both human as well as financial resources to retain. ..
Leo unasema kwa unyonge sana..tunasubiri ahadi yako tena ya kutembea uchi.
Niseme hivi, kama kuna mti kakwamba kumalizia ka-kibanda kake pengine mabati yamepungua au hela ya koleo imekuwa tabu basi apige kambi Arumeru Mashariki mapema! Zitamwagwa hela za kufa mtu pale.
Na ningependa sana kuamini Dr Slaa anajua sakarasi zinatakavyochezwa. Kama 2010 Sumari alishinda bila ya kufanya campaign yeye binafsi leo hii mwanae itakuwaje? Hii ngoma bana itakuwa ngumu sana na ukiingiza vile vita vya kimeru ndio kabisa.
Tuonesheni jimbo moja la chadema lililofanya maendeleo zaidi ya Kigoma.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Dr Wilbroad Slaa amewahakikishia wapenzi na wanachama wa CHADEMA kwamba chama hicho kitashinda kwa kishindo katika uchaguzi wa Ubunge jimbo la Arumeru Mashariki utakaofanyika hivi karibuni.Dr Slaa amesema chama chake kina nguvu kubwa jimboni humo na katika kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2010 chama chake kilifungua matawi 69 yaliyo hai mpaka leo katika kila kona ya jimbo hilo.
Dr Slaa amesema CHADEMA ilijifunza mengi katika jimbo la Igunga na kutahadharisha vitendo vya ugawaji rushwa kurubuni wapiga kura kamwe havitavumiliwa Arumeru.Pia alisema chama chake kimejipanga kutoa elimu kubwa ya uraia kwa wananchi wa Arumeru mashariki kupitia kampeni mara zitakapozinduliwa.Dr Slaa ameahidi kampeni safi na za kistaarabu.
SOURCE:MTANZANIA